Leo ndiyo leoo, Siku iliyosubiriwa kwa hamu imewadia. . Ni hapa hapa Estadio de Benjamin Mkapa kunako Mbungi la Mnyama Simba akiwakaribisha Eagles Sc katika Mchezo wa Kombe la Azam Sports . Mpenja Tv tupo Kwa Mkapa kukuletea Matukio yote yanayoendelea