BENJAMIN ASUKILE NA JEREMIAH WAITAMANI SIMBA SC JUKWAANI/ MBEYA CITY WAJIFUNZA KWA SIMBA.... by @Mpenja TV - Post Details

BENJAMIN ASUKILE NA JEREMIAH WAITAMANI SIMBA SC JUKWAANI/ MBEYA CITY WAJIFUNZA KWA SIMBA....

Wakati Mchezo wa ligi kuu ya NBC kati Simba Sc dhidi ya Tanzania Prisons Unaendelea hapa katika Dimba la Benjamin Mkapa, Camera za Mpenja Tv zimewanasa Wachezaji wa Tanzania Prisons Benjamin Asukile pamoja na Jeremiah Juma wakifuatilia Mchezo kwa Umakini Kabisa Vilevile Mbeya City nao wamefika hapa katika Dimba la Benjamin Mkapa kufuatilia Mtanange huo ikiwa Nao watalitumia Dimba hili kumenyana na Yanga Sc, Siku ya Tarehe 5/2/2022. #SimbaScVsTanzaniaPrisons #TanzaniaPrisons #SimbaSc #NBCPremierLeague #MpenjaTV

Similar Posts!

MPENJA AUKATAA UNAFIKI KWEUPE! AFUNGA MJADALA WA CHAMA NA OKELLO/AISIFIA YANGA KWA UJENZI WA UWANJA.
MPENJA AUKATAA UNAFIKI KWEUPE! AFUNGA MJADALA WA CHAMA NA OKELLO/AISIFIA YANGA KWA UJENZI WA UWANJA.

JE, UNA JAMBO LAKO? USILIFICHE! ๐ŸŒ Kuwa wa kwanza kutujuza habari, matukio, au matangazo kupitia MPENJA TV. Sisi tupo hapa kwa ajili yako! ๐Ÿ”ด TUPIGIE/WHATSAPP: +255 748 101 101 ๐Ÿ“ž SIMU: +255 686 816 895 | +255 686 715 249 ๐Ÿ“ง EMAIL: mpenjatvtz@gmail.com



FEI TOTO: "CHAMA ALIFUNGA GOLI ZURI SANA/MIMI MWENYEWE NIMELIPENDA"
FEI TOTO: "CHAMA ALIFUNGA GOLI ZURI SANA/MIMI MWENYEWE NIMELIPENDA"

JE, UNA JAMBO LAKO? USILIFICHE! ๐ŸŒ Kuwa wa kwanza kutujuza habari, matukio, au matangazo kupitia MPENJA TV. Sisi tupo hapa kwa ajili yako! ๐Ÿ”ด TUPIGIE/WHATSAPP: +255 748 101 101 ๐Ÿ“ž SIMU: +255 686 816 895 | +255 686 715 249 ๐Ÿ“ง EMAIL: mpenjatvtz@gmail.com