FRED VUNJA BEI ATOA UFAFANUZI SAKATA LA JEZI ZA SIMBA KUTENGENEZWA NA GSM/TUNAHUJUMIWA/AMETUKOSEA... Mpenja Tv tumefanya Mahojiano na Mtengenezaji na Msambazaji wa jezi za klabu ya Simba, Fred Vunja Bei, ambaye ametoa ufafanuzi juu ya jezi za Simba ambazo zinasambaa mitandaoni zikiwa na maneno ya Yanga na GSM. Pia ameongelea suala la upatikani wa jezi kwa sasa baada ya baadhi ya mashabiki kulalamika kukosa jezi wanazozihitaji madukani... #SimbaSC #JeziZaSimba #FredVunjaBei #MpenjaTV
Meneja Habari na Mawasiliano wa klabu ya Yanga Ally Kamwe, amezungumza na Mpenja TV na kuelezea Mipango ya Timu yake kuelekea katika Mchezo wa CRDB Federation Cup Dhidi ya Dhidi ya Tabora United Mchezo ambao utachezwa May 1,2024 katika uwanja wa Azam Complex Pia Ally Kamwe amegusia kuhusu tetesi za Mchezaji wao Pacome Zouzoua na kuweka wazi kinachoendelea mpaka sasa.