Mpenja TV's user profile page. Match highlights, posts and more on site!“” Report User |
Leo May 08,2024 katika uwanja wa Azam complex kutachezwa mchezo mmoja wa NBC PREMIER LEAGUE ambao utazikutanisha Yanga SC dhidi ya Kagera Sugar
Meneja Habari na Mawasiliano wa klabu ya Yanga Ally Kamwe, amezungumza na Mpenja TV na kuelezea Mipango ya Timu yake kuelekea katika Mchezo wa CRDB Federation Cup Dhidi ya Dhidi ya Tabora United Mchezo ambao utachezwa May 1,2024 katika uwanja wa Azam Complex Pia Ally Kamwe amegusia kuhusu tetesi za Mchezaji wao Pacome Zouzoua na kuweka wazi kinachoendelea mpaka sasa.
Leo Aprili 13,2024 Wajukuu wa Mbogo maji Ihefu SC wanamualika Mnyama Simba SC katika Uwanja wa CCM LITI Singida kumenyana mchezo wa ligi kuu ya NBC,Saa 10:00 jioni.
Meneja Habari na Mawasiliano wa Yanga SC,Ally kamwe amewasili Dodoma kwa ajili ya mchezo wa kombe la Shirikisho la Benki ya CRDB,utakaochezwa Saa 2:00 usiku,Uwanja wa Jamhuri.
COMMENTATOR wenu wa Boli, Baraka Mpenja, amekuja na Jambo zito kuhusu AFCON. Sasa mtampata huku kama kawaida, ...
Safari ya kurudi Tanzania imeanza kwenye Dimba la Kigali Pele, Mashabiki wa Yanga wamezungumza kuhusu uzuri wa Rwanda ...
Leo tarehe 16 Septemba ligi ya mabigwa barani Afrika wawakilishi kutoka Tanzania Simba na Yanga wataiwakilisha Tanzania ...