GHARIB MZINGA"IBRA BACCA,TSHABALALA,DIARRA WAMEZIDI KUONYESHA UBORA WAO/SAMATTA ANAOGOPEWA/STARS by @Mpenja TV - Post Details

GHARIB MZINGA"IBRA BACCA,TSHABALALA,DIARRA WAMEZIDI KUONYESHA UBORA WAO/SAMATTA ANAOGOPEWA/STARS

Mtangazaji na Mchambuzi wa Soka kutoka Azam Media ,Gharib Mzinga @gharib_23 ameeleza mtazamo wake kuhusu AFCON 2023. Pia amechambua kiundani michezo waliyocheza Timu ya Taifa ya Tanzania "Taifa Stars" ya kundi F kwenye Michuano hiyo hadi kufikia Januari 24,2024 walipotolewa kwa suluhu ya bila kufungana dhidi ya timu ya Taifa ya CONGO.

Similar Posts!