Mpenja TV's user profile page. Match highlights, posts and more on site!“” Report User |
🙌Kwa Mkapa Tena🔥🔥Ligi kuu ya NBC leo Jumapili Februari 06, 2022, ni Pira Biriani dhidi ya Pira Mchele wa Mbeya kutoka kwa Mbeya Kwanza😜Huku Maka Mwalisi kule Seleman Matola Moto utawaka🔥🔥 🤝Huu ni mchezo wenye mvuto na msisimko mkubwa katika Ligi kuu ya NBC.. Mpenja TV tupo hapa Benjamin Mkapa Stadium kuhakikisha unapata habari zote za Mtanange huu. Endelea kubaki nasi.... #SimbaScVsMbeyaKwanza #mbeyakwanza #SimbaSc #NBCPremierLeague #MpenjaTv
Mpenja Tv tumefanya mahojiano na Daktari wa Klabu ya Tanzania Prisons Dkt. Kilula Masunga Ntobi amefunguka kwanini hiwa mechi nyingi za prisons howa wanatumia nguvu kubwa sana kwenye kucheza yeye kama daktari anawezaje kuwaweka sawa wachezaji wake wanakuwa fiti mwanzo hadi mwisho wa mchezo... Fungua Video hii kupata Habari kamili.. #TanzaniaPrisons #DaktariTanzaniaPrisons #MpenjaTv
Ligi kuu ya NBC leo Alhamis Februari 03, 2022, ni pira Gwaride au Pira Biriani Kupigwa Dimba la Benjamin Mkapa ambapo wenyeji Simba Sc wanakabiliana na Wajela jela Tanzania Prisons.. 🔴Huu ni mchezo wenye mvuto na msisimko mkubwa katika mikikimikiki ya Ligi kuu. Mpenja TV tupo hapa Benjamin Mkapa Stadium kuhakikisha unapata habari zote za Mtanange huu. Endelea kubaki nasi.... #SimbaScVsTanzaniaPrisons #TanzaniaPrisons #SimbaSc #NBCPremierLeague #MpenjaTV
Wakati Mchezo wa ligi kuu ya NBC kati Simba Sc dhidi ya Tanzania Prisons Unaendelea hapa katika Dimba la Benjamin Mkapa, Camera za Mpenja Tv zimewanasa Wachezaji wa Tanzania Prisons Benjamin Asukile pamoja na Jeremiah Juma wakifuatilia Mchezo kwa Umakini Kabisa Vilevile Mbeya City nao wamefika hapa katika Dimba la Benjamin Mkapa kufuatilia Mtanange huo ikiwa Nao watalitumia Dimba hili kumenyana na Yanga Sc, Siku ya Tarehe 5/2/2022. #SimbaScVsTanzaniaPrisons #TanzaniaPrisons #SimbaSc #NBCPremierLeague #MpenjaTV
Ligi kuu ya NBC leo Alhamis Februari 03, 2022, ni pira Gwaride au Pira Biriani Kupigwa Dimba la Benjamin Mkapa ambapo wenyeji Simba Sc wanakabiliana na Wajela jela Tanzania Prisons.. 🔴Huu ni mchezo wenye mvuto na msisimko mkubwa katika mikikimikiki ya Ligi kuu. Mpenja TV tupo hapa Benjamin Mkapa Stadium kuhakikisha unapata habari zote za Mtanange huu. Endelea kubaki nasi.... #SimbaScVsTanzaniaPrisons #TanzaniaPrisons #SimbaSc #NBCPremierLeague #MpenjaTV
Yes!..ni raha ya kandanda katika kombe la Shirikisho la Azam Sports, raundi ya 32 ambapo Wananchi Yanga SC, wanapambana na Mbao FC Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza. Huu ni mchezo wa mtoano ambao Mshindi anaenda raundi ya 16 bora. Kama kawaida, Mpenja TV tuko Dimba la CCM Kirumba Mwanza kukupatia Updates zote za kabla na baada ya mechi. Endelea kufuatilia Channel yetu na Kurasa zetu zote za Mitandao ya Kijamii ya Instagram na Tweeter. #YangaSCVsMbaoFC #ASFC #YangaSC #MbaoFC #CCMKirumba #MpenjaTV
Ligi kuu ya NBC leo JumatanoJanuari 26, 2022, ni moto wa kuotea mbali Uwanja wa Kaitaba Stadium Bukoba Mkoani Kagera ambapo wenyeji Kagera Suagar wanakabiliana na Mabingwa Watetezi Simba Sc 🔴Huu ni mchezo wenye mvuto na msisimko mkubwa katika mikikimikiki ya Ligi kuu. Mpenja TV tupo hapa Bukoba kuhakikisha unapata habari zote za Mtanange huu. Endelea kubaki nasi.... #KageraSugarVsSimbasc#KageraSugar #SimbaSc #NBCPremierLeague #MpenjaTV
Ligi kuu ya NBC leo JumatanoJanuari 26, 2022, ni moto wa kuotea mbali Uwanja wa Kaitaba Stadium Bukoba Mkoani Kagera ambapo wenyeji Kagera Suagar wanakabiliana na Mabingwa Watetezi Simba Sc 🔴Huu ni mchezo wenye mvuto na msisimko mkubwa katika mikikimikiki ya Ligi kuu. Mpenja TV tupo hapa Bukoba kuhakikisha unapata habari zote za Mtanange huu. Endelea kubaki nasi.... #KageraSugarVsSimbasc#KageraSugar #SimbaSc #NBCPremierLeague #MpenjaTV
Kaimu afisa habari wa Azam fc Hasheem ibwe amefunguka baada ya ushindi dhidi ya Dodoma jiji, mchezo uliopigwa uwanja wa ...
Leo Tarehe 9/11/2022 Singida Big Stars wanashuka Dimba la Liti Mkoani Singida kumenyana na Simba Sc kwenye Mchezo wa ...
Leo Tarehe 9/11/2022 Singida Big Stars wanashuka Dimba la Liti Mkoani Singida kumenyana na Simba Sc kwenye Mchezo wa ...
Leo Tarehe 9/11/2022 Singida Big Stars wanashuka Dimba la Liti Mkoani Singida kumenyana na Simba Sc kwenye Mchezo wa ...
Leo Tarehe 9/11/2022 Singida Big Stars wanashuka Dimba la Liti Mkoani Singida kumenyana na Simba Sc kwenye Mchezo wa ...
Leo Tarehe 9/11/2022 Singida Big Stars wanashuka Dimba la Liti Mkoani Singida kumenyana na Simba Sc kwenye Mchezo wa ...
Hivi ndivyo Hali ilivyo ya Uwanja wa Liti Singida ambapo Siku ya Jumatano Tarehe 9/11/2022 itapingwa Mbungi ya ligi kuu ya ...
Leo Tarehe 2/11/2022 katika Dimba la Benjamin Mkapa Yanga Sc wana kibarua cha Kumenyana na Club Africain kwenye ...