Mpenja TV's user profile page. Match highlights, posts and more on site!“” Report User |
Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga SC,Ally kamwe amezungumza namna Timu inavyoendelea kujifua kwa ajili ya mchezo wa ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya AL Merrikh ya Sudan,utakaochezwa Sept 16,2023 Uwanja wa Pele Kigali Rwanda. Kamwe amesema yapo Mabasi 24 kutoka Mikoa mbalimbali yatakayopeleka Mashabiki wa Yanga Rwanda,yakiwemo Mabasi ya Viongozi ambayo hadi sasa mawili yameshajaa,Basi la Rais wa Timu Eng. Hersi Said na Makamu wake Arafat Ally Haji.
Leo tarehe 29 Agosti katika dimba la Azam Complex Chamazi inapigwa mechi ya ligi kuu soka Tanzania bara kati ya mwenyeji Yanga dhidi JKT Tanzania majira ya saa 1 usiku Mpenja Tv tupo Chamazi kuhakikisha unayapata matukio yote muhimu kuhusiana na mechi hii
Leo 26 Agosti,Yanga SC ikiwa nyumbani Uwanja wa Azam Complex Chamazi inamkaribisha ASAS kutoka Djibouti kwenye Mechi ya Marudiano Ligi ya Mabingwa Afrika ikiwa na Faida ya Bao 2 walizopata kwenye Mechi ya kwanza . Mpenja Tv tuko Mubashara kutokea Azam Complex hapa Chamazi kwaajili ya kukuhabarisha kila tukio linalojiri..
Leo Agosti 23 kwenye Uwanja wa Azam Complex Chamazi Bingwa Mtetezi wa Ligi Kuu ya NBC Yanga Sc inamkaribisha KMC Fc Majira ya Saa 1:00 Usiku. Mpenja Tv tayari tumetia Timu kwaajili ya kukuletea Matukio yote kuhusu Mechi hiyo…
Leo Tarehe 22 Agosti Mpenja Tv imeanza safari kuelekea Kisiwani Zanzibar kwaajili ya Tukio la ufunguzi wa Tamasha la Kizimkazi linalofanyika kuanzia Tarehe 25 Kwenye Safari hii imewakutanisha Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba Sc pamoja na Yanga Sc Ahmed Ally pamoja na Ally Kamwe
Leo Tarehe 20 Agosti,Simba Sc ikiwa Nyumbani inamkaribisha Dodoma Jiji kwenye Uwanja wa Uhuru Dar es salaam Majira ya Saa 10:00 Jioni ikiwa ni Ligi Kuu ya NBC. Mpenja Tv tayari tuko Mubashara kukuletea Mfululizo wa Mechi hiyo…
Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga SC,Ally Kamwe ameeleza mipango na Mikakati yao kuelekea mchezo wa ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya ASAS ya Djibouti,utakaochezwa August 20,2023 katika Uwanja wa Azam Complex Chamazi,Saa 11 jioni.
Leo August 13 2023,katika Dimba la Mkwakwani jijini Tanga inapigwa mbungi ya Fainali ya Ngao ya Jamii 2023 kati ya Yanga SC na Simba SC,Saa Moja Usiku. Huku majira ya Saa 9 Alasiri ukupigwa Mchezo wa Kutafuta Mshindi wa 3 kati ya Azam FC dhidi ya Singida Fountain Gate FC Mpenja TV tunakuletea taarifa za matukio yote yatakayojiri kwenye mbungi hiyo.
Leo ndio Leo kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa ni Vita ya Alama kati ya Simba Sc dhidi ya Singida Big Stars Majira ya Saa ...
Leo ndio Leo kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa ni Vita ya Alama kati ya Simba Sc dhidi ya Singida Big Stars Majira ya Saa ...
Leo ndio Leo kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa ni Vita ya Alama kati ya Simba Sc dhidi ya Singida Big Stars Majira ya Saa ...
Leo ndio Leo kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa ni Vita ya Alama kati ya Simba Sc dhidi ya Singida Big Stars Majira ya Saa ...
Leo ndio Leo kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa ni Vita ya Alama kati ya Simba Sc dhidi ya Singida Big Stars Majira ya Saa ...
Leo ndio Leo kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa ni Vita ya Alama kati ya Simba Sc dhidi ya Singida Big Stars Majira ya Saa ...
Leo ndio Leo kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa ni Vita ya Alama kati ya Simba Sc dhidi ya Singida Big Stars Majira ya Saa ...
Leo ndio Leo kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa ni Vita ya Alama kati ya Simba Sc dhidi ya Singida Big Stars Majira ya Saa ...