Baada ya Kikosi Cha Simba Kumtangaza Kocha Mpya Zoran Manojlovic "Zoran Maki" Mchambuzi na Mtangazaji wa Soka la Afrika Kutoka Azam TV Gharibu Mzinga Amechambua Mbinu zake na Kuteleza Ni Kocha wa Namna gani Mpenja TV Tumezungumza na Mzinga Huku akimpigia chapuo Kocha Huyo Kufanya Makubwa na Simba #MpenjaTV #KochampyaSimba #Kochawamakombe #SimbaSC #UsajiliSimba