Mpenja TV's user profile page. Match highlights, posts and more on site!

“”

 Report User

Latest Posts

SHABIKI AZAM FC AMWAGA MACHOZI KISA AZIZ KI/"NILIZIMIA KUAMKA NAKUTA 2-0/TUNAUMIA SANA MASHABIKI"
SHABIKI AZAM FC AMWAGA MACHOZI KISA AZIZ KI/"NILIZIMIA KUAMKA NAKUTA 2-0/TUNAUMIA SANA MASHABIKI"

Leo August 9 2023,katika Dimba la Mkwakwani jijini Tanga inapigwa mbungi ya nusu fainali ya kwanza ya ngao ya jamii 2023 kati ya Yanga SC na Azam FC,Saa moja Usiku. Mpenja TV tunakuletea taarifa za matukio yote yatakayojiri kwenye mbungi hiyo.



SIMBA WATUA KIBABE UWANJA WA NDEGE/KIKOSI KAMILI KIPO/ONANA, KRAMO WAMO KUNDINI.
SIMBA WATUA KIBABE UWANJA WA NDEGE/KIKOSI KAMILI KIPO/ONANA, KRAMO WAMO KUNDINI.

Kikosi cha Simba Kimetua Tanzania kutokea Uturuki walipokita Kambi ya maandalizi ya Msimu mpya. Kikosi hicho kimeongozwa na Kocha Robertinho pamoja na baadhi ya Viongozi akiwemo Mratibu wa Timu Abbas Ally.



MAYELE AMTOA CHOZI BARAKA MPENJA/ATUA PYRAMIDS MISRI/MWENYE KISU KIKALI NDIYE MLA NYAMA..
MAYELE AMTOA CHOZI BARAKA MPENJA/ATUA PYRAMIDS MISRI/MWENYE KISU KIKALI NDIYE MLA NYAMA..

Hatimaye Pyramids FC ya Misri imetangaza kumsajili Mshambuliaji FISTON MAYELE kutoka Yanga SC. Nayo Klabu ya Yanga imemuaga rasmi Mayele na kumshukuru kwa huduma yake ya miaka miwili.



YANGA KUKIPIGA NA AS VITA MECHI YA KIRAFIKI?/ALLY KAMWE AWEKA WAZI/MSHAMBULIAJI MPYA KUTUA LINI?
YANGA KUKIPIGA NA AS VITA MECHI YA KIRAFIKI?/ALLY KAMWE AWEKA WAZI/MSHAMBULIAJI MPYA KUTUA LINI?

Mpenja Tv tumezungumza na Meneja Habari na Mawasiliano wa Yanga SC Ally Shaban Kamwe kuhusu Uwepo wa mchezo wa Kirafiki kipindi hiki cha Maandalizi kwa ajili ya Msimu ujao wa 2023/24 Ally Kamwe amejibu taarifa ambazo zinaenea uwepo wa Mchezo wa Kirafiki dhidi ya AS Vita Je Mchezo upo au haupo? Amejibu yote hapa Ally Kamwe.....



WAFAHAMU ASAS/AL MERREIKH/WAPINZANI WA YANGA/TIMU YA KAWAIDA/SINGIDA/JKU KAZI WANAYO - GHARIB MZINGA
WAFAHAMU ASAS/AL MERREIKH/WAPINZANI WA YANGA/TIMU YA KAWAIDA/SINGIDA/JKU KAZI WANAYO - GHARIB MZINGA

Baada ya Kufanyika Droo ya Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho Barani Afrika Mpenja Tv tumekuletea Uchambuzi wa Viwango kutoka kwa Mchambuzi Bora Kabisa wa Soka la Afrika Gharib Mzinga.... Fungua Video Hii kupata Habari Kamili..



ALLY KAMWE AWEKA WAZI HATIMA YA MAYELE/UWANJA KUTOKUJAA TATIZO SIO KIINGILIO/TUMEPATA MAPATO MAKUBWA
ALLY KAMWE AWEKA WAZI HATIMA YA MAYELE/UWANJA KUTOKUJAA TATIZO SIO KIINGILIO/TUMEPATA MAPATO MAKUBWA

Mpenja Tv tumezungumza na Meneja Habari na Mawasiliano wa Yanga SC Ally Shaban Kamwe baada ya Kumalizika kwa Tamasha la Wiki ya Mwananchi ambalo lilifanyika Siku ya Jana Julai 22 Uwanja wa Benjamin Mkapa wao kama Klabu ni kwa kiasi gani wamefanikisha malengo ambayo walijiwekea....



AHMED ALLY: "TUMEUMIA MIQUISSONE KUVUNJA MKATABA/JEZI NAMBA 6/KIBEGI KIMEFIKA/TAJIRI MO KASEMAJE?"
AHMED ALLY: "TUMEUMIA MIQUISSONE KUVUNJA MKATABA/JEZI NAMBA 6/KIBEGI KIMEFIKA/TAJIRI MO KASEMAJE?"

uelekea Uzinduzi wa Jezi Mpya za Simba kwa Msimu ujao wa 2023/24 Tumezungumza na Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba SC Ahmed Ally na kutufahamisha shuhuli nzima itakavyokuwa siku ya Kesho Julai 19 wakati wa kukipandisha kibegi cha Jezi Mpya Juu ya Mlima Kilimanjaro



AHMED ALLY AWAVAA YANGA/"NGOMA TULIMUIBA/WAMEMSHINDWA MAYELE WANAMTAKA CHAMA?/MKUDE TUTAMUAGA"
AHMED ALLY AWAVAA YANGA/"NGOMA TULIMUIBA/WAMEMSHINDWA MAYELE WANAMTAKA CHAMA?/MKUDE TUTAMUAGA"

Rasmi Fabrice Luamba Ngoma ni Nyota wa Simba SC baada ya kusaini Kandarasi ya Miaka Miwili na Wekundu wa Msimbazi Simba SC. Tumezungumza na Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba Ahmed Ally kuhusu Usajili huo kuanzia Mchakato wa kumapata na Kandarasi husika. Kuhusu Nyota wapya kuingia Kambini Nchini Uturuki Ahmed ametaja Tarehe husika ya Nyota hao kuanza Safari. Maswali kuhusu kuangwa kwa Jonas Mkude Siku ya Simba Day pia yamejibiwa hapa na Ahmed Ally. Kuhusu Chama Ahmed amewatoa hofu wana Simba pasina kusahau Kijembe kwa Watani zake kuhusu Fiston Mayele kuondoka Yanga.



Highlights

MCHEZAJI AL HILAL AKUBALI MPIRA WA TANZANIA, UPO JUU/TULIJUA TUTAPATA UPINZANI...
MCHEZAJI AL HILAL AKUBALI MPIRA WA TANZANIA, UPO JUU/TULIJUA TUTAPATA UPINZANI...

Mchezaji wa Al Hilal, John Mano akizungumzia Ushindani waliokutana nao kucheza na Azam FC kwenye Mchezo wa Kirafiki na ...



KIGELEGELE: YANGA TUNATUMIA AKILI NYINGI NA NGUVU KIASI/MUDATHIR YAHYA KAUPIGA MWINGI
KIGELEGELE: YANGA TUNATUMIA AKILI NYINGI NA NGUVU KIASI/MUDATHIR YAHYA KAUPIGA MWINGI

Leo Tarehe 23/1/2023 Yanga SC Wanashuka Dimba la Benjamin Mkapa kumenyana na Ruvu Shooting kwenye Mchezo wa ligi ...



YANGA HATUWEZI KUCHEZA NA WASHAMBULIAJI WAWILI/ MAYELE APUMZIKE KIDOGO/MUSONDA ATAFUNGA SANA....
YANGA HATUWEZI KUCHEZA NA WASHAMBULIAJI WAWILI/ MAYELE APUMZIKE KIDOGO/MUSONDA ATAFUNGA SANA....

Leo Tarehe 23/1/2023 Yanga SC Wanashuka Dimba la Benjamin Mkapa kumenyana na Ruvu Shooting kwenye Mchezo wa ligi ...



MIUNO YA MASHABIKI WA YANGA NI HATARI/HAWAKUTAKA MUSONDA AFUNGE/SHIDA YETU NI POINTI TATU...
MIUNO YA MASHABIKI WA YANGA NI HATARI/HAWAKUTAKA MUSONDA AFUNGE/SHIDA YETU NI POINTI TATU...

Leo Tarehe 23/1/2023 Yanga SC Wanashuka Dimba la Benjamin Mkapa kumenyana na Ruvu Shooting kwenye Mchezo wa ligi ...



MCHEZAJI RUVU: YANGA IMETUSUMBUA/THAMANI YA MCHEZAJI INASHUKA/HATUKUJA KUCHEZA NA MCHEZAJI MMOJA
MCHEZAJI RUVU: YANGA IMETUSUMBUA/THAMANI YA MCHEZAJI INASHUKA/HATUKUJA KUCHEZA NA MCHEZAJI MMOJA

Leo Tarehe 23/1/2023 Yanga SC Wanashuka Dimba la Benjamin Mkapa kumenyana na Ruvu Shooting kwenye Mchezo wa ligi ...



KOCHA RUVU SHOOTING: TULISTAHILI KUSHINDA HUU MCHEZO/HAWAJAFIKIA KIWANGO TUNACHOKIHITAJI..
KOCHA RUVU SHOOTING: TULISTAHILI KUSHINDA HUU MCHEZO/HAWAJAFIKIA KIWANGO TUNACHOKIHITAJI..

Leo Tarehe 23/1/2023 Yanga SC Wanashuka Dimba la Benjamin Mkapa kumenyana na Ruvu Shooting kwenye Mchezo wa ligi ...



KOCHA NABI: "TUMECHEZA NA TIMU AMBAYO HAIKUJA KUTUFUNGA/ILIKUJA KUZUIA TU...
KOCHA NABI: "TUMECHEZA NA TIMU AMBAYO HAIKUJA KUTUFUNGA/ILIKUJA KUZUIA TU...

Leo Tarehe 23/1/2023 Yanga SC Wanashuka Dimba la Benjamin Mkapa kumenyana na Ruvu Shooting kwenye Mchezo wa ligi ...



GOLIKIPA WA AZAM HAKUWA ENEO SAHIHI/BRUNO GOMES THAMANI YAKE NI KUBWA/KOCHA AZAM HAKUFANIKIWA"
GOLIKIPA WA AZAM HAKUWA ENEO SAHIHI/BRUNO GOMES THAMANI YAKE NI KUBWA/KOCHA AZAM HAKUFANIKIWA"

Kwenye Uwanja wa CCM Liti Singida,Imechezwa Mechi ya Ligi Kuu ya NBC kati ya Singida Big Stars dhidi Azam Fc Majira yale ...




« Previous Next »


User Detail Page

You can find user latest posts and related content on the page. Friends, comments for events / matches are also available on the page. Even you can find users who are same pleasure with current user.

#Travel, #SupportYourTeam, #AllAboutSports