BAADA YA KIPIGO CHA YANGA SASA AZAM FC WAPATA UFUNGUO WA KUSHUSHA VIPONDO/MSIKIE KOCHA AKIFUNGUKA
BAADA YA KIPIGO CHA YANGA SASA AZAM FC WAPATA UFUNGUO WA KUSHUSHA VIPONDO/MSIKIE KOCHA AKIFUNGUKA

Malkia wa Mpenja TV, Jane Joseph Kishai, amefanya mahojiano maalumu na kocha msaidizi wa Azam FC, Bahati Vivier, baada ya timu yao kushinda 1-0 dhidi ya Geita Gold FC kwenye mchezo wa ligi kuu ya NBC uliochezwa Novemba 2, 2021, uwanja wa Azam Complex, Chamazi. #NBCPremierLeague #AzamFC #GeitaGoldFC #JaneKishai #MpenjaTV



SIKIA CHECHE ZA ZAKA ZAKAZI BAADA YA AZAM FC KUWALAZA NA VIATU GEITA GOLD FC/CHAMAZI KUNANOGA
SIKIA CHECHE ZA ZAKA ZAKAZI BAADA YA AZAM FC KUWALAZA NA VIATU GEITA GOLD FC/CHAMAZI KUNANOGA

Baada ya Azam FC kushinda 1-0 dhidi ya Geita Gold FC katika mchezo wa ligi kuu ya NBC uliochezwa Novemba 2, 2021 uwanja wa Azam Complex, Chamazi, #MpenjaTV tumefanya mahojiano na Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Azam FC, Thabit Chumwi Zakaria. #AzamfcVsGeitaGoldFC #ThabitZakaria #JaneKishai #MpenjaTV





Popular Tags

#Neymar  #New York Knicks  #LeBron James  #Best Goalkeeper Saves  #Mesut Ozil  #Los Angeles Lakers  #Cleveland Cavaliers  #Best Ball Controls  #Paul George  #Stephen Curry  

Popular Users

#BadgerMBB  #BrunoMars  #rioferdy5  #JJWatt  #espn  #JLo  #jimmyfallon  #selenagomez  #elonmusk  #taylorswift13  #DanicaPatrick  #WWE  #themichaelowen  #britneyspears  #jtimberlake