Mpenja TV's user profile page. Match highlights, posts and more on site!“” Report User |
Leo April 6, 2022 Unapigwa mchezo Wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania bara baina ya Azam FC na Yanga mchezo unaopigwa hapa Azam Complex Chamazi majira ya Saa 20:15 Usiku Mpenja TV tuko hapa Uwanja Wa Azam Complex Chamazi kukuletea kila Nukta ya Jambo linalochomoza hapa #MpenjaTV #mpenjatv #AzamFC #YangaSC #AzamfcvsYangaSC #NBCPremierleague #Ligikuu #live
Mnyama Simba leo April 03, 2022, anatupa karata ya mwisho ya hatua ya Makundi ya Kombe la Shirikisho barani Afrika dhidi ya US Gendarmerie ya Niger, Uwanja wa Benjamin Mkapa. Mpenja TV, tuko Dimba la Mkapa kukupata habari zote za kabla na baada ya mechi kwa Weledi wa hali ya juu kabisa. Tafadhali endelea kabaki na sisi…. #SimbaSCvsRUSGendarmerie #Simba #USGendarmerie #KombeLaShirikishoAfrica #BenjaminMkapaStadium #CAF #MpenjaTV
Mnyama Simba leo April 03, 2022, anatupa karata ya mwisho ya hatua ya Makundi ya Kombe la Shirikisho barani Afrika dhidi ya US Gendarmerie ya Niger, Uwanja wa Benjamin Mkapa. Mpenja TV, tuko Dimba la Mkapa kukupata habari zote za kabla na baada ya mechi kwa Weledi wa hali ya juu kabisa. Tafadhali endelea kabaki na sisi…. #SimbaSCvsRUSGendarmerie #Simba #USGendarmerie #KombeLaShirikishoAfrica #BenjaminMkapaStadium #CAF #MpenjaTV
Leo Machi 29 2022 Mpenja Tv tunakuletea matukio yote yanayoendelea kwenye mchezo wa kirafiki wa kimataifa kati ya Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars Dhidi ya Timu ya taifa ya Sudan unaopigwa kwenye dimba la Benjamin Mkapa. . Asante kwa kutuchagua , Fungua video hii kupata habari kamili. . #taifastars #benjaminmkapa #mpenjatv
Leo machi 24 2022 Mpenja Tv tumefanya mahojiano na Msemaji wa Simba Sports Club Ahmed Ally kuhusu tetesi za kurejea mchezaji wao wa Zamani Ambaye kwa sasa anakipiga kwa Mafarao wa Misri Al Ahly Luis Jose Miquisone . . Je Miquisone atarejea Simba?, Fungua video hii #SimbaSc #YangaSc #MpenjaTv
#Mnyama Simba leo March 13, 2022, anatupa karata ya nne ya hatua ya Makundi ya Kombe la Shirikisho barani Afrika dhidi ya RS Berkane ya Morroco, Uwanja wa Benjamin Mkapa. Mpenja TV, tuko Dimba la Mkapa kukupata habari zote za kabla na baada ya mechi kwa Weledi wa hali ya juu kabisa. Tafadhali endelea kabaki na sisi…. #SimbaSCvsRSBerkane #Simba #RSBerkane #KombeLaShirikishoAfrica #BenjaminMkapaStadium #CAF #MpenjaTV
"Ewaah🙌🙌Yemwe Yemwe Yemwe😜Hivi Macho yako Yanaona Kama Mimi" Unaikumbaka hiyo? Ilikuwaje? Mwenyewe aliipokeaje? Mpenja Tv Tumekuletea Mahojiano na Kiungo wa Kimataifa wa Klabu ya Simba Sc Claotas Chota Chama Raia wa Zambia amefunguka mengi sana humu... Fungua Video Hii kufahamu yote yaliyozungumzwa kwenye Mahojiano haya... #Chama #TripleC #MwambawaLusaka #ClaotasChotaChama #SimbaSc #YangaSc #Mayele #Aucho #Sakho #Saido #Banda #Ibenge #Berkane #MpenjaTv
Leo March 07/2022 Ligi Kuu ya NBC Inaendelea 🏟Katika Dimba la Benjamin Mkapa Dar es Salaam 🔥🔥ni Vita ya Mabingwa watetezi Simba Sc dhidi ya Wakulima wa Zabibu Dodoma Jiji. Itakuwaje leo Chama, Sakho Kufanya kama walivyofanya Dhidi ya Biashara United???. Tusubiri Kipute Dakika 90 Kuamua mechi…. Mpenja Tv tupo hapa Benjamin Mkapa Kukuletea kila nukta ya jambo litakalojitokeza kwenye mchezo huu.... Baki na sisi, Asante kwa Kutuchagua Mpenja Tv #SimbaScVsDodomaJiji #DodomaJiji #SimbaSc #MpenjaTv
Leo Tarehe 19/11/2022 Simba Sc wanarejea tena Dimba la Benjamin Mkapa Wakikaribishwa na Wazee wa 'MPAPASO' Ruvu ...
Leo Tarehe 19/11/2022 Simba Sc wanarejea tena Dimba la Benjamin Mkapa Wakikaribishwa na Wazee wa 'MPAPASO' Ruvu ...
Mtangazaji na mchambuzi kutoka Azam Tv Ayub hinjo ametupa tathmini ya mchezo wa Simba dhidi ya Namungo kwa kile ...
Leo Tarehe 16/11/2022 Katika Dimba la Benjamin Mkapa, Mnyama Simba Sc anakutana na wauaji wa Kusini Namungo Fc ...
Leo Tarehe 16/11/2022 Katika Dimba la Benjamin Mkapa, Mnyama Simba Sc anakutana na wauaji wa Kusini Namungo Fc ...
Ghalib mzinga mtangazaji na mchambuzi kutoka Azam Tv ametoa tathmini yake baada ya mchezo wa Simba dhidi ya Namungo ...
Leo Tarehe 16/11/2022 Katika Dimba la Benjamin Mkapa, Mnyama Simba Sc anakutana na wauaji wa Kusini Namungo Fc ...
Leo Tarehe 16/11/2022 Katika Dimba la Benjamin Mkapa, Mnyama Simba Sc anakutana na wauaji wa Kusini Namungo Fc ...