Azam TV's user profile page. Match highlights, posts and more on site!

“”

 Report User

Latest Posts

USIKU WA VITASA | Karim Mandoga Vs Mada Maugo (TKO) - 11/04/2024
USIKU WA VITASA | Karim Mandoga Vs Mada Maugo (TKO) - 11/04/2024

Kwa TKO raundi ya sita, Mada Maugo amemkalisha Karim Mandonga.



Mashujaa FC 1-1 (6-5) Simba SC | Penati | CRDB Bank Federation Cup - 09/04/2024
Mashujaa FC 1-1 (6-5) Simba SC | Penati | CRDB Bank Federation Cup - 09/04/2024

Tazama mikwaju yote ya penati iliyopigwa kwenye mchezo CRDB Bank Federation Cup kati ya Mashujaa FC dhidi ya Simba SC. Simba imetolewa kwa jumla ya penati 6-5 Waliopiga kwa upande wa Simba ni Mohamed Hussein, Israel Mwenda, Freddy Michael Koublan, Willy Onana, Mzamiru Yassin, Ladack Chasambi, Sadio Kanoute Waliopiga kwa upande wa Mashujaa ni Zuberi Dabi, Samson Madeleke, Masinda, Idrissa Stambuli, Adam Adam, Mpoki Mwakinyuke, Baraka Mtui



Yanga kupeleka malalamiko CAF yaliyojiri mechi yao na Mamelodi Sundowns
Yanga kupeleka malalamiko CAF yaliyojiri mechi yao na Mamelodi Sundowns

“Kama klabu lazima tuoneshe kwamba kuna namna ambavyo hatujaridhishwa na kile ambacho kimetokea katika mchezo ule” sehemu ya maneno ya Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga SC, Ally Kamwe akizungumzia hatua ambazo timu hiyo imepanga kuzichukua juu ya yale yaliyojiri katika dimba la Loftus kwenye mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Mamelodi Sundowns.



MSHIKESMSHIKE VIWANJANI - 03/04/2024
MSHIKESMSHIKE VIWANJANI - 03/04/2024

Tazama taarifa mbalimbali za maandalizi ya Simba na Yanga SC kuelekea mechi zao za marudiano za robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika Afrika.



MSHIKEMSHIKE VIWANJANI 01/04/2024
MSHIKEMSHIKE VIWANJANI 01/04/2024

Tazama kipindi cha Mshikemshike Viwanjani ambacho kimekusanya habari mbalimbali ikiwemo taarifa ya Rais wa Yanga, Hersi Said akizungumzia mchakato wa mabadiliko ya klabu hiyo. Mashabiki wa Yanga wameanza safari ya kwenda Mamelodi



Azam FC 2 -1 Yanga SC | Highlights | NBC Premier League 17/03/2024
Azam FC 2 -1 Yanga SC | Highlights | NBC Premier League 17/03/2024

DAR DERBY: Yanga SC imeangukia pua kwa kichapo cha mabao 2-1 kutoka kwa Azam FC, katika #DarDerby iliyopigwa leo Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Yanga imetangulia kupata bao kupitia kwa Clement Mzize dakika ya 10 kabla ya Azam kuchomoa dakika ya 19 kwa goli la Gibril Sillah na kisha Feisal Salum akafunga la ushindi dakika ya 51.



Magoli | Azam FC 2-1 Yanga SC | NBC Premier League 17/03/2024
Magoli | Azam FC 2-1 Yanga SC | NBC Premier League 17/03/2024

DAR DERBY: Yanga SC imeangukia pua kwa kichapo cha mabao 2-1 kutoka kwa Azam FC, katika #DarDerby iliyopigwa leo Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Yanga imetangulia kupata bao kupitia kwa Clement Mzize dakika ya 10 kabla ya Azam kuchomoa dakika ya 19 kwa goli la Gibril Sillah na kisha Feisal Salum akafunga la ushindi dakika ya 51.



Simba 2-0 Mashujaa | Highlights | NBC Premier League 15/03/2024
Simba 2-0 Mashujaa | Highlights | NBC Premier League 15/03/2024

Clatous Chama amefunga magoli mawili muhimu dakika ya 57 na 73, Simba ikipata ushindi wa 2-0 dhidi ya Mashujaa FC, mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa #AzamComplex, Chamazi .



Highlights

Mashabiki DR Congo, Guinea ni urafiki tu baada ya mechi ya robo fainali AFCON
Mashabiki DR Congo, Guinea ni urafiki tu baada ya mechi ya robo fainali AFCON

Soka sio uadui, tazama mashabiki hawa wa DR Congo na Guinea wakicheza muziki baada ya mchezo wao kumalizika.



Neno la Fiston Mayele baada ya DR Congo kuifunga Guinea robo fainali AFCON 2023
Neno la Fiston Mayele baada ya DR Congo kuifunga Guinea robo fainali AFCON 2023

"Mwaka jana nilikosa ubingwa wa Shirikisho, nadhani ni wakati ambao na mimi naweza kuchukua ubingwa wa AFCON” maneno ...



Yanga SC yatembelea kumbukumbu ya mauaji ya kimbari Rwanda
Yanga SC yatembelea kumbukumbu ya mauaji ya kimbari Rwanda

Kikosi cha Yanga leo kimezuru kumbukumbu ya mauaji ya Kimbari eneo la Gisozi hapa Kigali kabla ya kwenda kupata chakula ...



Kikosi cha Yanga chaanza safari kwenda Dar
Kikosi cha Yanga chaanza safari kwenda Dar

Tazama msafara wa Yanga SC ukiwa Uwanja wa Ndege wa Kigali nchini Rwanda tayari kurejea Tanzania kuendelea na ...



Highlights | Coastal Union 1-0 Singida FG | Mechi ya kirafiki - 07/08/2023
Highlights | Coastal Union 1-0 Singida FG | Mechi ya kirafiki - 07/08/2023

MechiYaKirafiki: Tazama mambo yalivyokuwa kwenye mchezo wa kirafiki kati ya Coastal Union dhidi ya Singida Fountain Gate ...



Magoli makali ya Simba 2-0 Power Dynamos | Mechi ya Kirafiki | Simba Day - 06/08/2023
Magoli makali ya Simba 2-0 Power Dynamos | Mechi ya Kirafiki | Simba Day - 06/08/2023

Haya hapa magoli makali ya Simba SC wakiichapa Power Dynamos ya Zambia kwenye mchezo wa kirafiki, magoli hayo ...



SINGIDA BIG DAY | Utambulisho wachezaji wote wa Singida Fountain Gate - 02/08/2023
SINGIDA BIG DAY | Utambulisho wachezaji wote wa Singida Fountain Gate - 02/08/2023

Tazama utambulisho wa wachezaji wote watakaotumika na Singida Fountain Gate msimu wa 2023/24. Mbali na kikosi, Singida ...



Magoli | Fountain Gate Princess 2-1 Bunda Queens | Singida BIG Day - 02/08/2023
Magoli | Fountain Gate Princess 2-1 Bunda Queens | Singida BIG Day - 02/08/2023

Tazama magoli yote matatu yaliyowekwa nyavuni kwenye mchezo wa kirafiki kati ya Fountain Gate Princess dhidi ya Bunda ...




Next »


User Detail Page

You can find user latest posts and related content on the page. Friends, comments for events / matches are also available on the page. Even you can find users who are same pleasure with current user.

#Travel, #SupportYourTeam, #AllAboutSports