Mpenja TV's user profile page. Match highlights, posts and more on site!

“”

 Report User

Latest Posts

ALLY KAMWE" NI TAISHANGILIA SIMBA NA AZAM KWA MARA YA KWANZA/ENG HERSI KAJA NA VITU VIZITO KU
ALLY KAMWE" NI TAISHANGILIA SIMBA NA AZAM KWA MARA YA KWANZA/ENG HERSI KAJA NA VITU VIZITO KU

Leo May 08,2024 katika uwanja wa Azam complex kutachezwa mchezo mmoja wa NBC PREMIER LEAGUE ambao utazikutanisha Yanga SC dhidi ya Kagera Sugar



ALLY KAMWE"JOBE NI HAALAND MTUPU/ANA MIKIMBIO NA MIDONDOKO/NIMEPENDEKEZA MSIMU UJAO AJE YANGA
ALLY KAMWE"JOBE NI HAALAND MTUPU/ANA MIKIMBIO NA MIDONDOKO/NIMEPENDEKEZA MSIMU UJAO AJE YANGA

Meneja Habari na Mawasiliano wa klabu ya Yanga Ally Kamwe, amezungumza na Mpenja TV na kuelezea Mipango ya Timu yake kuelekea katika Mchezo wa CRDB Federation Cup Dhidi ya Dhidi ya Tabora United Mchezo ambao utachezwa May 1,2024 katika uwanja wa Azam Complex Pia Ally Kamwe amegusia kuhusu tetesi za Mchezaji wao Pacome Zouzoua na kuweka wazi kinachoendelea mpaka sasa.



AHMED ALLY" WANASIMBA WENYE ROHO NGUMU WAJE KWENYE DABI/TUMEPATA MATOKEO MABAYA MFULULIZO
AHMED ALLY" WANASIMBA WENYE ROHO NGUMU WAJE KWENYE DABI/TUMEPATA MATOKEO MABAYA MFULULIZO

Leo Aprili 13,2024 Wajukuu wa Mbogo maji Ihefu SC wanamualika Mnyama Simba SC katika Uwanja wa CCM LITI Singida kumenyana mchezo wa ligi kuu ya NBC,Saa 10:00 jioni.



ALLY KAMWE" SIMBA WAMEFUNGWA MDOMO/TUTAWAFUNGA 5G TENA/DODOMA JIJI MENEJA WAO KAWAPONZA
ALLY KAMWE" SIMBA WAMEFUNGWA MDOMO/TUTAWAFUNGA 5G TENA/DODOMA JIJI MENEJA WAO KAWAPONZA

Meneja Habari na Mawasiliano wa Yanga SC,Ally kamwe amewasili Dodoma kwa ajili ya mchezo wa kombe la Shirikisho la Benki ya CRDB,utakaochezwa Saa 2:00 usiku,Uwanja wa Jamhuri.



Highlights


Next »


User Detail Page

You can find user latest posts and related content on the page. Friends, comments for events / matches are also available on the page. Even you can find users who are same pleasure with current user.

#Travel, #SupportYourTeam, #AllAboutSports