Mpenja TV's user profile page. Match highlights, posts and more on site!

“”

 Report User

Latest Posts

YANGA TUMESAJILI/YACOUBA TUMEFIKIA PAZURI/TUNA SURPRISE ZA KUTOSHA/AZIZ KI ATAWACHAPA/SIMBA WATAJUTA
YANGA TUMESAJILI/YACOUBA TUMEFIKIA PAZURI/TUNA SURPRISE ZA KUTOSHA/AZIZ KI ATAWACHAPA/SIMBA WATAJUTA

Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Yanga Sc, Hassan Bumbuli, Amezungumza namna Kikosi cha Yanga kinavyoendelea Kujinoa kwa ajili ya Msimu wa Ligi Kuu ya NBC 2022/2023,Hatma ya Yacouba Songne n.k



OKRAH AANZA MAZOEZI MAKALI MISRI/CHAMA NA SAKHO WAPANIA MSIMU MPYA/SEMAJI AHMED ALLY  LATEMA CHECHE
OKRAH AANZA MAZOEZI MAKALI MISRI/CHAMA NA SAKHO WAPANIA MSIMU MPYA/SEMAJI AHMED ALLY LATEMA CHECHE

Leo juni 16 Mpenja Tv tunakuletea Mazoezi ya Awali ya Simba Sports Club Nchini Misri ambapo Wekundu hao wanajiandaa na Msimu ujao wa Mashindano. . Meneja wa kitengo cha Habari na Mawasiliano Simba Sports Club Ahmed Ally Amezungumza juu ya uwepo wa kikosi chao nchini Misri pamoja na Maandalizi yao ambayo yatakuwa ndani ya Siku 20 nchini humo. . Fungua video hii kupata uhondo wote wa Habari hii.



AMEFIKA! AZIZ KI MFALME MPYA YANGA/ATAFANYA MAKUBWA YANGA/MABEKI WAJIPANGE/UBUNIFU JADI YAKE
AMEFIKA! AZIZ KI MFALME MPYA YANGA/ATAFANYA MAKUBWA YANGA/MABEKI WAJIPANGE/UBUNIFU JADI YAKE

Stephen Aziz KI ametambulishwa Rasmi Kuwa Nyota Wa Yanga SC Ikijiunga na Miamba Hiyo ya Soka Nchini Tanzania Akitokea ASEC Mimosas Ya Ivory Coast Tumezungumza na Gharibu Mzinga Mtangazaji na Mchambuzi wa Soka la Bara La Afrika Kutoka Azam TV Ilikufahamu Yanga Wamepata Mchezaji wa Aina Gani Fungua Video Hi Kufahamu Mengi Kuhusu Nyota Huyu Alishika Sana Katika Mitandao ya Kijamii



AHMED ALLY APIGA MIKWARA AKIELEKEA MISRI/"USAJILI BADO NDIO KWANZA TUMEANZA/TUTAFANYA MABALAA"
AHMED ALLY APIGA MIKWARA AKIELEKEA MISRI/"USAJILI BADO NDIO KWANZA TUMEANZA/TUTAFANYA MABALAA"

Klabu ya Simba Sc leo Hii imeanza safari kuelekea nchini Misri kwaajili ya maandalizi ya msimu ujao. Mpenja TV tumekuletea mahojiano na baadhi ya wachezaji na Viongozi wa timu Hiyo kabla ya kuanza safari hiyo.



AHMED ALLY ATAMBA NA USAJILI MBELE YA KOCHA MPYA SIMBA/"TUTAWEKA KAMBI MISRI/TUTASIMAMISHA DUNIA”
AHMED ALLY ATAMBA NA USAJILI MBELE YA KOCHA MPYA SIMBA/"TUTAWEKA KAMBI MISRI/TUTASIMAMISHA DUNIA”

Ahmed Ally meneja wa kitengo Cha Habari na Mawasiliano Simba SC Leo hii amemtambulisha kocha mpya wa klabu hiyo Kwa waandishi wa habari baada ya kufika nchini Tanzania Kwa mara ya kwanza akiwa kocha mkuu wa timu ya Simba SC. Aidha Ahmed Ally pia amezungumzia kuhusu maandalizi ya Pre season na Ile Siku ya Simba Day inayofanyika Kila Tarehe 8 Mwezi wa 8 na mambo yote yanayohusu usajili.



AHMED ALLY: HABIB KYOMBO ATAIMBWA SANA/WENGINE WANASHUKA BALAA/HATUTANGAZI MUDA WA DAKU KAMA WENZETU
AHMED ALLY: HABIB KYOMBO ATAIMBWA SANA/WENGINE WANASHUKA BALAA/HATUTANGAZI MUDA WA DAKU KAMA WENZETU

Meneja wa habari na mawasiliano wa klabu ya Simba Sc Ahmed Ally leo amezungumza na Mpenja TV mara baada ya kumtambulisha mchezaji wao mpya Habib Kyombo. Aidha amezungumzia na sajili nyingine ambazo zitafuata siku zijazo. fungua video hii kuangalia mpaka mwisho



#EXCLUSIVE: BYE BYE!! VICTOR AKPAN, NAIONA  NAFASI YANGU SIMBA SC/ ALICHOAMBIWA NA KOCHA NABI...
#EXCLUSIVE: BYE BYE!! VICTOR AKPAN, NAIONA NAFASI YANGU SIMBA SC/ ALICHOAMBIWA NA KOCHA NABI...

Leo Julai 2 2020 Nchi itasimama kwa dakika 90 katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Arusha Katika Fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam Sports kati ya Yanga Vs Coastal Union. Mpenjatv tupo Arusha kukuletea matukio yote yanayoendelea nje ya Uwanja wa Sheikh Amri Abeid kabla na baada ya Bingwa kupatikana. Utapata Tambo/nderemo za Mashabiki pamoja na maoni ya Wachezaji wa Timu zote pamoja na Viongozi wa pande zotembili na Uchambuzi ulioenda shule. Hakikisha unaikumbatia Mpenjatv tumekuandalia mambo mazuri katika Mchezo huo wa Fainali. #FainaliAsfc #YangaSc #CoastalUnion



"ZORAN ATAIFIKISHA SIMBA MBALI KIMATAIFA/HIZI NDIO MBINU ZAKE/ANAJUA SOKA LA AFRIKA"  GHARIB MZINGA
"ZORAN ATAIFIKISHA SIMBA MBALI KIMATAIFA/HIZI NDIO MBINU ZAKE/ANAJUA SOKA LA AFRIKA" GHARIB MZINGA

Baada ya Kikosi Cha Simba Kumtangaza Kocha Mpya Zoran Manojlovic "Zoran Maki" Mchambuzi na Mtangazaji wa Soka la Afrika Kutoka Azam TV Gharibu Mzinga Amechambua Mbinu zake na Kuteleza Ni Kocha wa Namna gani Mpenja TV Tumezungumza na Mzinga Huku akimpigia chapuo Kocha Huyo Kufanya Makubwa na Simba #MpenjaTV #KochampyaSimba #Kochawamakombe #SimbaSC #UsajiliSimba



Highlights

LIVE: YANGA SC VS POLISI TANZANIA/ HALI ILIVYO NJE YA UWANJA/ MASHABIKI KAMA WOTE....
LIVE: YANGA SC VS POLISI TANZANIA/ HALI ILIVYO NJE YA UWANJA/ MASHABIKI KAMA WOTE....

Leo tarehe 17 Disemba katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kutakuwa na Mbungi ya kukata na Shoka kati ya Yanga Sc dhidi ya ...



YANGA WALIFANYA KAZI KUBWA SIO RAHISI KUIFUNGA TANZANIA PRISONS/KUKOSEKANA KWA KOCHA NABI NI TATIZO?
YANGA WALIFANYA KAZI KUBWA SIO RAHISI KUIFUNGA TANZANIA PRISONS/KUKOSEKANA KWA KOCHA NABI NI TATIZO?

Mchambuzi wa mpira wa miguu nchini kupitia kituo Cha Redio cha Azam TV Geofrey Mwamnyanyi azichambua sababu za Yanga ...



KINYONGE KOCHA WA PRISONS AWAVULIA KOFIA YANGA/"TUMEFANYA MAKOSA MWISHONI"
KINYONGE KOCHA WA PRISONS AWAVULIA KOFIA YANGA/"TUMEFANYA MAKOSA MWISHONI"

Leo ndiyo leo,Asiye na Mwana Aeleke Jiwe,Katika Dimba la Benjamin Mkapa Wananchi Yanga Sc,Wanaadhimisha Michezo 49 ...



CHAMA NA PHIRI WALIOMBA NA MILANGO YA COASTAL UNION IKAFUNGUKA/VITA YA PHIRI NA MAYELE BALAA!!
CHAMA NA PHIRI WALIOMBA NA MILANGO YA COASTAL UNION IKAFUNGUKA/VITA YA PHIRI NA MAYELE BALAA!!

Leo December 03/2022 Ligi Kuu ya NBC Inaendelea Katika Dimba la Mkwakwani Tanga ni Vita ya Watoto wa Mjini Coastal ...



TAMBO ZA 'SIMBA ULAYA' BAADA YA DOZI KWA COASTAL UNION/"TUMEPIGA PASI MILIONI 16/PIRA MKONGE"
TAMBO ZA 'SIMBA ULAYA' BAADA YA DOZI KWA COASTAL UNION/"TUMEPIGA PASI MILIONI 16/PIRA MKONGE"

Leo December 03/2022 Ligi Kuu ya NBC Inaendelea Katika Dimba la Mkwakwani Tanga ni Vita ya Watoto wa Mjini Coastal ...



KOCHA COASTAL UNION KINYONGE AWAPONGEZA SIMBA/"TULIFANYA MAKOSA/TUTARUDI UWANJA WA MAZOEZI"
KOCHA COASTAL UNION KINYONGE AWAPONGEZA SIMBA/"TULIFANYA MAKOSA/TUTARUDI UWANJA WA MAZOEZI"

Leo December 03/2022 Ligi Kuu ya NBC Inaendelea Katika Dimba la Mkwakwani Tanga ni Vita ya Watoto wa Mjini Coastal ...



KOCHA MGUNDA: "NIMEUMIA SANA KUIFUNGA COASTAL UNION/VIJANA NIMEWAPIKA MWENYEWE/HAPA NI NYUMBANI"
KOCHA MGUNDA: "NIMEUMIA SANA KUIFUNGA COASTAL UNION/VIJANA NIMEWAPIKA MWENYEWE/HAPA NI NYUMBANI"

Leo December 03/2022 Ligi Kuu ya NBC Inaendelea Katika Dimba la Mkwakwani Tanga ni Vita ya Watoto wa Mjini Coastal ...



LIVE: COASTAL UNION VS SIMBA/UCHAMBUZI/UBORA WA SIMBA UKO HAPA/MGUNDA ANAIJUA VILIVYO COASTAL UNION
LIVE: COASTAL UNION VS SIMBA/UCHAMBUZI/UBORA WA SIMBA UKO HAPA/MGUNDA ANAIJUA VILIVYO COASTAL UNION

Leo December 03/2022 Ligi Kuu ya NBC Inaendelea Katika Dimba la Mkwakwani Tanga ni Vita ya Watoto wa Mjini Coastal ...




« Previous Next »


User Detail Page

You can find user latest posts and related content on the page. Friends, comments for events / matches are also available on the page. Even you can find users who are same pleasure with current user.

#Travel, #SupportYourTeam, #AllAboutSports