FRED VUNJA BEI ATOA UFAFANUZI SAKATA LA JEZI ZA SIMBA KUTENGENEZWA NA GSM/TUNAHUJUMIWA/AMETUKOSEA... Mpenja Tv tumefanya Mahojiano na Mtengenezaji na Msambazaji wa jezi za klabu ya Simba, Fred Vunja Bei, ambaye ametoa ufafanuzi juu ya jezi za Simba ambazo zinasambaa mitandaoni zikiwa na maneno ya Yanga na GSM. Pia ameongelea suala la upatikani wa jezi kwa sasa baada ya baadhi ya mashabiki kulalamika kukosa jezi wanazozihitaji madukani... #SimbaSC #JeziZaSimba #FredVunjaBei #MpenjaTV
JE, UNA JAMBO LAKO? USILIFICHE! ๐ Kuwa wa kwanza kutujuza habari, matukio, au matangazo kupitia MPENJA TV. Sisi tupo hapa kwa ajili yako! ๐ด TUPIGIE/WHATSAPP: +255 748 101 101 ๐ SIMU: +255 686 816 895 | +255 686 715 249 ๐ง EMAIL: mpenjatvtz@gmail.com
JE, UNA JAMBO LAKO? USILIFICHE! ๐ Kuwa wa kwanza kutujuza habari, matukio, au matangazo kupitia MPENJA TV. Sisi tupo hapa kwa ajili yako! ๐ด TUPIGIE/WHATSAPP: +255 748 101 101 ๐ SIMU: +255 686 816 895 | +255 686 715 249 ๐ง EMAIL: mpenjatvtz@gmail.com