ALLY KAMWE" SIMBA WAMEFUNGWA MDOMO/TUTAWAFUNGA 5G TENA/DODOMA JIJI MENEJA WAO KAWAPONZA
ALLY KAMWE" SIMBA WAMEFUNGWA MDOMO/TUTAWAFUNGA 5G TENA/DODOMA JIJI MENEJA WAO KAWAPONZA

Meneja Habari na Mawasiliano wa Yanga SC,Ally kamwe amewasili Dodoma kwa ajili ya mchezo wa kombe la Shirikisho la Benki ya CRDB,utakaochezwa Saa 2:00 usiku,Uwanja wa Jamhuri.



ALLY KAMWE AWALIPUA SIMBA,SIMBA NI MWAKA ROBO/TUNATAKA MECHI TUCHEZE NA MWANGA WA SIMU
ALLY KAMWE AWALIPUA SIMBA,SIMBA NI MWAKA ROBO/TUNATAKA MECHI TUCHEZE NA MWANGA WA SIMU

Leo Machi 29,2024 Mnyama Simba SC anashuka Dimba la Benjamin Mkapa kumenyana na Al Ahl kutoka Misri katika mchezo wa mkondo wa kwanza wa robo fainali ya ligi ya Mabingwa Afrika,Saa 3:00



EXCLUSIVE: MPENJA, MZINGA, HINJO WASHINDANA KUTANGAZA MPIRA/WAZICHAMBUA MAMELODI/AL AHLY/NOMA SANA!
EXCLUSIVE: MPENJA, MZINGA, HINJO WASHINDANA KUTANGAZA MPIRA/WAZICHAMBUA MAMELODI/AL AHLY/NOMA SANA!

Mtangazaji Mwandamizi wa soka nchini, Baraka Adson Lamsi Mpenja, maarufu Mwamba wa Umalila, Fahari ya Itete, Sauti ya Radi, amekutana na kufanya Mazungumzo maalumu na Watangazaji vinara wa kandanda kutoka Azam Media LTD, Gharib Mzinga na Ayubu Hinjo. Wamezichambua mechi za robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Machi 29, Simba vs Al Ahly na Machi 30, Yanga vs Mamelodi Sundowns.



MAZUNGUMZO YA MPENJA NA MZINGA;NILIFELI KIDATO CHA NNE/YANGA NA SIMBA ZINA UWEZO WA KUFIKA FAINALI
MAZUNGUMZO YA MPENJA NA MZINGA;NILIFELI KIDATO CHA NNE/YANGA NA SIMBA ZINA UWEZO WA KUFIKA FAINALI

Mtangazaji kinara wa soka nchini, Baraka Mpenja, amefanya mazungumzo na Mtangazaji wa soka wa Azam Media LTD, Gharib Mohamed Ally Mzinga kuhusu Maisha yake ya nyuma lakini pia ikumbukwe leo ni kumbukizi ya kuzaliwa ya Mtangazaji machachari wa Soka Ghalibu Mzinga. Lakini pia Ghalibu mzinga ametoa mtazamo wake katika mechi ya ligi ya mabingwa Afrika kati ya Simba na Yanga kuwa zinaweza kufika hatua ya fainali katika mashindano hayo.



ALLY KAMWE: TUNAKWENDA KUWAFANYA VIBAYA MAMELODI/SIMBA WANASAFISHA UWANJA/HATUJAWAHI KUSHINDWA...
ALLY KAMWE: TUNAKWENDA KUWAFANYA VIBAYA MAMELODI/SIMBA WANASAFISHA UWANJA/HATUJAWAHI KUSHINDWA...

Meneja Habari na Mawasiliano wa Yanga SC,Ally kamwe aeleza namna ambavyo wamewapokea wapinzani wao Mamelodi Sundowns kwenye robo fainali ya ligi ya Mabingwa Afrika na namna wanavyojipanga kumenyana nao Machi 30,2024 Uwanja wa Benjamin Mkapa.



MASHABIKI WA SIMBA WACHARUKA" TUNATAKA FORWARD/KAMA HAWANA HELA WATUAMBIE TUPITISHE HARAMBEE
MASHABIKI WA SIMBA WACHARUKA" TUNATAKA FORWARD/KAMA HAWANA HELA WATUAMBIE TUPITISHE HARAMBEE

Leo Machi 6,2024 Mnyama Simba anashuka Dimba la Jamhuri Morogoro kumenyana na Wajelajela Tanzania Prisons katika mchezo wa ligi kuu ya NBC ,Saa 10:00 jioni.



MAZUNGUMZO YA MPENJA NA GHARIB MZINGA/PACOME/AZIZ KI/MUDATHIR/MUSONDA WANATISHA/YANGA HAISHIKIKI
MAZUNGUMZO YA MPENJA NA GHARIB MZINGA/PACOME/AZIZ KI/MUDATHIR/MUSONDA WANATISHA/YANGA HAISHIKIKI

Mtangazaji kinara wa soka nchini, Baraka Mpenja, amefanya mazungumzo na Mtangazaji wa soka wa Azam Media LTD, Gharib Mohamed Ally Mzinga kuhusu mechi ya YANGA SC vs CR Belouizdad. Mzinga ndiye alitangaza mchezo huu ambayo Yanga wameshinda 4-0 na kufuzu Robo Fainali Ligi ya Mabingwa Afrika.



LIVE:HAWA HAPA DIARRA,AZIZ KI,YAO WAKIWA NA MUONEKANO WA BLICH/PACOME DAY HATARI/YANGA HAWANA DOGO
LIVE:HAWA HAPA DIARRA,AZIZ KI,YAO WAKIWA NA MUONEKANO WA BLICH/PACOME DAY HATARI/YANGA HAWANA DOGO

Kikosi cha Yanga SC kimefanya mazoezi yao ya mwisho katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kwa ajili ya Mchezo wa Februari 24,2024 wa ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya makundi dhidi ya CR Belouizdad,Utakaopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa,Saa 1:00 jioni.




« Previous Next »


Popular Tags

#Shot Goals  #Chris Paul  #Kobe Bryant  #LeBron James  #LeBron James  #Best Ball Controls  #Luis Suarez  #Best Goalkeeper Saves  #Shaquille O'Neal  #Best Champions League  

Popular Users

#fauxpelini  #TheChristinaKim  #criscyborg  #BeingSalmanKhan  #oldhossradbourn  #HEELZiggler  #AntDavis23  #THNRyanKennedy  #RobbieSavage8  #tigerwoods  #RobGronkowski  #cnnbrk  #elonmusk  #JoelEmbiid