FRED VUNJA BEI ATEGUA KITENDAWILI KUHUSU JEZI ZA SIMBA KUWA NA BARCODE ZA YANGA NA GSM/MSIKILIZE by @Mpenja TV - Post Details

FRED VUNJA BEI ATEGUA KITENDAWILI KUHUSU JEZI ZA SIMBA KUWA NA BARCODE ZA YANGA NA GSM/MSIKILIZE

FRED VUNJA BEI ATOA UFAFANUZI SAKATA LA JEZI ZA SIMBA KUTENGENEZWA NA GSM/TUNAHUJUMIWA/AMETUKOSEA... Mpenja Tv tumefanya Mahojiano na Mtengenezaji na Msambazaji wa jezi za klabu ya Simba, Fred Vunja Bei, ambaye ametoa ufafanuzi juu ya jezi za Simba ambazo zinasambaa mitandaoni zikiwa na maneno ya Yanga na GSM. Pia ameongelea suala la upatikani wa jezi kwa sasa baada ya baadhi ya mashabiki kulalamika kukosa jezi wanazozihitaji madukani... #SimbaSC #JeziZaSimba #FredVunjaBei #MpenjaTV

Similar Posts!

MPENJA AUKATAA UNAFIKI KWEUPE! AFUNGA MJADALA WA CHAMA NA OKELLO/AISIFIA YANGA KWA UJENZI WA UWANJA.
MPENJA AUKATAA UNAFIKI KWEUPE! AFUNGA MJADALA WA CHAMA NA OKELLO/AISIFIA YANGA KWA UJENZI WA UWANJA.

JE, UNA JAMBO LAKO? USILIFICHE! ๐ŸŒ Kuwa wa kwanza kutujuza habari, matukio, au matangazo kupitia MPENJA TV. Sisi tupo hapa kwa ajili yako! ๐Ÿ”ด TUPIGIE/WHATSAPP: +255 748 101 101 ๐Ÿ“ž SIMU: +255 686 816 895 | +255 686 715 249 ๐Ÿ“ง EMAIL: mpenjatvtz@gmail.com



FEI TOTO: "CHAMA ALIFUNGA GOLI ZURI SANA/MIMI MWENYEWE NIMELIPENDA"
FEI TOTO: "CHAMA ALIFUNGA GOLI ZURI SANA/MIMI MWENYEWE NIMELIPENDA"

JE, UNA JAMBO LAKO? USILIFICHE! ๐ŸŒ Kuwa wa kwanza kutujuza habari, matukio, au matangazo kupitia MPENJA TV. Sisi tupo hapa kwa ajili yako! ๐Ÿ”ด TUPIGIE/WHATSAPP: +255 748 101 101 ๐Ÿ“ž SIMU: +255 686 816 895 | +255 686 715 249 ๐Ÿ“ง EMAIL: mpenjatvtz@gmail.com