Timu ya Yanga Veteran imefanikiwa kuwa mabingwa wa Ngao ya Jamii ya Ligi ya Maveterani Tanzania #TanzaniaVeteranLeague (TVL) baada ya kuichapa Simba Veteran kwa penati 4-2, kufuatia suluhu ndani ya dakika 90. Mechi imepigwa kwenye Dimba la KMC, Mwange Dar es Salaam...