Simba SC 6-0 Kilimanjaro Wonders | Magoli | CRDB Bank FA Cup - 26/01/2025
Simba SC 6-0 Kilimanjaro Wonders | Magoli | CRDB Bank FA Cup - 26/01/2025

Tazama magoli yote sita waliyofunga Simba SC kwenye mchezo wa hatua ya 64 bora ya CRDB Bank Federation Cup Simba imeshinda kwa jumla ya magoli 6-0, wafungaji ni Valentino Mashaka, Ladack Chasambi, Joshua Mutale, Stephen Mukwala, Edwin Balua na goli la kujifunga la Patrick Sebastian



Yanga SC 5-0 Copco FC | Magoli | CRDB Bank FA Cup - 25/01/2025
Yanga SC 5-0 Copco FC | Magoli | CRDB Bank FA Cup - 25/01/2025

Tazama magoli yote matano ya Yanga waliyofunga kwenye mchezo wa CRDB Bank Federation Cup dhidi ya Copco FC. Wafungaji ni Shekhan Ibrahim, Prince Dube, Maxi Nzengeli, Duke Abuya na Mudathir Yahya.



Mlandizi Queens 0-11 Simba Queens | Magoli | Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania - 22/01/2025
Mlandizi Queens 0-11 Simba Queens | Magoli | Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania - 22/01/2025

#TWPL Tazama magoli ya Simba SC yaliyopatikana ndani ya dakika 90 za mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania 2025 kati ya Mlandizi Queens dhidi Simba Queeens; huku Asha Djafari na Jentrix Shikangwa... wakipiga Hat-trick katika mchezo huo. #TanzaniaWomensPremierLeague #LigiKuuWanawake #TWPLUpdates #MlandiziQueens #SimbaQueens #MlandiziSimba



Magoli | Burkina Faso 1-2 Zanzibar Heroes | Fainali Mapinduzi Cup 13/01/2025
Magoli | Burkina Faso 1-2 Zanzibar Heroes | Fainali Mapinduzi Cup 13/01/2025

Timu ya taifa ya Zanzibar… #ZanzibarHeroes imeibuka na ubingwa wa Kombe la Mapinduzi 2025 kwa kuichapa Burkina Faso mabao 2-1 katika mchezo wa fainali uliopigwa leo kwenye Dimba Gombani, Pemba. Zanzibar walitangulia kupata bao dakika ya 41 kwa kisigino cha Ibrahim Hamad Hilika, kisha Burkina Faso wakachomo dakika ya 69 kupitia kwa Aboubacar Traore…. Lakini dakika za majeruhi, Hassan Ali Cheda akafunga la pili na la ushindi kwa Zanzibar.



Kamwe asema MC Alger watakutana na moto Benjamin Mkapa, awaita mashabiki
Kamwe asema MC Alger watakutana na moto Benjamin Mkapa, awaita mashabiki

#CAFCL “Warabu watakwenda kuitapika Benjamin Mkapa” maneno ya Meneja Habari na Mawasiliano wa Yanga SC, Ally Kamwe akiuzungumzia mchezo wao wa Januari 18, 2025 ndani ya dimba la Benjamin Mkapa dhidi ya MC Alger. Ni mchezo wa mwisho kwa timu zote mbili katika hatua ya makundi ya Ligi Mabingwa Afrika (CAFCL) huku akiwaita mashabiki kubeba vichinjio vyao. Yanga jana Jumapili ilishinda kwa goli 1-0 dhidi ya Al Hilal ya Sudan na kufikisha alama saba huku MC Alger ikiwa na alama nane. Mdchi hiyo utaishuhudia LIVE #AzamSports1HD #AzamSports1HD #YangaSafarini #YangaMauritania #AlHilal #YangaSC #AlHilalYanga #CAFCL #CAFChampionsLeague



Mikwaju ya penati | Simba Veteran 0-0 Yanga Veteran (2-4) | Ngao ya Jamii TVL 12/01/2025
Mikwaju ya penati | Simba Veteran 0-0 Yanga Veteran (2-4) | Ngao ya Jamii TVL 12/01/2025

Timu ya Yanga Veteran imefanikiwa kuwa mabingwa wa Ngao ya Jamii ya Ligi ya Maveterani Tanzania #TanzaniaVeteranLeague (TVL) baada ya kuichapa Simba Veteran kwa penati 4-2, kufuatia suluhu ndani ya dakika 90. Mechi imepigwa kwenye Dimba la KMC, Mwange Dar es Salaam...



Waandishi wa habari nchini Tunisia waivulia kofia Simba
Waandishi wa habari nchini Tunisia waivulia kofia Simba

Waandishi wa habari waandamizi wa nchini Tunisia, Umaima Jubeli kutoka Radio Express FM na Hosni Gharbi wa Tunisia Press Agency waimwagia sifa Simba SC kuelekea mechi ya leo dhidi ya CS Sfaxien ya nchini humo. Ni mechi ya Kombe la Shirikisho Afrika na itapigwa leo Jumapili ya Januari 5, 2025 saa 1:00 usiku LIVE #AzamSports1HD #SimbaSC #CSSfaxien #CAFCC #SimbaTunisia




« Previous Next »


Popular Tags

#Gareth Bale  #Stephen Curry  #Best Goals  #Shot Goals  #Best Goals Ever  #Allen Iverson  #Philadelphia 76ers  #Shaquille O'Neal  #Luis Suarez  #Best Goalkeeper Saves  

Popular Users

#darrenrovell  #incarceratedbob  #DjokerNole  #SteveNash  #RealSkipBayless  #blakegriffin23  #itsBayleyWWE  #BMcCarthy32  #themichaelowen  #JohnCena  #realmadrid  #DanicaPatrick  #hunterpence  #CNN