Mpenja TV's user profile page. Match highlights, posts and more on site!

“”

 Report User

Latest Posts

KAY MZIWANDA: NISAMEHEWE MIMI KWA WOTE WALIO MKATAA ONANA/AYOUB LAKRED ANADAKA MPAKA DUA/LEO MAMBO..
KAY MZIWANDA: NISAMEHEWE MIMI KWA WOTE WALIO MKATAA ONANA/AYOUB LAKRED ANADAKA MPAKA DUA/LEO MAMBO..

Leo Disemba 19 2023, Unapigwa mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Simba SC dhidi ya Wydad Athletic Club majira ya Saa 10 Jioni. Mpenja Tv tunakuletea mfululizo wa matukio yote muhimu kabla na hata baada ya Mechi hiyo.



ALLY KAMWE AWAKA BAADA YA USHINDI/WALITUMA NGALAWA WAKAMKOSA/AMPA MAUA SKUDU/YANGA HATA MIMI NACHEZA
ALLY KAMWE AWAKA BAADA YA USHINDI/WALITUMA NGALAWA WAKAMKOSA/AMPA MAUA SKUDU/YANGA HATA MIMI NACHEZA

Ligi Kuu ya NBC inaendelea katika Dimba la Azam Complex Chamazi ambapo Yanga SC anamkaribisha Mtibwa Sugar katika Mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Saa 12 na Nusu Jioni. Mpenja Tv tunakuletea matukio yote Muhimu Kabla na Baada ya Mchezo huo.



ZAKA AJIBU KINYONGE FEITOTO KWENDA SIMBA/"TUTAFANYA USAJILI MZITO/BADO TUTAENDELEA KUGAWA TUZO".
ZAKA AJIBU KINYONGE FEITOTO KWENDA SIMBA/"TUTAFANYA USAJILI MZITO/BADO TUTAENDELEA KUGAWA TUZO".

Azam FC wamecheza Mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya Al Hilal ya Sudan,katika Uwanja wa Azam Complex chamazi. Mchezo huo umemalizika kwa sare ya 1-1.



HASHIM IBWE: NAWAONEA HURUMA SIMBA/WANAKUJA WAKATI MBAYA/ILE 5G BADO IPO/FEI TOTO ANA REKODI YAKE.
HASHIM IBWE: NAWAONEA HURUMA SIMBA/WANAKUJA WAKATI MBAYA/ILE 5G BADO IPO/FEI TOTO ANA REKODI YAKE.

Ligi Kuu ya NBC imeendelea Leo 11/12/2023, katika Dimba la Azam Complex Chamazi, na kushuhudia Azam FC alipata ushindi wa Goli 2-1 dhidi ya JKT Tanzania.



MZARAMO: NIMEANZA KUPUMUA SASA/WYDAD KWA MKAPA ANAKUFA/HUYU BENCHIKHA ANABALAA/AYOUB LAKRED..
MZARAMO: NIMEANZA KUPUMUA SASA/WYDAD KWA MKAPA ANAKUFA/HUYU BENCHIKHA ANABALAA/AYOUB LAKRED..

Baada ya Simba SC kupoteza mchezo dhidi ya Wydad Casablanca katika Dimba la Marrakech nchini Morocco, Mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Haya ni maoni ya Mashabiki walikuwa wakitizama mchezo huo kupitia Runinga.



MZINGA:''YANGA BADO WANANAFASI NYINGINE/SIMBA SIO GOIGOI/WALIMILIKI MPIRA KWA ASILIMIA NYINGI.
MZINGA:''YANGA BADO WANANAFASI NYINGINE/SIMBA SIO GOIGOI/WALIMILIKI MPIRA KWA ASILIMIA NYINGI.

Tathmini yakinifu kutoka kwa Ghalib Mzinga Mchambuzi na Mtangazaji wa soka kutoka Azam Media LTD, Naada mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Medeama SC dhidi ya Yanga SC, huku Timu hizi zikilazimishana sare ya Mabao ya 1-1.



MZINGA: WYDAD CASABLANCA HAYUPO UNGA/SIMBA WAJICHUNGE SANA/CHAMA,BALEKE,ONANA WANAPASWA KUWA FITI...
MZINGA: WYDAD CASABLANCA HAYUPO UNGA/SIMBA WAJICHUNGE SANA/CHAMA,BALEKE,ONANA WANAPASWA KUWA FITI...

Tathmini yakinifu kutoka kwa Ghalib Mzinga Mchambuzi na Mtangazaji wa soka kutoka Azam Media LTD, kuelekea mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Wydad Athletic Club dhidi ya Simba SC. Mzinga anaamini utakuwa ni mchezo mgumu licha ya Wydad kuonekana hajaanza vyema katika Michezo yake ya awali.



Highlights

SHANGWE LA MASHABIKI WA YANGA BAADA YA KUMCHAPA TP MAZEMBE 3-1/TUMEWALIPIA SIMBA/WALICHOKITARAJIA...
SHANGWE LA MASHABIKI WA YANGA BAADA YA KUMCHAPA TP MAZEMBE 3-1/TUMEWALIPIA SIMBA/WALICHOKITARAJIA...

Leo Februari 19 2023,Yanga SC anamkaribisha TP MAZEMBE kutoka DRC CONGO Katika Dimba la Benjamin Mkapa,kwenye ...



TP MAZEMBE WAMEPIGWA NA KITU KIZITO/WAMEPIGA MPIRA MKUBWA/MAZEMBE WALIZIDIWA - GHARIB MZINGA
TP MAZEMBE WAMEPIGWA NA KITU KIZITO/WAMEPIGA MPIRA MKUBWA/MAZEMBE WALIZIDIWA - GHARIB MZINGA

Leo Februari 19 2023,Yanga SC anamkaribisha TP MAZEMBE kutoka DRC CONGO Katika Dimba la Benjamin Mkapa,kwenye ...



KOCHA NABI AWAPONGEZA WACHEZAJI WAKE/"WAMEFUATA MAELEKEZO/MAZEMBE TIMU KUBWA/BADO KUNA MAKOSA"
KOCHA NABI AWAPONGEZA WACHEZAJI WAKE/"WAMEFUATA MAELEKEZO/MAZEMBE TIMU KUBWA/BADO KUNA MAKOSA"

Leo Februari 19 2023,Yanga SC anamkaribisha TP MAZEMBE kutoka DRC CONGO Katika Dimba la Benjamin Mkapa,kwenye ...



SIMBA WAMECHEZA KAMA WAPO UGENINI/UBORA WA RAJA CASABLANCA UMEWAPA MATOKEO/HAKUNA WA KUMLAUMU...
SIMBA WAMECHEZA KAMA WAPO UGENINI/UBORA WA RAJA CASABLANCA UMEWAPA MATOKEO/HAKUNA WA KUMLAUMU...

Maoni ya Mashabiki wa Simba baada ya Kupoteza kwa Magoli 3-0 dhidi ya Raja Casablanca,Mchezo wa Jana wa Hatua ya ...



MAPOVU YA MASHABIKI WA SIMBA,TUMECHEZA KAMA TUPO NANE/HATUWEZI KUMFUNGA RAJA KWAO/MKUDE ANGEANZA.
MAPOVU YA MASHABIKI WA SIMBA,TUMECHEZA KAMA TUPO NANE/HATUWEZI KUMFUNGA RAJA KWAO/MKUDE ANGEANZA.

Leo Februari 18 2023,Simba SC anamkaribisha Raja Casablanca kutoka Morocco kwenye Dimba la Benjamin Mkapa ...



MASHABIKI WA SIMBA WACHARUKA: HATUJAWAHI KUPIGWA KIPIGO KAMA HIKI CHA MBWA KOKO/HATUNA MSHAMBULIAJI
MASHABIKI WA SIMBA WACHARUKA: HATUJAWAHI KUPIGWA KIPIGO KAMA HIKI CHA MBWA KOKO/HATUNA MSHAMBULIAJI

Leo Februari 18 2023,Simba SC anamkaribisha Raja Casablanca kutoka Morocco kwenye Dimba la Benjamin Mkapa ...



TIGANA "SIMBA NIDHAMU YA UKABAJI ILIKUWA CHINI/CHAMA HAKUWA BORA/HATUJAZOEA..
TIGANA "SIMBA NIDHAMU YA UKABAJI ILIKUWA CHINI/CHAMA HAKUWA BORA/HATUJAZOEA..

Leo Februari 18 2023,Simba SC anamkaribisha Raja Casablanca kutoka Morocco kwenye Dimba la Benjamin Mkapa ...



SHABIKI SIMBA AWANYOOSHEA MIKONO RAJA WAMEKUJA KUTUONYESHA MPIRA UNAVYOCHEZWA/TUWEKEZE KWA WACHEZAJI
SHABIKI SIMBA AWANYOOSHEA MIKONO RAJA WAMEKUJA KUTUONYESHA MPIRA UNAVYOCHEZWA/TUWEKEZE KWA WACHEZAJI

Leo ndio Leo kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa ikichezwa Mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Simba Sc dhidi ya Raja ...




« Previous Next »


User Detail Page

You can find user latest posts and related content on the page. Friends, comments for events / matches are also available on the page. Even you can find users who are same pleasure with current user.

#Travel, #SupportYourTeam, #AllAboutSports