ALLY KAMWE AMPA JINA JIPYA PACOME/"PROFESA WA MPIRA/UKUTA WETU HAUTIKISIKI/POLENI SANA AZAM FC"
ALLY KAMWE AMPA JINA JIPYA PACOME/"PROFESA WA MPIRA/UKUTA WETU HAUTIKISIKI/POLENI SANA AZAM FC"

Leo Tarehe 20 Agosti,Simba Sc ikiwa Nyumbani inamkaribisha Dodoma Jiji kwenye Uwanja wa Uhuru Dar es salaam Majira ya Saa 10:00 Jioni ikiwa ni Ligi Kuu ya NBC. Mpenja Tv tayari tuko Mubashara kukuletea Mfululizo wa Mechi hiyo…



ALLY KAMWE AMLIPUA FABRICE NGOMA/"MAX SIJUI ANACHEZA NAMBA NGAPI/AUCHO KIBOKO YAKE/CHAMAZI KITAWAKA"
ALLY KAMWE AMLIPUA FABRICE NGOMA/"MAX SIJUI ANACHEZA NAMBA NGAPI/AUCHO KIBOKO YAKE/CHAMAZI KITAWAKA"

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga SC,Ally Kamwe ameeleza mipango na Mikakati yao kuelekea mchezo wa ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya ASAS ya Djibouti,utakaochezwa August 20,2023 katika Uwanja wa Azam Complex Chamazi,Saa 11 jioni.



SIMBA WATUA KIBABE UWANJA WA NDEGE/KIKOSI KAMILI KIPO/ONANA, KRAMO WAMO KUNDINI.
SIMBA WATUA KIBABE UWANJA WA NDEGE/KIKOSI KAMILI KIPO/ONANA, KRAMO WAMO KUNDINI.

Kikosi cha Simba Kimetua Tanzania kutokea Uturuki walipokita Kambi ya maandalizi ya Msimu mpya. Kikosi hicho kimeongozwa na Kocha Robertinho pamoja na baadhi ya Viongozi akiwemo Mratibu wa Timu Abbas Ally.



MAYELE AMTOA CHOZI BARAKA MPENJA/ATUA PYRAMIDS MISRI/MWENYE KISU KIKALI NDIYE MLA NYAMA..
MAYELE AMTOA CHOZI BARAKA MPENJA/ATUA PYRAMIDS MISRI/MWENYE KISU KIKALI NDIYE MLA NYAMA..

Hatimaye Pyramids FC ya Misri imetangaza kumsajili Mshambuliaji FISTON MAYELE kutoka Yanga SC. Nayo Klabu ya Yanga imemuaga rasmi Mayele na kumshukuru kwa huduma yake ya miaka miwili.



ALLY KAMWE AWEKA WAZI HATIMA YA MAYELE/UWANJA KUTOKUJAA TATIZO SIO KIINGILIO/TUMEPATA MAPATO MAKUBWA
ALLY KAMWE AWEKA WAZI HATIMA YA MAYELE/UWANJA KUTOKUJAA TATIZO SIO KIINGILIO/TUMEPATA MAPATO MAKUBWA

Mpenja Tv tumezungumza na Meneja Habari na Mawasiliano wa Yanga SC Ally Shaban Kamwe baada ya Kumalizika kwa Tamasha la Wiki ya Mwananchi ambalo lilifanyika Siku ya Jana Julai 22 Uwanja wa Benjamin Mkapa wao kama Klabu ni kwa kiasi gani wamefanikisha malengo ambayo walijiwekea....



AHMED ALLY: "TUMEUMIA MIQUISSONE KUVUNJA MKATABA/JEZI NAMBA 6/KIBEGI KIMEFIKA/TAJIRI MO KASEMAJE?"
AHMED ALLY: "TUMEUMIA MIQUISSONE KUVUNJA MKATABA/JEZI NAMBA 6/KIBEGI KIMEFIKA/TAJIRI MO KASEMAJE?"

uelekea Uzinduzi wa Jezi Mpya za Simba kwa Msimu ujao wa 2023/24 Tumezungumza na Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba SC Ahmed Ally na kutufahamisha shuhuli nzima itakavyokuwa siku ya Kesho Julai 19 wakati wa kukipandisha kibegi cha Jezi Mpya Juu ya Mlima Kilimanjaro




« Previous Next »


Popular Tags

#Golden State Warriors  #Chris Paul  #Allen Iverson  #LeBron James  #Miami Heat  #Cristiano Ronaldo  #Lionel Messi  #Best Goals Ever  #Stephen Curry  #Chicago Bulls  

Popular Users

#nfl  #JayBilas  #MileyCyrus  #selenagomez  #ddlovato  #KylieJenner  #KevinHart4real  #nyt4thdownbot  #J_No24  #LarryFitzgerald  #MikePereira  #geniebouchard  #darrenrovell  #SHAQ  #BadgerMBB