Mpenja TV's user profile page. Match highlights, posts and more on site!

“”

 Report User

Latest Posts

SIMBA KUSHUSHA MSHAMBULIAJI NA KIUNGO MKABAJI/MANZOKI/ DAU LA KUMUUZA CHAMA/MAPINDUZI CUP
SIMBA KUSHUSHA MSHAMBULIAJI NA KIUNGO MKABAJI/MANZOKI/ DAU LA KUMUUZA CHAMA/MAPINDUZI CUP

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba Sc, Ahmed Ally Ametaja Nafasi za Wachezaji ambao Watawasajili Dirisha hili Dogo la Usajili ,Kombe la Mapinduzi n.k



#BREAKING: FEISAL SALUM 'FEI TOTO' AWAAGA WANANCHI RASMI/"MOYO UNAUMA KUSEMA KWAHERINI/TUTAONANA"
#BREAKING: FEISAL SALUM 'FEI TOTO' AWAAGA WANANCHI RASMI/"MOYO UNAUMA KUSEMA KWAHERINI/TUTAONANA"

Kiungo Mshambuliaji wa Yanga Feisal Salum Abdalah rasmi amechana na Klabu hiyo baada ya makubaliano ya pande zote mbili, Feisal amewaaga Rasmi wanachama na Mashabiki wa Yanga baada ya Kuchapisha Barua kwenye Ukurasa wake wa Instagram masaa machache yaliyopita......



AHMED ALLY: "FEISAL AMECHOKA MAISHA YA KIPIKIPIKI NA YEYE ANATAKA GARI/KMC WAJIANDAE MAGOLI MENGI"
AHMED ALLY: "FEISAL AMECHOKA MAISHA YA KIPIKIPIKI NA YEYE ANATAKA GARI/KMC WAJIANDAE MAGOLI MENGI"

Meneja Habari na Mawasilino wa Simba Ahmed Ally akitueleze maandalizi yao kuelekea Mchezo wa tarehe 26/12/2022 katika Dimba la CCM Kirumba dhidi ya KMC FC. Aidha Mahojiano haya yamegusa mipango ya Simba ndani ya dirisha hili dogo la usajili na Semaji amewataka Mashabiki wa Simba kutulia kwani mazuri yanakuja. Sanjari na hayo Ahmed Ally hakuacha mbali taarifa kutoka kwa watani zao Yanga na kurusha vijembe kuhusu tetesi za kuondoka kwa Feisal Salum.



LIVE: UTANI WA BARAKA MPENJA NA ALLY KAMWE/ HIZO SIFA SASA!/ SALAMU ZIFIKE KWA AHMED ALLY…
LIVE: UTANI WA BARAKA MPENJA NA ALLY KAMWE/ HIZO SIFA SASA!/ SALAMU ZIFIKE KWA AHMED ALLY…

Hapa utashuhudia Mubashara utani kati ya Mtangazaji Kinara wa Azam Media Ltd Baraka Adson Mpenja ‘Sauti ya Radi’ pamoja na Meneja wa kitengo cha Habari na Mawasiliano Ally Kamwe walipokutana na kuanza kuzungumza kuhusu ushindi wa Yanga Sc Dhidi ya Coastal Union. Kwa hayo na mengine mengi tazama video hii…..



BARAKA MPENJA: WOOH! KUNA YANGA NA YANGA HII/MAYELE AMEMPIGIA SIMU PHIRI/YANGA WANA HATARI SANA...
BARAKA MPENJA: WOOH! KUNA YANGA NA YANGA HII/MAYELE AMEMPIGIA SIMU PHIRI/YANGA WANA HATARI SANA...

Leo tarehe 17 Disemba katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kutakuwa na Mbungi ya kukata na Shoka kati ya Yanga Sc dhidi ya Polisi Tanzania majira ya saa 1:00 Usiku ikiwa ni mechi ya kwanza katika Duru la pili kwa timu zote. Tazama hapa mashabiki wakiendelea kungia kwa wingi uwanjani huku wakitema cheche za tambo zaoo. Mpenja Tv tunahakikisha tunakuletea matukio Muhimu ya kabla na baada ya mechi hii kati ya Yanga Sc na Polisi Tanzania kaa karibu na platforms zetu…..



AHMED ALLY: USAJILI WA DIRISHA DOGO SIMBA NI BAB KUBWA/ MANZOKI/ TUNASHUSHA KUTOKA KOMBE LA DUNIA...
AHMED ALLY: USAJILI WA DIRISHA DOGO SIMBA NI BAB KUBWA/ MANZOKI/ TUNASHUSHA KUTOKA KOMBE LA DUNIA...

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba Sc, Ahmed Ally amezungumzia kuhusu Nafasi za Wachezaji ambao watasajiliwa Simba Sc Kwenye Dirisha Dogo ambalo litafunguliwa hivi Karibuni .



AHMED ALLY: KUHUSU BASI LA SIMBA, "CHOMBO IPO KWA FUNDI"/ TUMEUMIA KAMA WANA SIMBA KUONDOKA WA CEO..
AHMED ALLY: KUHUSU BASI LA SIMBA, "CHOMBO IPO KWA FUNDI"/ TUMEUMIA KAMA WANA SIMBA KUONDOKA WA CEO..

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba Sc, Ahmed Ally amezungumza namna wanavyoendelea kujinoa kwa ajili ya Michezo ya Mzunguko wa pili wa ligi kuu ya NBC, Amejibu pia Kuhusu Mjadala wa Bus la Timu,Kujiuzulu kwa Ofisa Mtendaji Mkuu Barbara Gonzalez.



AHMED ALLY: "SISI KAMA SIMBA TUMEHUZUNIKA SANA CEO BARBARA KUONDOKA/CHAMA AMEZOEA/HAWAJATOKA JASHO"
AHMED ALLY: "SISI KAMA SIMBA TUMEHUZUNIKA SANA CEO BARBARA KUONDOKA/CHAMA AMEZOEA/HAWAJATOKA JASHO"

Leo ndiyo leoo, Siku iliyosubiriwa kwa hamu imewadia. . Ni hapa hapa Estadio de Benjamin Mkapa kunako Mbungi la Mnyama Simba akiwakaribisha Eagles Sc katika Mchezo wa Kombe la Azam Sports . Mpenja Tv tupo Kwa Mkapa kukuletea Matukio yote yanayoendelea



Highlights

JUMA AYO: AZAM FC NI NJIA SAHIHI YA FEISAL SALUM ‘FEI TOTO’ KWENDA KUCHEZA SOKA LA NJE YA NCHI?
JUMA AYO: AZAM FC NI NJIA SAHIHI YA FEISAL SALUM ‘FEI TOTO’ KWENDA KUCHEZA SOKA LA NJE YA NCHI?

Hii ni sehemu ya pili ya Mahojiano na Juma Ayo Matangazaji wa Vipindi vya Michezo na Mchambuzi akijibu hoja ya Feisal Salum ...



SAIDO NTIBAZONKIZA AOMBA SAPOTI KWA WANASIMBA/ KIKOSI CHA SIMBA KIMEWASILI MAPEMA TU..
SAIDO NTIBAZONKIZA AOMBA SAPOTI KWA WANASIMBA/ KIKOSI CHA SIMBA KIMEWASILI MAPEMA TU..

Timu ya Simba imewasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere ikitokea Mwanza ambapo Ilikuwa na Michezo Mitatu ...



#LIVE: KMC VS SIMBA/NI VITA YA KOCHA WA KMC NA SIMBA/SAIDO KUKIWASHA?/UBORA WA VIKOSI | UCHAMBUZI
#LIVE: KMC VS SIMBA/NI VITA YA KOCHA WA KMC NA SIMBA/SAIDO KUKIWASHA?/UBORA WA VIKOSI | UCHAMBUZI

Leo Disemba 26, 2022, Mpenja TV tupo Uwanja wa CCM Kirumba mkoani Mwanza kwa ajili ya kukuletea updates zote za ...



#LIVE: KMC VS SIMBA/HALI ILIVYO NJE YA UWANJA/SHABIKI WA YANGA AWAPIGA MADONGO SIMBA/SIMBA WACHARUKA
#LIVE: KMC VS SIMBA/HALI ILIVYO NJE YA UWANJA/SHABIKI WA YANGA AWAPIGA MADONGO SIMBA/SIMBA WACHARUKA

Leo Disemba 26, 2022, Mpenja TV tupo Uwanja wa CCM Kirumba mkoani Mwanza kwa ajili ya kukuletea updates zote za ...



TAMBO ZA MACK YANGA, AIMBA KWI KWI AZAM WANALIAAA!/ TUNAUWEZO WAKUCHUKUA MCHEZAJI YEYOTE..
TAMBO ZA MACK YANGA, AIMBA KWI KWI AZAM WANALIAAA!/ TUNAUWEZO WAKUCHUKUA MCHEZAJI YEYOTE..

Ni Jumapili ya Christmas iliyopambwa na Dar Es Salaam Derby ya Kufungia Mwaka 2022,Kati ya Azam Fc dhidi ya Yanga Sc ...



MASHABIKI WA YANGA WAPAGAWA NA USHINDI DHIDI YA AZAM FC/ WASUKUMA GARI LA WACHEZAJI/ WASAFISHA NJIA
MASHABIKI WA YANGA WAPAGAWA NA USHINDI DHIDI YA AZAM FC/ WASUKUMA GARI LA WACHEZAJI/ WASAFISHA NJIA

Ni Jumapili ya Christmas iliyopambwa na Dar Es Salaam Derby ya Kufungia Mwaka 2022,Kati ya Azam Fc dhidi ya Yanga Sc ...



KOCHA RUVU SHOOTING: TULITENGENEZA NAFASI NYINGI/TUTAONGEZA WACHEZAJI WASIYOPUNGUA SABA.
KOCHA RUVU SHOOTING: TULITENGENEZA NAFASI NYINGI/TUTAONGEZA WACHEZAJI WASIYOPUNGUA SABA.

Kocha Mkuu wa Ruvu Shooting, Mbwana Makata amezungumza Sababu zilizopelekea kupoteza Mchezo dhidi ya Namungo Fc ...



PRINCE DUBE KAKUBALI YAISHE KWA MAYELE NA PHIRI/ AZAM FC WAPO TAYARI KUWAVAA YANGA..
PRINCE DUBE KAKUBALI YAISHE KWA MAYELE NA PHIRI/ AZAM FC WAPO TAYARI KUWAVAA YANGA..

Klabu ya Azam Fc imerejea Dar es salaam kutoka Kanda ya Ziwa walipokwenda kucheza Mechi Mbili za Ligi Kuu ya NBC dhidi ...




« Previous Next »


User Detail Page

You can find user latest posts and related content on the page. Friends, comments for events / matches are also available on the page. Even you can find users who are same pleasure with current user.

#Travel, #SupportYourTeam, #AllAboutSports