#TWPL Tazama magoli ya Simba SC yaliyopatikana ndani ya dakika 90 za mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania 2025 kati ya Mlandizi Queens dhidi Simba Queeens; huku Asha Djafari na Jentrix Shikangwa... wakipiga Hat-trick katika mchezo huo. #TanzaniaWomensPremierLeague #LigiKuuWanawake #TWPLUpdates #MlandiziQueens #SimbaQueens #MlandiziSimba