AHMED ALLY: "TUMEUMIA MIQUISSONE KUVUNJA MKATABA/JEZI NAMBA 6/KIBEGI KIMEFIKA/TAJIRI MO KASEMAJE?" by @Mpenja TV - Post Details

AHMED ALLY: "TUMEUMIA MIQUISSONE KUVUNJA MKATABA/JEZI NAMBA 6/KIBEGI KIMEFIKA/TAJIRI MO KASEMAJE?"

uelekea Uzinduzi wa Jezi Mpya za Simba kwa Msimu ujao wa 2023/24 Tumezungumza na Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba SC Ahmed Ally na kutufahamisha shuhuli nzima itakavyokuwa siku ya Kesho Julai 19 wakati wa kukipandisha kibegi cha Jezi Mpya Juu ya Mlima Kilimanjaro

Similar Posts!