Mpenja TV's user profile page. Match highlights, posts and more on site!

“”

 Report User

Latest Posts

JIMMY KINDOKI ATEMA NYONGO/KILA DIRISHA WANABOMOA TIMU/AFISA HABARI NI KAMWE TU WENGINE WAHAMASISHAJ
JIMMY KINDOKI ATEMA NYONGO/KILA DIRISHA WANABOMOA TIMU/AFISA HABARI NI KAMWE TU WENGINE WAHAMASISHAJ

Afisa Mhamasishaji wa Yanga SC,Jimmy Kindoki ameeleza furaha yake baada ya kuteuliwa katika nafasi hiyo na kuwaomba Mashabiki na Wanachama wa Yanga SC kumpa Ushirikiano ili aweze kutimiza Majukumu yake ipasavyo. Pia Jimmy Kindoki hakusita kummwagia sifa Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Timu hiyo,Ally Kamwe kwa kusema anafanya kazi kubwa na nzuri. Vilevile amesema ana imani kubwa na Wachezaji wapya waliosajiliwa kwenye dirisha dogo.



ALLY KAMWE KINYONGE''SAMAKI AMEGOMA KULIKA/TUTAKUTANA NAO TU/SISI NI BINADAMU/INAUMIZA SANA
ALLY KAMWE KINYONGE''SAMAKI AMEGOMA KULIKA/TUTAKUTANA NAO TU/SISI NI BINADAMU/INAUMIZA SANA

Leo Januari 7,2024 katika Uwanja wa New Amaan Sports Complex inachezwa michezo miwili ya Robo Fainali ya Kombe la Mapinduzi,Saa 10:15 jioni KVZ FC dhidi ya Mlandege FC. Saa 2:15 usiku, Yanga SC dhidi ya APR FC.



AHMED ALLY:HATUTAMBULISHI WACHEZAJI KWENYE JENEZA/KRAMO AMEKATAA KUVAA JEZI NAMBA 24/TUMEMPA MPYA.
AHMED ALLY:HATUTAMBULISHI WACHEZAJI KWENYE JENEZA/KRAMO AMEKATAA KUVAA JEZI NAMBA 24/TUMEMPA MPYA.

Leo Januari 5,2024 katika Uwanja wa New Amaan Sports Complex inapigwa Michezo miwili ya Kombe la Mapinduzi 2024,Saa 10:15 jioni Jamhuri SC dhidi ya JAMUS FC Saa 2:15 usiku,Simba SC dhidi ya APR SC.



AHMED ALLY:''ONANA NI RONALDO MTUPU/KAMA WAO WANATUTAKA TUKUTANE MWAMBANI/TUMEANZA NA SIMBA QUEENS.
AHMED ALLY:''ONANA NI RONALDO MTUPU/KAMA WAO WANATUTAKA TUKUTANE MWAMBANI/TUMEANZA NA SIMBA QUEENS.

Mapinduzi Cup 2024 inaendelea leo Januari 3,2024 ,APR SC dhidi ya JKU SC Saa 10:15 usiku Simba SC dhidi ya Singida Fountain Gate FC,Saa 2:15 usiku



ALLY KAMWE:KUNA TIMU TUTAIPIGA BARA NA VISIWANI/MSHAMBULIAJI MPYA YUPO CHINI YA BAHARI/OKRAH..
ALLY KAMWE:KUNA TIMU TUTAIPIGA BARA NA VISIWANI/MSHAMBULIAJI MPYA YUPO CHINI YA BAHARI/OKRAH..

Leo Januari 2,2024 VITAL '0 FC inaialika Azam FC mchezo wa Kombe la Mapinduzi 2024,Saa 10:15 jioni. JAMUS dhidi ya Yanga SC, Saa 2:15 usiku



AHMED ALLY ATOA POVU OKRAH KWENDA YANGA/GANDA LA MUWA LA JANA CHUNGU,WAO WAMELIONA TAMU.
AHMED ALLY ATOA POVU OKRAH KWENDA YANGA/GANDA LA MUWA LA JANA CHUNGU,WAO WAMELIONA TAMU.

Kikosi cha Simba SC,kimefanya mazoezi katika Viwanja vya mazoezi vya Amaan kwa ajili ya mchezo wa Mapinduzi Cup dhidi ya JKU,Utakaochezwa Januari Mosi,2024 Uwanja wa New Amaan Sports Complex Saa 2:15 Usiku.



ALLY KAMWE AMJIBU AHMED ALLY''NI MBINAFSI/KESHO TUNATAMBULISHA MCHEZAJI MPYA/MAX YUPO,ANA HAMU NAO
ALLY KAMWE AMJIBU AHMED ALLY''NI MBINAFSI/KESHO TUNATAMBULISHA MCHEZAJI MPYA/MAX YUPO,ANA HAMU NAO

Kikosi cha Yanga SC,kimefanya mazoezi katika Viwanja vya mazoezi vya Amaan kwa ajili ya mchezo wa Desemba 31,2023 dhidi ya Jamhuri,Utakaochezwa uwanja wa New Amaan Sports Complex Saa 2:15 Usiku.



ALLY KAMWE: PWAGU WANAOMBOLEZA/HAWAPO SAWA/SISI TUNACHEKELEA TU/5G YA AZAM INAWAHUSU/CHUMA KIPYA...
ALLY KAMWE: PWAGU WANAOMBOLEZA/HAWAPO SAWA/SISI TUNACHEKELEA TU/5G YA AZAM INAWAHUSU/CHUMA KIPYA...

Kikosi cha Yanga SC kimerejea Dar es salaam kikitokea Jijini Dodoma baada ya kupata Ushindi dhidi ya Tabora United katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC, siku ya Disemba 24 katika Dimba la Jamhuri Meneja habari na Mawasiliano Ally Kamwe amezungumza mipango yao baada ya kurejea Dar es salaam kuelekea Michezo ya Mapinduzi Cup.



Highlights

MASHABIKI WASIMLAUMU BOCCO/CHAMA/SAIDO WALIPATA NAFASI WAKASHINDWA/AZAM FC ALIKUA BORA SANA
MASHABIKI WASIMLAUMU BOCCO/CHAMA/SAIDO WALIPATA NAFASI WAKASHINDWA/AZAM FC ALIKUA BORA SANA

Leo Februari 22/2023 Unashuhudiwa Mchezo wa Mzizima Dabi Baina ya Simba Sc Dhidi Ya Azam Fc Mchezo Unaopigwa ...



KOCHA SIMBA: "TUNAWACHEZAJI WENYE UMRI MKUBWA NA MDOGO/TUMEFUNGA GOLI NA TUMEPOTEZA NAFASI/KIWANGO..
KOCHA SIMBA: "TUNAWACHEZAJI WENYE UMRI MKUBWA NA MDOGO/TUMEFUNGA GOLI NA TUMEPOTEZA NAFASI/KIWANGO..

Leo Februari 22/2023 Unashuhudiwa Mchezo wa Mzizima Dabi Baina ya Simba Sc Dhidi Ya Azam Fc Mchezo Unaopigwa ...



SHABIKI AZAM FC ATAMBA KUIFUNGA SIMBA/SIMBA SIYO TIMU KUBWA NI KONGWE/TUNATAKA POINTI TATU...
SHABIKI AZAM FC ATAMBA KUIFUNGA SIMBA/SIMBA SIYO TIMU KUBWA NI KONGWE/TUNATAKA POINTI TATU...

Leo Februari 22/2023 Unashuhudiwa Mchezo wa Mzizima Dabi Baina ya Simba Sc Dhidi Ya Azam Fc Mchezo Unaopigwa ...



LITAKUFA JITU!! WACHEZAJI SIMBA NA AZAM WALIVYOWASILI KWA MKAPA/MECHI DUME/UBABE UBABE
LITAKUFA JITU!! WACHEZAJI SIMBA NA AZAM WALIVYOWASILI KWA MKAPA/MECHI DUME/UBABE UBABE

Leo Februari 22/2023 Unashuhudiwa Mchezo wa Mzizima Dabi Baina ya Simba Sc Dhidi Ya Azam Fc Mchezo Unaopigwa ...



AHMED ALLY: "KUHUSU GARI KURUDI KINYUME NYUME/NILILIA SANA/TIMU YETU SIYO MBOVU, IMEFUNGWA...
AHMED ALLY: "KUHUSU GARI KURUDI KINYUME NYUME/NILILIA SANA/TIMU YETU SIYO MBOVU, IMEFUNGWA...

'Mzizima Derby' imefika ni Vita ya Simba Sc dhidi ya Azam Fc Uwanja wa Benjamin Mkapa Ligi Kuu ya NBC,Nani kuondoka Na ...



YANGA WATAFIKA FAINALI SHIRIKISHO/SIMBA WATAENDA ROBO FAINALI/RAJA CASABLANCA MBABE KUNDI LA SIMBA
YANGA WATAFIKA FAINALI SHIRIKISHO/SIMBA WATAENDA ROBO FAINALI/RAJA CASABLANCA MBABE KUNDI LA SIMBA

Mpenja Tv tumefanya Uchambuzi na Mwamuzi Mstaafu Osman Kazi Baadhi ya Matukio ambayo yamejitokeza kwenye Mchezo ...



MUSONDA WALIMSEMA SANA/RAIS HERSI AMEFANYA KAZI KUBWA KUIJENGA YANGA HII/MAZEMBE CHALI....
MUSONDA WALIMSEMA SANA/RAIS HERSI AMEFANYA KAZI KUBWA KUIJENGA YANGA HII/MAZEMBE CHALI....

Leo Februari 19 2023,Yanga SC anamkaribisha TP MAZEMBE kutoka DRC CONGO Katika Dimba la Benjamin Mkapa,kwenye ...



HILI HAPA SHAIRI LA YANGA /TP MAZEMBE WAMEKUWA WAZEMBE/AUCHO ANA BALAA/KENEDY MUSONDA..
HILI HAPA SHAIRI LA YANGA /TP MAZEMBE WAMEKUWA WAZEMBE/AUCHO ANA BALAA/KENEDY MUSONDA..

Leo Februari 19 2023,Yanga SC anamkaribisha TP MAZEMBE kutoka DRC CONGO Katika Dimba la Benjamin Mkapa,kwenye ...




« Previous Next »


User Detail Page

You can find user latest posts and related content on the page. Friends, comments for events / matches are also available on the page. Even you can find users who are same pleasure with current user.

#Travel, #SupportYourTeam, #AllAboutSports