Mpenja TV's user profile page. Match highlights, posts and more on site!

“”

 Report User

Latest Posts

MASAU BWIRE AWACHARUKIA SIMBA NA KOCHA WAO MPYA/TUTAWAPAPASA NA KUWAKUNG'UTA VIBAYA/YANGA WAJE
MASAU BWIRE AWACHARUKIA SIMBA NA KOCHA WAO MPYA/TUTAWAPAPASA NA KUWAKUNG'UTA VIBAYA/YANGA WAJE

Leo Novemba 17, 2021 Mpenja TV tupo Mwanza Mjini kukuletea matukio yote yanayojiri kwenye mchezo wa Ruvu Shooting dhidi ya Simba Sports Club Utakaopigwa Ijumaa hii. . Alwatan Abdulaziz Kipanduka Wa Mpenja TV amezungumza na Ofisa habari wa Ruvu Shooting Masau Bwire kuelekea Mchezo huo. . Bwire amefunguka mengi sana kwenye mahojiano haya ilkiwemo kuwakaribisha Mashabiki wa Yanga kwenye mchezo huo. . Fungua video hii kutazama mahojiano haya kwa undani. #NBCPremierLeague #MasauBwire #Simbasc #RuvuShooting #MpenjaTv



METACHA MNATA AMVULIA KOFIA DJIGUI DIARA WA YANGA/ATOA SIRI SA KUFANYA VIZURI TAIFA STARS
METACHA MNATA AMVULIA KOFIA DJIGUI DIARA WA YANGA/ATOA SIRI SA KUFANYA VIZURI TAIFA STARS

Katika mchezo wa kuwania kufuzu kombe la dunia 2022 kati ya Madagascar na Tanzania uliochezwa Jumapili ya Novemba 14, 2021, nafasi ya Golikipa katika kikosi cha Taifa Stars kilichoanza, alikuwa Metacha Mnata ‘Double M’, ambaye alichukua nafasi ya golikipa namba moja Aishi Manula ambaye alidaiwa kuwa na Corona na Mamlaka za nchi ya Madagascar. Metacha alionesha kiwango bora sana na sisi Mpenja TV tumemsaka atueleze nini siri ya kiwango bora namna ile? Metacha pia amemsifu sana Golikipa wa sasa wa Yanga, Djigui Diarra. #MetachaMnata #TaifaStars #DjiguiDiarra #AishiManula #MpenjaTV



BONGO ZOZO AMVULIA KOFIA METACHA/NI MTU HATARI/MADAGASCAR HAWAKUPASWA KULETA  WANAJESHI...
BONGO ZOZO AMVULIA KOFIA METACHA/NI MTU HATARI/MADAGASCAR HAWAKUPASWA KULETA WANAJESHI...

Muhamisishaji na Shabiki kindakindaki wa timu ya taifa ya Tanzania Bongo zozo amefunguka baada ya kurejea nchini wakitokea madagascar walipoenda kuisapoti timu ya taifa ambayo ilikua ikikamilisha ratiba katika kundi dhidi ya madagascar mchezo ambao ulimalizika kwa bao 1-1..... #BongoZozo #Taifastars #MpenjaTv



MBWANA SAMATTA AKERWA NA FIGISU ZA MADAGASCAR/TULIFANYIWA MCHEZO MCHAFU/WAMETURUHUSU KUONDOKA...
MBWANA SAMATTA AKERWA NA FIGISU ZA MADAGASCAR/TULIFANYIWA MCHEZO MCHAFU/WAMETURUHUSU KUONDOKA...

Kikosi cha taifa stars kimerejea usiku wa leo kikitokea nchini madagascar baada ya kukamilisha ratiba mechi ya mwishio kwenye makundi dhidi ya madagascar kwa kumalizika kwa sare ya goli moja kwa moja... #samatta #mbwanasamatta #taifastars #Sokalaafrika #MpenjaTV



FRED VUNJA BEI ATEGUA  KITENDAWILI KUHUSU JEZI ZA SIMBA KUWA NA BARCODE ZA YANGA NA GSM/MSIKILIZE
FRED VUNJA BEI ATEGUA KITENDAWILI KUHUSU JEZI ZA SIMBA KUWA NA BARCODE ZA YANGA NA GSM/MSIKILIZE

FRED VUNJA BEI ATOA UFAFANUZI SAKATA LA JEZI ZA SIMBA KUTENGENEZWA NA GSM/TUNAHUJUMIWA/AMETUKOSEA... Mpenja Tv tumefanya Mahojiano na Mtengenezaji na Msambazaji wa jezi za klabu ya Simba, Fred Vunja Bei, ambaye ametoa ufafanuzi juu ya jezi za Simba ambazo zinasambaa mitandaoni zikiwa na maneno ya Yanga na GSM. Pia ameongelea suala la upatikani wa jezi kwa sasa baada ya baadhi ya mashabiki kulalamika kukosa jezi wanazozihitaji madukani... #SimbaSC #JeziZaSimba #FredVunjaBei #MpenjaTV



MORRISON AWAOMBA RADHI MASHABIKI WA SIMBA SC, "TULIWAANGUSHA"
MORRISON AWAOMBA RADHI MASHABIKI WA SIMBA SC, "TULIWAANGUSHA"

MORRISON AWAOMBA RADHI MASHABIKI WA SIMBA SC, "TUMEWAANGUSHA" . Mpenja tv ipo uwanja wa Benjamin Mkapa kukuletea matukio yote yanayojiri kwenye mchezo wa duru la tano la ligi kuu ya NBC ambapo mnyama Simba anamkaribisha Namungo kutoka Ruangwa mkoani Lindi. Fungua video hii ili kupata undani wa habari hii #simbasc #Namungofc #MpenjaTV



BAADA YA KIPIGO CHA YANGA SASA AZAM FC WAPATA UFUNGUO WA KUSHUSHA VIPONDO/MSIKIE KOCHA AKIFUNGUKA
BAADA YA KIPIGO CHA YANGA SASA AZAM FC WAPATA UFUNGUO WA KUSHUSHA VIPONDO/MSIKIE KOCHA AKIFUNGUKA

Malkia wa Mpenja TV, Jane Joseph Kishai, amefanya mahojiano maalumu na kocha msaidizi wa Azam FC, Bahati Vivier, baada ya timu yao kushinda 1-0 dhidi ya Geita Gold FC kwenye mchezo wa ligi kuu ya NBC uliochezwa Novemba 2, 2021, uwanja wa Azam Complex, Chamazi. #NBCPremierLeague #AzamFC #GeitaGoldFC #JaneKishai #MpenjaTV



SIKIA CHECHE ZA ZAKA ZAKAZI BAADA YA AZAM FC KUWALAZA NA VIATU GEITA GOLD FC/CHAMAZI KUNANOGA
SIKIA CHECHE ZA ZAKA ZAKAZI BAADA YA AZAM FC KUWALAZA NA VIATU GEITA GOLD FC/CHAMAZI KUNANOGA

Baada ya Azam FC kushinda 1-0 dhidi ya Geita Gold FC katika mchezo wa ligi kuu ya NBC uliochezwa Novemba 2, 2021 uwanja wa Azam Complex, Chamazi, #MpenjaTV tumefanya mahojiano na Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Azam FC, Thabit Chumwi Zakaria. #AzamfcVsGeitaGoldFC #ThabitZakaria #JaneKishai #MpenjaTV



Highlights

AL HILAL NI UNDERDOG KWA YANGA/DE AGOSTO NI WADOGO SANA KWA SIMBA/MSIKIE JAMES SAMUEL.
AL HILAL NI UNDERDOG KWA YANGA/DE AGOSTO NI WADOGO SANA KWA SIMBA/MSIKIE JAMES SAMUEL.

Mchambuzi wa Azam Tv James Samuel amewachambua Wapinzani wa Simba na Yanga kimataifa ambao ni Al Hilal ya Sudan ...



KAY MZIWANDA:MOSES PHIRI NI BALAAA!/ OLE WAO WANAOMBEZA MZUNGU
KAY MZIWANDA:MOSES PHIRI NI BALAAA!/ OLE WAO WANAOMBEZA MZUNGU

Mpenja TV tumekuletea mahojiano na makocha pamoja na mashabiki baada ya kumalizika kwa mchezo wa ligi ya Mabingwa ...



AHMED ALLY ACHUTAMA KWA MOSES PHIRI/MZUNGU AMEKUJA KIVINGINE/TULIENI WANASIMBA.
AHMED ALLY ACHUTAMA KWA MOSES PHIRI/MZUNGU AMEKUJA KIVINGINE/TULIENI WANASIMBA.

Mpenja TV tumekuletea mahojiano na makocha pamoja na mashabiki baada ya kumalizika kwa mchezo wa ligi ya Mabingwa ...



MASHABIKI WA SIMBA WADATA NA MZUNGU HATUJAMALIZA/WATAKA KUTOA WIMBO MPYA.
MASHABIKI WA SIMBA WADATA NA MZUNGU HATUJAMALIZA/WATAKA KUTOA WIMBO MPYA.

Leo ndiyo leoo, Siku iliyosubiriwa kwa hamu imewadia. . Ni hapa hapa Establdio de Benjamin Mkapa kunako Mbungi la Mnyama ...



KINYONGEE!! KOCHA AWALAUMU WACHEZAJI "WAKE KUWA WAZITO/ HAUWEZI KUIFUNGA KIRAHISI SIMBA SC"
KINYONGEE!! KOCHA AWALAUMU WACHEZAJI "WAKE KUWA WAZITO/ HAUWEZI KUIFUNGA KIRAHISI SIMBA SC"

Mpenja TV tumekuletea mahojiano na makocha pamoja na mashabiki baada ya kumalizika kwa mchezo wa ligi ya Mabingwa ...



WAPINZANI WA SIMBA NYASSA BIG BULLETS WATUA KWA MBWEMBWE/WAGOMA KUONGEA/TAZAMA HAPA.
WAPINZANI WA SIMBA NYASSA BIG BULLETS WATUA KWA MBWEMBWE/WAGOMA KUONGEA/TAZAMA HAPA.

Timu ya Nyasa Big Bullets ya Malawi imetua nchini leo Septemba 16 kujiandaa kukabiliana na Simba Sc katika mchezo wao wa ...



UCHAMBUZI WA MZINGA "MCHEZAJI ANAETAKIWA KUCHUNGWA SANA NA SIMBA SC/ YANGA HAKUNA CHA KUPOTEZA.."
UCHAMBUZI WA MZINGA "MCHEZAJI ANAETAKIWA KUCHUNGWA SANA NA SIMBA SC/ YANGA HAKUNA CHA KUPOTEZA.."

Mchambuzi wa Soka kutokea Azam Tv, Gharib Mzinga ameeleza Mtazamo wake kuelekea Michezo ya Marudiano ya Ligi ya ...



MAUFUNDI: WATAPIGWA KAMA NGOMA/ BIG BULLETS KAZI WANAYO KWA SIMBA/ YANGA NAWAONA MBALI.....
MAUFUNDI: WATAPIGWA KAMA NGOMA/ BIG BULLETS KAZI WANAYO KWA SIMBA/ YANGA NAWAONA MBALI.....

Muigizaji wa Filamu za Vichekesho na Mdau wa Soka Nchini, Maulid Ally 'Mau Fundi' ametoa Maoni yake kuhusu Michezo Miwili ...




« Previous Next »


User Detail Page

You can find user latest posts and related content on the page. Friends, comments for events / matches are also available on the page. Even you can find users who are same pleasure with current user.

#Travel, #SupportYourTeam, #AllAboutSports