Mpenja Tv tumezungumza na Meneja Habari na Mawasiliano wa Yanga SC Ally Shaban Kamwe baada ya Kumalizika kwa Tamasha la Wiki ya Mwananchi ambalo lilifanyika Siku ya Jana Julai 22 Uwanja wa Benjamin Mkapa wao kama Klabu ni kwa kiasi gani wamefanikisha malengo ambayo walijiwekea....