Mpenja TV's user profile page. Match highlights, posts and more on site!“” Report User |
Baaada ya kutamatika mchezo wa Ligi kuu ya NBC kati Azam Fc na Mtibwa Sugar na Azam Fc kuibuka na Ushindi wa Goli moja kwa bila lilifungwa na Idris Mbombo Mpenja Tv tukapata nafasi ya kuzungumza na Msemaji wa Klabu ya Mtibwa Sugar Thobias Kifaru na Msemaji wa Azam Fc Zakazakazi Fuatilia mahojiano yote hapa kujua alichoongea Thobias Kifaru na Zakazakazi #AzamFc #MtibwaSugar #AzamFcVsMtibwaSugar #LigikuuyaNBC
Mpenja TV leo novemba 30 2021 tupo uwanja wa Chamazi Complex kukuletea matukio yote yanayoendelea kwenye mchezo wa Azam Fc dhidi ya Mtibwa sugar. . Fungua video hii kupata uhondo wote wa habari hii. . #azamfc #mtibwasugar #mpenjaTv #NBCpremierleague
Mpenja TV leo Novemba 22, 2021 imefanya mahojiano maalumu na Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Yanga SC, Hassan Bumbuli, ambaye amezungumzia mambo mbalimbali. Bumbuli pia amejibu kuhusu taarifa ya Ofisa Habari wa Geita Gold FC, Hemed Kivuyo, anayedai wametuma barua Yanga wakiomba kujua bei ya kuwanunua baadhi ya wachezaji, Feisal Salum na Mukoko Tonombe. Fuatilia mahojiano haya yakifanywa na Alwatan Abdulazi. #YangaSC #HassanBumbuli #FeisalSalum #MukokoTonombe #MpenjaTV
KICHUYA AWAKA "NIKISEMA TUMEONEWA NITAFUNGIWA MECHI, YANGA TULIWABANA KILA SEHEMU..." 🔴Timu ya Mpenja TV, tupo Uwanja wa Ilulu Lindi kutoa taarifa zote za kabla na baada ya mechi kali ya ligi kuu ya NBC kati ya wenyeji Namungo FC na Vinara Yanga SC. Nani kuibuka na ushindi?…mambo ni moto moto🔥 Endelea kutufuatilia, tuko tayari kukuhudumia kwa weledi mkubwa. #NamungoFC #YangaSC #NamungovsYanga #MpenjaTV
Mchezo wa ligi kuu ya NBC Umemalizika katika uwanja wa CCM Kirumba Ruvu shooting dhidi ya Simba na matokea mpaka dakika tisini Ruvu Shooting 1 vs Simba 3.
Mchezo wa ligi kuu ya NBC Umemalizika katika uwanja wa CCM Kirumba Ruvu shooting dhidi ya Simba na matokea mpaka dakika tisini Ruvu Shooting 1 vs Simba 3. #MasauBwire #Ruvushooting #Simbasc #kochasimba #Pablofranco #MpenjaTv
Mchezo wa ligi kuu ya NBC Umemalizika katika uwanja wa CCM Kirumba Ruvu shooting dhidi ya Simba na matokea mpaka dakika tisini Ruvu Shooting 1 vs Simba 3. Mpenja Tv tukapata muda wa kuzungumza na Mtangazaji wa mechi yanyewe Iddy Kidedea amefunguka hayaa.... #MasauBwire #Ruvushooting #Simbasc #MpenjaTv
Leo Novemba 19 2021 Mpenja Tv tupo uwanja wa CCM Kirumba Mwanza kukuletea matukio yote yanayojiri kwenye mchezo wa ligi ya NBC kati ya Ruvu Shooting na Simba Sc Fungua Video hii kupata Utamu wote.... #Ruvushooting #MasauBwire #Simbasc #MpenjaTV
Leo Tarehe 2/10/2022 Simba Sc wanashuka Dimba la Benjamin Mkapa kumenyana na Walima Zabibu Dodoma Jiji, kwenye ...
Leo Tarehe 2/10/2022 Simba Sc wanashuka Dimba la Benjamin Mkapa kumenyana na Walima Zabibu Dodoma Jiji, kwenye ...
Leo Tarehe 2/10/2022 Simba Sc wanashuka Dimba la Benjamin Mkapa kumenyana na Walima Zabibu Dodoma Jiji, kwenye ...
Leo Tarehe 2/10/2022 Simba Sc wanashuka Dimba la Benjamin Mkapa kumenyana na Walima Zabibu Dodoma Jiji, kwenye ...
Tazama hapa mahojiano na Makocha,Wachezaji, Ofisa habari na Wachambuzi wakitoa tathmini kuhusu mchezo wa ligi kuu Kati ...
Tazama hapa mahojiano na Makocha,Wachezaji, Ofisa habari na Wachambuzi wakitoa tathmini kuhusu mchezo wa ligi kuu Kati ...
Tazama hapa mahojiano na Makocha,Wachezaji, Ofisa habari na Wachambuzi wakitoa tathmini kuhusu mchezo wa ligi kuu Kati ...
Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba Sc,Ahmed Ally amewatembelea Mashabiki wa Simba Sc Bi Khalima pamoja na Bi ...