MNANDI JR ACHAFUKWA, AWAPASUA YANGA, ATAMBA USAJILI WA FEISAL SIMBA, ASEMA TAREHE 12 WAJIANDAE KULIA
MNANDI JR ACHAFUKWA, AWAPASUA YANGA, ATAMBA USAJILI WA FEISAL SIMBA, ASEMA TAREHE 12 WAJIANDAE KULIA

Mnandi JR awachana makavu Yanga, asema Mchome ndo shabiki anayependwa na Viongozi wa Yanga.



🛑#LIVE YANGA YASHUSHA MASHINE HIZI AZIZ KI, KOUTIAMA KOMBO NA WENGINE HAWA, YAACHANA NA HAWA WOTE 12
🛑#LIVE YANGA YASHUSHA MASHINE HIZI AZIZ KI, KOUTIAMA KOMBO NA WENGINE HAWA, YAACHANA NA HAWA WOTE 12

#Yangasc #Tetesizausajili #UsajilimpyaYangasc Fagio la CHUMA limepita Bila huruma jangwani Wachezaji wanaotemwa Yanga 1. Prince Dube amejiunga na hard rock ya Zimbabwe kwao 2. Mohamed Damaro 3. Frank Assink 4. Bubah Jammeh 5. Mohamed Doumbia 6. Balla Conte 7. Abubakari Salum sure boy 8. Farid Mussa 9. Celestine Ecua 10. Israel Mwenda amerejea Singida BS 11. Shadrack Boka anaondoka mrithi wake nitakutajia Kone 12. Lassine kouma Wachezaji wanaosajiliwa Yanga 1. Yves Koutiama mshambuliaji wa Burkina Faso Na police Kenya magoli 11 mechi 17 ameingia dirisha Dogo 2. Juma Abushir AKA Messi wa Chuga Miaka 18 attacking midfield kutoka Fountain Gate alihitajika krc Genk ,yanga wametoa Milion 100 kuvunja mkataba na atalipwa mshahara wa Milion 5 Kila mwezi kutoka kulipwa Laki 6 3. Nasri Kombo beki kutoka TRA United deal done 4. Azizi Ki wanasubiri avunje mkataba na Al Ittihad 5.Samba Kone mrithi wa Shadrack Boka LB & CB assist 6 Miaka 23 ivory Coast Yanga wanamtaka mlinzi wa kushoto wa Mouna FC raia wa Ivory Coast 🇨🇮,Samba Koné (23) ✅Yanga wanamuona Kone kama mbadala sahihi wa Boka. ❌Kone anamaliza mkataba wake na Mouna FC,june 30 mwaka huu. Mchezaji huyo amewahi kupita Paradou FC ya Algeria 🇩🇿. Msimu huu Kone katoa assist (4) huku akitajwa kama beki bora wa kushoto kwenye ligi ya Ivory Coast. 6. Klabu ya Yanga ipo kwenye hatua za mwisho kukamilisha usajili wa nyota wa klabu ya Anzoategui FC (Academia Anzoategui) inayoshiriki Ligi daraja la pili nchini Venezuela (FUTVE 2) Guillermo Leon Marin Pino maarufu kwa jina la Memo mwenye umri wa miaka (24). Pino anaweza kucheza nafasi mbalimbali kama vile Winga wa kulia (RW), Winga wa kushoto (LW) na kiungo Mshambuliaji. Kabla ya kujiunga na Anzoategui mnamo mwaka 2023 alikuwa anaitumikia klabu ya Deportivo La Guaira. Akiwa na Anzoategui msimu huu Pino amefanikiwa kuhusika kwenye mabao (5) baada ya kufunga mabao (3) na kutoa assisti (2) akicheza dakika (876) kwenye michezo (13). 7. Mosi Nduwumwe huyu ndiye top score ligi kuu Mechi 15 magoli 17 na ndiye mrithi wa Prince Dube,ni raia WA Burundi Miaka 25 8. Idd Nado kutoka Azam FC Kocha wanaotajwa Kwa sasa Chavalier wa aasec mimosas ya ivory Coast na fadlu davids wa Raja 🟢🟡 HII HAPA LIST YA WACHEZAJI WA KIGENI WA YANGA SC 🔰 1.🇲🇱 Djigui Diarra 2.🇨🇮 Yao Kouassi 3.🇨🇩 Chadrack Boka 4.🇧🇪 Frank Assink 5.🇬🇳 Balla Conté 6.🇰🇪 Duke Abuya 7.🇨🇩 Maxi Nzengeli 8.🇲🇱 Mohamed Doumbia 9.🇦🇴 Laurindo Depu 10.🇺🇬 Allan Okello 11.🇨🇮 Pacome Zouzoua 12.🇬🇲 Buba Jammeh 13.🇧🇪 Lassine Kouma 14.🇧🇪 Célestin Ecua



AMBOKILE AWEKA WAZI USAJILI WA YAO KWASI KWENDA SIMBA SC/YANGA WANAKIWA KUWA NA KIKOSI BORA
AMBOKILE AWEKA WAZI USAJILI WA YAO KWASI KWENDA SIMBA SC/YANGA WANAKIWA KUWA NA KIKOSI BORA

If you enjoy this video please give a like and subscribe for more videos like this. Follow us on istagram Ava tv..



YANGA YASHUSHA MASHINE HIZI MPYA NI BALAA AZIZI KI,GUILLERMO MZUNGU NDANI,YAACHANA NA WACHEZAJI HAWA
YANGA YASHUSHA MASHINE HIZI MPYA NI BALAA AZIZI KI,GUILLERMO MZUNGU NDANI,YAACHANA NA WACHEZAJI HAWA

#Yangasc #Tetesizausajilimpya #WachezajiwapyaYangasc #alikamwe #hansrafael #Uchambuziwamichezo #mchomemapovu #Enghersisaidi Fagio la CHUMA limepita Bila huruma jangwani Wachezaji wanaotemwa Yanga 1. Prince Dube amejiunga na hard rock ya Zimbabwe kwao 2. Mohamed Damaro 3. Frank Assink 4. Bubah Jammeh 5. Mohamed Doumbia 6. Balla Conte 7. Abubakari Salum sure boy 8. Farid Mussa 9. Celestine Ecua 10. Israel Mwenda amerejea Singida BS 11. Shadrack Boka anaondoka mrithi wake nitakutajia Kone 12. Lassine kouma Wachezaji wanaosajiliwa Yanga 1. Yves Koutiama mshambuliaji wa Burkina Faso Na police Kenya magoli 11 mechi 17 ameingia dirisha Dogo 2. Azizi Ki 3. Nasri Kombo beki kutoka TRA United. 4.Samba Kone mrithi wa Shadrack Boka LB & CB assist 6 Miaka 23 ivory Coast Yanga wanamtaka mlinzi wa kushoto wa Mouna FC raia wa Ivory Coast 🇨🇮,Samba Koné (23) ✅Yanga wanamuona Kone kama mbadala sahihi wa Boka. ❌Kone anamaliza mkataba wake na Mouna FC,june 30 mwaka huu. Mchezaji huyo amewahi kupita Paradou FC ya Algeria 🇩🇿. Msimu huu Kone katoa assist (4) huku akitajwa kama beki bora wa kushoto kwenye ligi ya Ivory Coast. 5. 🚨Taarifa za usajili zinaeleza kuwa klabu ya Yanga ipo kwenye hatua za mwisho kukamilisha usajili wa nyota wa klabu ya Anzoategui FC (Academia Anzoategui) inayoshiriki Ligi daraja la pili nchini Venezuela (FUTVE 2) Guillermo Leon Marin Pino maarufu kwa jina la Memo mwenye umri wa miaka (24). Pino anaweza kucheza nafasi mbalimbali kama vile Winga wa kulia (RW), Winga wa kushoto (LW) na kiungo Mshambuliaji. Kabla ya kujiunga na Anzoategui mnamo mwaka 2023 alikuwa anaitumikia klabu ya Deportivo La Guaira. Akiwa na Anzoategui msimu huu Pino amefanikiwa kuhusika kwenye mabao (5) baada ya kufunga mabao (3) na kutoa assisti (2) akicheza dakika (876) kwenye michezo (13). 6. Mosi Nduwumwe huyu ndiye top score ligi kuu Mechi 15 magoli 17 na ndiye mrithi wa Prince Dube,ni raia WA Burundi Miaka 25 Kocha wanaotajwa Kwa sasa Chavalier wa aasec mimosas ya ivory Coast na fadlu davids wa Raja




Next »


Popular Tags

#Anthony Davis  #Zlatan Ibrahimovi  #Kawhi Leonard  #David Silva  #Best Ball Controls  #Best Football Defending Skills  #Football Skills  #Best Goals  #Luis Suarez  #Paul George  

Popular Users

#TheEllenShow  #J_No24  #oldhossradbourn  #StephenCurry30  #geniebouchard  #TimTebow  #BizNasty2point0  #neymarjr  #LilTunechi  #dougferguson405  #strombone1  #narendramodi  #criscyborg  #RyanBabel  #floydmayweather