Ahmed Ally meneja wa kitengo Cha Habari na Mawasiliano Simba SC Leo hii amemtambulisha kocha mpya wa klabu hiyo Kwa waandishi wa habari baada ya kufika nchini Tanzania Kwa mara ya kwanza akiwa kocha mkuu wa timu ya Simba SC. Aidha Ahmed Ally pia amezungumzia kuhusu maandalizi ya Pre season na Ile Siku ya Simba Day inayofanyika Kila Tarehe 8 Mwezi wa 8 na mambo yote yanayohusu usajili.
JE, UNA JAMBO LAKO? USILIFICHE! 🌍 Kuwa wa kwanza kutujuza habari, matukio, au matangazo kupitia MPENJA TV. Sisi tupo hapa kwa ajili yako! 🔴 TUPIGIE/WHATSAPP: +255 748 101 101 📞 SIMU: +255 686 816 895 | +255 686 715 249 📧 EMAIL: mpenjatvtz@gmail.com
JE, UNA JAMBO LAKO? USILIFICHE! 🌍 Kuwa wa kwanza kutujuza habari, matukio, au matangazo kupitia MPENJA TV. Sisi tupo hapa kwa ajili yako! 🔴 TUPIGIE/WHATSAPP: +255 748 101 101 📞 SIMU: +255 686 816 895 | +255 686 715 249 📧 EMAIL: mpenjatvtz@gmail.com