Leo Novemba 17, 2021 Mpenja TV tupo Mwanza Mjini kukuletea matukio yote yanayojiri kwenye mchezo wa Ruvu Shooting dhidi ya Simba Sports Club Utakaopigwa Ijumaa hii. . Alwatan Abdulaziz Kipanduka Wa Mpenja TV amezungumza na Ofisa habari wa Ruvu Shooting Masau Bwire kuelekea Mchezo huo. . Bwire amefunguka mengi sana kwenye mahojiano haya ilkiwemo kuwakaribisha Mashabiki wa Yanga kwenye mchezo huo. . Fungua video hii kutazama mahojiano haya kwa undani. #NBCPremierLeague #MasauBwire #Simbasc #RuvuShooting #MpenjaTv