BAADA YA KIPIGO CHA YANGA SASA AZAM FC WAPATA UFUNGUO WA KUSHUSHA VIPONDO/MSIKIE KOCHA AKIFUNGUKA by @Mpenja TV - Post Details

BAADA YA KIPIGO CHA YANGA SASA AZAM FC WAPATA UFUNGUO WA KUSHUSHA VIPONDO/MSIKIE KOCHA AKIFUNGUKA

Malkia wa Mpenja TV, Jane Joseph Kishai, amefanya mahojiano maalumu na kocha msaidizi wa Azam FC, Bahati Vivier, baada ya timu yao kushinda 1-0 dhidi ya Geita Gold FC kwenye mchezo wa ligi kuu ya NBC uliochezwa Novemba 2, 2021, uwanja wa Azam Complex, Chamazi. #NBCPremierLeague #AzamFC #GeitaGoldFC #JaneKishai #MpenjaTV

Similar Posts!