Tazama magoli yote sita waliyofunga Simba SC kwenye mchezo wa hatua ya 64 bora ya CRDB Bank Federation Cup Simba imeshinda kwa jumla ya magoli 6-0, wafungaji ni Valentino Mashaka, Ladack Chasambi, Joshua Mutale, Stephen Mukwala, Edwin Balua na goli la kujifunga la Patrick Sebastian