Mpenja TV's user profile page. Match highlights, posts and more on site!

“”

 Report User

Latest Posts

GHARIB MZINGA: "NANI ALIWAKATIA TAMAA WANANCHI/BANGALA KAFUNGA GOLI ZURI/MAZUNGUMZO YA NABI NA KAMWE
GHARIB MZINGA: "NANI ALIWAKATIA TAMAA WANANCHI/BANGALA KAFUNGA GOLI ZURI/MAZUNGUMZO YA NABI NA KAMWE

Ni Vita isiyoumiza ya ligi kuu ya NBC kati ya Wauaji wa Kusini Namungo Fc dhidi ya Wananchi Yanga Sc,Inayopigwa leo Jumatano ya Tarehe 7/12/2022 Katika Dimba la Majaliwa wilaya ya Ruangwa Mkoani Lindi,Saa Moja Usiku.



KAY MZIWANDA: TUMESHAKAMILISHA USAJILI WA WACHEZAJI WAWILI/ AKICHEZA SIMBA, ANAJULIKANA KIMATAIFA..
KAY MZIWANDA: TUMESHAKAMILISHA USAJILI WA WACHEZAJI WAWILI/ AKICHEZA SIMBA, ANAJULIKANA KIMATAIFA..

Mpenja tv tumefanya mahojiano na msemaji wa Fountein gate princess ambaye pia ni shabiki mkubwa wa Simba Kay Mziwanda, kubwa ni kuhusu mchezo wa jumamosi Coastal Union dhidi ya Simba utakao pigwa jijini Tanga. Mziwanda hakuwacha mbali watani zake kuhusu swala la unbeaten kuvunjika pamoja na mbio za kupambania ubingwa wa ligi kuu Tanzania bara



ALLY KAMWE:"IHEFU WANAINGIA KWENYE REKODI/AHMED ALLY KUPOST NGUO ZAKE MPYA/WALIKUWA WANAUMIA SANA"
ALLY KAMWE:"IHEFU WANAINGIA KWENYE REKODI/AHMED ALLY KUPOST NGUO ZAKE MPYA/WALIKUWA WANAUMIA SANA"

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga Sc, Ally Kamwe amezunguma ka mara ya kwanza baada ya Yanga Sc kupoteza mchezo wa Ligi kuu ya NBC na Suala la Meneja ya Habari na Mawasiliano wa Simba Sc Ahmed Ally baada ya Kupost kwenye mtandao wake wa kijamii baada ya Yanga Sc kupoteza mchezo dhidi ya Ihefu Fc.... Fungua Video hii kufahamu zaidi.....



ALLY KAMWE “MAYELE NI BENZEMA MTUPU”/ KUMBE MBEYA CITY WEPESI HIVI/TUMEWALIPIA KISASI SIMBA
ALLY KAMWE “MAYELE NI BENZEMA MTUPU”/ KUMBE MBEYA CITY WEPESI HIVI/TUMEWALIPIA KISASI SIMBA

Hii ni baada ya kutamatika kwa mchezo wa ligi kuu kati ya Yanga Sc na Mbeya City katika uwanja wa Benjamin Mkapa,Yanga wao wakifanikiwa kuondoka na ushindi wa goli 2-0 magoli yote yakifungwa na Fiston Mayele ambae mpaka sasa ana jumla ya goli 10. Haya hapa ni mahojiano na Meneja wa Habari na Mawasiliano Yanga pamoja na mashabiki baada ya mchezo kuisha. Kujua mengi zaidi tazama video hii kufahamu…



KOCHA MBEYA CITY: "KUSHINDA DHIDI YA SIMBA YALIKUA MALENGO YETU/YANGA WAJIANDAE/TUTAJIANDAA VIZURI"
KOCHA MBEYA CITY: "KUSHINDA DHIDI YA SIMBA YALIKUA MALENGO YETU/YANGA WAJIANDAE/TUTAJIANDAA VIZURI"

Leo ndiyo leo, 'WANA KOMA KUMWANYA' Mbeya City wanawakaribisha Simba Sc katika Dimba la CCM kumbukumbu ya Sokoine Mkoani Mbeya. . NB: Mpenja Tv tupo Mjini Mbeya kukuletea matukio yote yanayojiri kwenye mtanange huu kabla na baada ya mbungi hili. . Fungua video hii kupata habari kamili.



OKRAH/CHAMA/BOCCO WAMPAGAWISHA MREMBO WA SIMBA/MBEYA CITY HAWATOKI/MATOKEO UHAKIKA 100%
OKRAH/CHAMA/BOCCO WAMPAGAWISHA MREMBO WA SIMBA/MBEYA CITY HAWATOKI/MATOKEO UHAKIKA 100%

Leo ndiyo leo, 'WANA KOMA KUMWANYA' Mbeya City wanawakaribisha Simba Sc katika Dimba la CCM kumbukumbu ya Sokoine Mkoani Mbeya. . NB: Mpenja Tv tupo Mjini Mbeya kukuletea matukio yote yanayojiri kwenye mtanange huu kabla na baada ya mbungi hili. . Fungua video hii kupata habari kamili.



AGGY SIMBA: "TUNAIMANI NA TIMU YETU/CHAMA AMERUDI/BOCCO WATAFANYA MAKUBWA/HAKUNA KAMA BOCCO BONGO"
AGGY SIMBA: "TUNAIMANI NA TIMU YETU/CHAMA AMERUDI/BOCCO WATAFANYA MAKUBWA/HAKUNA KAMA BOCCO BONGO"

Leo ndiyo leo, 'WANA KOMA KUMWANYA' Mbeya City wanawakaribisha Simba Sc katika Dimba la CCM kumbukumbu ya Sokoine Mkoani Mbeya. . NB: Mpenja Tv tupo Mjini Mbeya kukuletea matukio yote yanayojiri kwenye mtanange huu kabla na baada ya mbungi hili. . Fungua video hii kupata habari kamili.



SHANGWE! MASHABIKI WA SIMBA UWANJA WA SOKOINE/"NASIKIA KELELE UKO WANALIA/BOCCO/GARI YA MKAA IMEWAKA
SHANGWE! MASHABIKI WA SIMBA UWANJA WA SOKOINE/"NASIKIA KELELE UKO WANALIA/BOCCO/GARI YA MKAA IMEWAKA

Leo ndiyo leo, 'WANA KOMA KUMWANYA' Mbeya City wanawakaribisha Simba Sc katika Dimba la CCM kumbukumbu ya Sokoine Mkoani Mbeya. . NB: Mpenja Tv tupo Mjini Mbeya kukuletea matukio yote yanayojiri kwenye mtanange huu kabla na baada ya mbungi hili. . Fungua video hii kupata habari kamili.



Highlights

SIMBA ULAYA: "UCHOVU UMECHANGIA/UWANJA ULIKUWA UNATELEZA/TUMEPIGA PIRA SENENE/PASI MILION 4"
SIMBA ULAYA: "UCHOVU UMECHANGIA/UWANJA ULIKUWA UNATELEZA/TUMEPIGA PIRA SENENE/PASI MILION 4"

Ligi kuu ya NBC leo Jumatano Disemba 21, 2022, ni moto wa kuotea mbali Uwanja wa Kaitaba Stadium Bukoba Mkoani Kagera ...



KAGERA WALIKUWA BORA SANA ENEO LA KIUNGO/MBINU ZA MAKOCHA/MAGOLI YAMEFUNGWA NA MABEKI/ENEO LA KATI..
KAGERA WALIKUWA BORA SANA ENEO LA KIUNGO/MBINU ZA MAKOCHA/MAGOLI YAMEFUNGWA NA MABEKI/ENEO LA KATI..

Ligi kuu ya NBC leo Jumatano Disemba 21, 2022, ni moto wa kuotea mbali Uwanja wa Kaitaba Stadium Bukoba Mkoani Kagera ...



UNYONGE WATAWALA KWA WACHEZAJI WA SIMBA/MOSES PHIRI YAMEMKUTA MAZITO ONA HAPA AKICHECHEMEA...
UNYONGE WATAWALA KWA WACHEZAJI WA SIMBA/MOSES PHIRI YAMEMKUTA MAZITO ONA HAPA AKICHECHEMEA...

Ligi kuu ya NBC leo Jumatano Disemba 21, 2022, ni moto wa kuotea mbali Uwanja wa Kaitaba Stadium Bukoba Mkoani Kagera ...



AGGY SIMBA KINYONGE AWAPONGEZA KAGERA/"WAMEPAMBANA TUNASHUKURU KWA POINT 1/KAGERA WAMECHEZA VIZURI"
AGGY SIMBA KINYONGE AWAPONGEZA KAGERA/"WAMEPAMBANA TUNASHUKURU KWA POINT 1/KAGERA WAMECHEZA VIZURI"

Ligi kuu ya NBC leo Jumatano Disemba 21, 2022, ni moto wa kuotea mbali Uwanja wa Kaitaba Stadium Bukoba Mkoani Kagera ...



CHAMA HAKUCHEZA VIZURI/GOLI LA MAPEMA LILIWAONDOA MCHEZONI/SESEME 'MAN OF THE MATCH/KAGAWA FUNDI...
CHAMA HAKUCHEZA VIZURI/GOLI LA MAPEMA LILIWAONDOA MCHEZONI/SESEME 'MAN OF THE MATCH/KAGAWA FUNDI...

Ligi kuu ya NBC leo Jumatano Disemba 21, 2022, ni moto wa kuotea mbali Uwanja wa Kaitaba Stadium Bukoba Mkoani Kagera ...



AHMED ALLY KINYONGE AWAPA POLE MASHABIKI WA SIMBA/"TUMEUMIA/MATOKEO MABAYA TUMEYAPOKEA"
AHMED ALLY KINYONGE AWAPA POLE MASHABIKI WA SIMBA/"TUMEUMIA/MATOKEO MABAYA TUMEYAPOKEA"

Ligi kuu ya NBC leo Jumatano Disemba 21, 2022, ni moto wa kuotea mbali Uwanja wa Kaitaba Stadium Bukoba Mkoani Kagera ...



KOCHA MECKY: "KAGERA SUGAR TUMESHINDA/NAWAPONGEZA WACHEZAJI/SIMBA WAMEKAMILIKA/NI BORA SANA"
KOCHA MECKY: "KAGERA SUGAR TUMESHINDA/NAWAPONGEZA WACHEZAJI/SIMBA WAMEKAMILIKA/NI BORA SANA"

Ligi kuu ya NBC leo Jumatano Disemba 21, 2022, ni moto wa kuotea mbali Uwanja wa Kaitaba Stadium Bukoba Mkoani Kagera ...



MGUNDA AMPONGEZA KOCHA WA KAGERA SUGAR/"WAMETUHESHIMU/MPANGO WAKE UMEFANIKIWA/MASHABIKI WATUSAMEHE"
MGUNDA AMPONGEZA KOCHA WA KAGERA SUGAR/"WAMETUHESHIMU/MPANGO WAKE UMEFANIKIWA/MASHABIKI WATUSAMEHE"

Ligi kuu ya NBC leo Jumatano Disemba 21, 2022, ni moto wa kuotea mbali Uwanja wa Kaitaba Stadium Bukoba Mkoani Kagera ...




« Previous Next »


User Detail Page

You can find user latest posts and related content on the page. Friends, comments for events / matches are also available on the page. Even you can find users who are same pleasure with current user.

#Travel, #SupportYourTeam, #AllAboutSports