MASHUTI YA ALLY KAMWE "SASAHIVI AZAM NDIYO MSHINDANI WETU/KOLO NI SIMBA ZEE TU/AZIZ KI NDANI"
MASHUTI YA ALLY KAMWE "SASAHIVI AZAM NDIYO MSHINDANI WETU/KOLO NI SIMBA ZEE TU/AZIZ KI NDANI"

Leo Februari 10,2024 Klabu ya Yanga imefanya Wananchi Mbeya Jogging ikiwa ni Sherehe za maadhimisho ya miaka 89 ya Klabu hiyo,Zinazofanyika Jijini Mbeya. Pia wametembelea Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Mbeya,Kitengo cha Wazazi na Magonjwa ya Wanawake Meta, kuwajulia hali Wagonjwa na kuwapatia Zawadi mbalimbali.



''AHMED ALLY ''UNATAMBULISHA MCHEZAJI GIZANI KAMA UNAVUSHA MKE WA MTU/PA OMAR JOBE ATAFUNGA SANA
''AHMED ALLY ''UNATAMBULISHA MCHEZAJI GIZANI KAMA UNAVUSHA MKE WA MTU/PA OMAR JOBE ATAFUNGA SANA

Leo Januari 31,2024 Simba SC inashuka Dimba la Azam Complex chamazi kumenyana na Tembo SC kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho la Azam Sports,Saa 1:00 Usiku.



GHARIB MZINGA"IBRA BACCA,TSHABALALA,DIARRA WAMEZIDI KUONYESHA UBORA WAO/SAMATTA ANAOGOPEWA/STARS
GHARIB MZINGA"IBRA BACCA,TSHABALALA,DIARRA WAMEZIDI KUONYESHA UBORA WAO/SAMATTA ANAOGOPEWA/STARS

Mtangazaji na Mchambuzi wa Soka kutoka Azam Media ,Gharib Mzinga @gharib_23 ameeleza mtazamo wake kuhusu AFCON 2023. Pia amechambua kiundani michezo waliyocheza Timu ya Taifa ya Tanzania "Taifa Stars" ya kundi F kwenye Michuano hiyo hadi kufikia Januari 24,2024 walipotolewa kwa suluhu ya bila kufungana dhidi ya timu ya Taifa ya CONGO.



KIPYENGA CHA MWISHO Osmani Kazi Alivyotoa Utata Goli la NGOMA na Penalti Tata ya KAGERE
KIPYENGA CHA MWISHO Osmani Kazi Alivyotoa Utata Goli la NGOMA na Penalti Tata ya KAGERE

KIPYENGA CHA MWISHO Osmani Kazi Alivyotoa Utata Goli la NGOMA na Penalti Tata ya KAGERE #golilangoma #penalti #nusufainali #simbasc #kikosichasimba #singidafountaingate #wachezajiwaliosajiliwasimba #wachezajiwapyawasimba #usajiliwasimba #simbasc #tetesizausajili #yangasc #dirishadogolausajili #meziane #usajiliwasimba #simbasc #abderahmanemeziane #chama #simbakumfungiachama #simbasc #jwanenggalaxy #yangasc #alahly #wachezajiwanaotemwasimba #dirishadogolausajili #simba #simbaleo #simbasc #asecmimosas #ligiyamabingwaafrika #cafcl #yangasc #crbelouizdad #kochampya #abdelhackbenchka #kochampyawasimba #taifastars #tanzania #simbasc #yangasc #ligikuutanzania #magoliyoteleo #nbc #azamfc #ligikuu #tanzania #yanga #azamtv #trending #youtube #usajilisimba #usajiliyanga #tetesizausajili #dirishadogolausajili #dirishakubwalausajili #2023 #wachezajiwanaotemwasimba #wachezajiwanaotemwayanga #usajili #simba #magoli #chama #maxinzengeli #manara #alikamwe #ahmedally #gsm #moodewji #raissamia #samiasuluhu #caf #cafcc #cafcl #harmonize #diamondplatnumz #alikiba #wcb #wasafi #millardayo #wasafitv #music #football #news #sports #samatta #novatusdismas #ccm #chadema #zanzibar #africa #cecafa #live #ngaiyajamii #fifa #messi #ronaldo



Singida Fountain Gate 1 (2-3) 1 Simba | Highlights | Mapinduzi Cup - 10/01/2024
Singida Fountain Gate 1 (2-3) 1 Simba | Highlights | Mapinduzi Cup - 10/01/2024

Tazama matukio yote yaliyojiri mchezo wa nusu fainali ya mapinduzi Cup kati ya Singida Fountain Gate dhidi ya Simba SC. Simba imetinga fainali kwa kupata penati 3-2 Waliopiga penati ni Medie Kagere, Hamad Waziri, Duke Abuya, Gadiel Michael na Deus Kaseke kwa upande wa Singida FG. Shomari Kapombe, Luis Miquissone, Saidi Ntibazonkiza, , Israel Mwenda na Moses Phiri kwa upande wa Simba SC.




« Previous Next »


Popular Tags

#Allen Iverson  #Stephen Curry  #Neymar  #Gareth Bale  #Amazing Solo Goals  #Counter Attack Goals Football  #Stephen Curry  #David Silva  #Los Angeles Lakers  #Best Goals  

Popular Users

#oldhossradbourn  #BaileyLAKings  #KylieJenner  #OleksiakPenny  #billbarnwell  #Buccigross  #themichaelowen  #JasonDufner  #nytimes  #MichelleDBeadle  #ATLHawks  #narendramodi  #dougferguson405  #normmacdonald