Mpenja Tv tumezungumza na Meneja Habari na Mawasiliano wa Yanga SC Ally Shaban Kamwe kuhusu Uwepo wa mchezo wa Kirafiki kipindi hiki cha Maandalizi kwa ajili ya Msimu ujao wa 2023/24 Ally Kamwe amejibu taarifa ambazo zinaenea uwepo wa Mchezo wa Kirafiki dhidi ya AS Vita Je Mchezo upo au haupo? Amejibu yote hapa Ally Kamwe.....