Mpenja TV's user profile page. Match highlights, posts and more on site!

“”

 Report User

Latest Posts

HASSAN MWATAREMA MSHAMBULIAJI KAGERA SUGAR ATUPA DONGO KWA INONGA BAKA NA ONYANGO/MSIKIE HAPA
HASSAN MWATAREMA MSHAMBULIAJI KAGERA SUGAR ATUPA DONGO KWA INONGA BAKA NA ONYANGO/MSIKIE HAPA

Ligi kuu ya NBC leo JumatanoJanuari 26, 2022, ni moto wa kuotea mbali Uwanja wa Kaitaba Stadium Bukoba Mkoani Kagera ambapo wenyeji Kagera Suagar wanakabiliana na Mabingwa Watetezi Simba Sc 🔴Huu ni mchezo wenye mvuto na msisimko mkubwa katika mikikimikiki ya Ligi kuu. Mpenja TV tupo hapa Bukoba kuhakikisha unapata habari zote za Mtanange huu. Endelea kubaki nasi.... #KageraSugarVsSimbasc#KageraSugar #SimbaSc #NBCPremierLeague #MpenjaTV



VITUKO VYA MACK YANGA NA KIGELEGELE BAADA YA KUSHINDA MECHI DHIDI YA POLISI TANZANIA
VITUKO VYA MACK YANGA NA KIGELEGELE BAADA YA KUSHINDA MECHI DHIDI YA POLISI TANZANIA

Ligi kuu ya NBC leo Jumapili Januari 23, 2022, ni moto wa kuotea mbali Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Arusha ambapo wenyeji Polisi Tanzania FC wanakabiliana na Vinara Yanga SC. Huu ni mchezo wenye mvuto na msisimko mkubwa katika mikikimikiki ya Ligi kuu. Mpenja TV tupo Jijini Arusha kuhakikisha unapata habari zote za Mtanange huu. Endelea kubaki nasi.... #PolisiTanzaniaVsYanga #PolisiTanzania #YangaSC #NBCPremierLeague #MpenjaTV



SHOMBO ZA JIMMY KINDOKI: YANGA SC HATUKATI UPEPO/ KURUDI KWA CHAMA SIO KIGEZO...
SHOMBO ZA JIMMY KINDOKI: YANGA SC HATUKATI UPEPO/ KURUDI KWA CHAMA SIO KIGEZO...

SHOMBO ZA JIMMY KINDOKI: YANGA SC HATUKATI UPEPO/ KURUDI KWA CHAMA SIO KIGEZO... Ligi kuu ya NBC leo Jumapili Januari 23, 2022, ni moto wa kuotea mbali Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Arusha ambapo wenyeji Polisi Tanzania FC wanakabiliana na Vinara Yanga SC. Huu ni mchezo wenye mvuto na msisimko mkubwa katika mikikimikiki ya Ligi kuu. Mpenja TV tupo Jijini Arusha kuhakikisha unapata habari zote za Mtanange huu. Endelea kubaki nasi.... #PolisiTanzaniaVsYanga #PolisiTanzania #YangaSC #NBCPremierLeague #MpenjaTV



MAKAMU MWENYEKITI POLISI TANZANIA: "JESUS MOLOKO LEO KAFICHWA SANA/ TUNGEWAFUNGA KWENYE UWANJA WETU"
MAKAMU MWENYEKITI POLISI TANZANIA: "JESUS MOLOKO LEO KAFICHWA SANA/ TUNGEWAFUNGA KWENYE UWANJA WETU"

Ligi kuu ya NBC leo Jumapili Januari 23, 2022, ni moto wa kuotea mbali Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Arusha ambapo wenyeji Polisi Tanzania FC wanakabiliana na Vinara Yanga SC. Huu ni mchezo wenye mvuto na msisimko mkubwa katika mikikimikiki ya Ligi kuu. Mpenja TV tupo Jijini Arusha kuhakikisha unapata habari zote za Mtanange huu. Endelea kubaki nasi.... #PolisiTanzaniaVsYanga #PolisiTanzania #YangaSC #NBCPremierLeague #MpenjaTV



KUDADEKI🔥🙌 MSEMAJI WA SIMBA AHMED ALLY ATUMA SALAMU KWA MTIBWA SUGAR/TUTAWAFUNGA HAPO HAPO MANUNGU
KUDADEKI🔥🙌 MSEMAJI WA SIMBA AHMED ALLY ATUMA SALAMU KWA MTIBWA SUGAR/TUTAWAFUNGA HAPO HAPO MANUNGU

🙌🔥🔥🔥Mambo ni Moto Kuelekea mchezo wa Ligi kuu ya NBC kati ya mwenyeji Mtibwa Sugar🎋dhidi ya Mabingwa Watetezi Simba Sc 🦁ambao utapigwa Uwanja wa Manungu Complex Januari 22/2022. Mpenja Tv tumefanya mahojiano na Meneja wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano cha Simba Sc Ahmed Ally amezungumzia maandalizi yao kuelekea mchezo huo... Fungua Video hii kupata Habari Kamili.. #MtibwaSugarVsSimbaSc #MtibwaSugar #SimbaSc #ManunguComplex #MpenjaTv



MUKOKO TONOMBE AGOMA KUONDOKA YANGA SC/ AIBUKIA ARUSHA KWENYE MCHEZO WA KIRAFIKI NA MBUNI FC..
MUKOKO TONOMBE AGOMA KUONDOKA YANGA SC/ AIBUKIA ARUSHA KWENYE MCHEZO WA KIRAFIKI NA MBUNI FC..

MUKOKO TONOMBE AGOMA KUONDOKA YANGA SC/ AIBUKIA ARUSHA KWENYE MCHEZO WA KIRAFIK NA MBUNI FC.. Mkuu Wa Kitengo Cha Habari na Mawasiliano Yanga Sc, Hassan Bumbuli Ametolea Ufafanuzi Juu ya Mchezaji Wao Mukoko Tonombe Ambaye hapo Awali Alithibitisha Kuwa Yanga Sc wamemuuza Kwenda TP MAZEMBE Ya DR Congo. Mpenja Tv Tupo Arusha kukuletea kila kitakachojiri kuelekea Mchezo wa Kirafiki Kati ya Yanga Sc na Mbuni Fc #Yangascmbunifc #Hassanbumbuli #Mpenjatv



KIPA WA MBEYA CITY DEO MUNISHI ‘DIDA’ AELEZA SABABU ZA KUANGUKA MARA NYINGI UWANJANI/MSIKIE HAPA
KIPA WA MBEYA CITY DEO MUNISHI ‘DIDA’ AELEZA SABABU ZA KUANGUKA MARA NYINGI UWANJANI/MSIKIE HAPA

Ligi kuu ya NBC, leo Januari 17, 2022, moto unawaka Uwanja wa Sokoine Mbeya kati ya Wenyeji Mbeya City na Mabingwa Watetezi Simba Sc. Mpenja TV tuko hapa Mbeya kukuletea Updates zote za mchezo huu. Endelea kuwa nasi na asante kwa kutuchagua.. #MbeyaCityVsSimbaSc #SimbaSc #MbeyaCity #NBCPremierLeague #MpenjaTV



UTAPENDA! MAPOKEZI YA SIMBA WALIVYOTUA NA KOMBE LAO WAKITOKEA ZANZIBAR/MASHABIKI WAKIMBIA NA KOMBE
UTAPENDA! MAPOKEZI YA SIMBA WALIVYOTUA NA KOMBE LAO WAKITOKEA ZANZIBAR/MASHABIKI WAKIMBIA NA KOMBE

Leo Januari 14 kikosi cha Mabingwa wa Kombe la Mapinduzi Simba Sc kimerejea Jijini Dar es Salam na Kombe ambalo wameshinda kwenye Mchezo wa Fainali dhidi ya Azam Fc.. Fungua Video hii kupata habari kamili... #Kombela Mapinduzi #Ubingwawa Mapinduzi #simbaSC



Highlights

SIMBA WAMEIMARIKA SANA/MZAMIRU YASSIN AMEZALIWA UPYA/CHAMA MIGUU INAONGEA/YANGA/CLUB AFRICAIN 50/50
SIMBA WAMEIMARIKA SANA/MZAMIRU YASSIN AMEZALIWA UPYA/CHAMA MIGUU INAONGEA/YANGA/CLUB AFRICAIN 50/50

Mtangazaji na Mchambuzi wa mpira wa miguu wa U-FM na Azam Tv Mussa Kawambwa amechambua Mchezo wa Ligi Kuu ya ...



SHOMBO ZA KAY MZIWANDA AWAVAA MASHABIKI WA SIMBA/"WANAMKOSEA MGUNDA/LIGI BADO MBICHI SANA"
SHOMBO ZA KAY MZIWANDA AWAVAA MASHABIKI WA SIMBA/"WANAMKOSEA MGUNDA/LIGI BADO MBICHI SANA"

Ligi kuu ya NBC, leo October 30, 2022, moto unawaka Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar Es Salaam kati ya Wenyeji Simba ...



ISSA AZAM ATUMA SALAMA YANGA/"MTIBWA AKAMPE SALAM MWENZAKE/HII NDIO SIMBA YA MGUNDA"
ISSA AZAM ATUMA SALAMA YANGA/"MTIBWA AKAMPE SALAM MWENZAKE/HII NDIO SIMBA YA MGUNDA"

Ligi kuu ya NBC, leo October 30, 2022, moto unawaka Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar Es Salaam kati ya Wenyeji Simba ...



SIMBA WALICHEZA KWA HASIRA/WALIPANIA/MZAMIRU 'MAN OF THE MATCH/RED CARD ZILIWAPOTEZA MTIBWA
SIMBA WALICHEZA KWA HASIRA/WALIPANIA/MZAMIRU 'MAN OF THE MATCH/RED CARD ZILIWAPOTEZA MTIBWA

Ligi kuu ya NBC, leo October 30, 2022, moto unawaka Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar Es Salaam kati ya Wenyeji Simba ...



SIMBA HII HUKO MBELE KUNA BALAA/YANGA WANAPEPESUKA/WANASHINDA HAWANA FURAHA/WAARABU WANAJAMBO LAO.…
SIMBA HII HUKO MBELE KUNA BALAA/YANGA WANAPEPESUKA/WANASHINDA HAWANA FURAHA/WAARABU WANAJAMBO LAO.…

Ligi kuu ya NBC, leo October 30, 2022, moto unawaka Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar Es Salaam kati ya Wenyeji Simba ...



INONGA/PHIRI WAMPAGAWISHA MTOTO WA SIMBA/"NAPENDA ANAVYOCHAPA/TUNASHINDA 3/MTIBWA HAWAZEI KUTUFUNGA"
INONGA/PHIRI WAMPAGAWISHA MTOTO WA SIMBA/"NAPENDA ANAVYOCHAPA/TUNASHINDA 3/MTIBWA HAWAZEI KUTUFUNGA"

Ligi kuu ya NBC, leo October 30, 2022, moto unawaka Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar Es Salaam kati ya Wenyeji Simba ...



ALLY KAMWE: "YANGA NA GEITA HAUJAWAHI KUWA MCHEZO RAHISI/ BADO TUNAENDELEA HADI TISINI"
ALLY KAMWE: "YANGA NA GEITA HAUJAWAHI KUWA MCHEZO RAHISI/ BADO TUNAENDELEA HADI TISINI"

Leo Tarehe 29/10/2022,Katika Dimba la CCM kirumba inapigwa mbungi ya kibabe kati ya Matajiri wa Dhahabu Geita Gold dhidi ...



SIMBA WALIZIDIWA HAPA NA AZAM FC/VIUNGO WA AZAM WAMEPIGA KAZI/DUBE 'MAN OF THE MATCH'
SIMBA WALIZIDIWA HAPA NA AZAM FC/VIUNGO WA AZAM WAMEPIGA KAZI/DUBE 'MAN OF THE MATCH'

Leo October 27 ,2022 Unashuhudiwa Mchezo wa Mzizima Dabi Baina ya Azam FC Dhidi Ya Simba SC Mchezo Unaopigwa ...




« Previous Next »


User Detail Page

You can find user latest posts and related content on the page. Friends, comments for events / matches are also available on the page. Even you can find users who are same pleasure with current user.

#Travel, #SupportYourTeam, #AllAboutSports