Hatimaye Pyramids FC ya Misri imetangaza kumsajili Mshambuliaji FISTON MAYELE kutoka Yanga SC. Nayo Klabu ya Yanga imemuaga rasmi Mayele na kumshukuru kwa huduma yake ya miaka miwili.
JE, UNA JAMBO LAKO? USILIFICHE! 🌍 Kuwa wa kwanza kutujuza habari, matukio, au matangazo kupitia MPENJA TV. Sisi tupo hapa kwa ajili yako! 🔴 TUPIGIE/WHATSAPP: +255 748 101 101 📞 SIMU: +255 686 816 895 | +255 686 715 249 📧 EMAIL: mpenjatvtz@gmail.com