Content removal request!


ZAKA AJIBU KINYONGE FEITOTO KWENDA SIMBA/"TUTAFANYA USAJILI MZITO/BADO TUTAENDELEA KUGAWA TUZO".

Azam FC wamecheza Mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya Al Hilal ya Sudan,katika Uwanja wa Azam Complex chamazi. Mchezo huo umemalizika kwa sare ya 1-1.