Muhamisishaji na Shabiki kindakindaki wa timu ya taifa ya Tanzania Bongo zozo amefunguka baada ya kurejea nchini wakitokea madagascar walipoenda kuisapoti timu ya taifa ambayo ilikua ikikamilisha ratiba katika kundi dhidi ya madagascar mchezo ambao ulimalizika kwa bao 1-1..... #BongoZozo #Taifastars #MpenjaTv