Mpenja TV's user profile page. Match highlights, posts and more on site!

“”

 Report User

Latest Posts

KOCHA WA SIMBA MWENYE SHUGHULI YAKE LIGI YA MABINGWA AFRIKA AFUNGUKA KUELEKEA KUIVAA JWANENG GALAXY
KOCHA WA SIMBA MWENYE SHUGHULI YAKE LIGI YA MABINGWA AFRIKA AFUNGUKA KUELEKEA KUIVAA JWANENG GALAXY

Kocha Msaidizi wa Simba SC ambaye anaiongoza timu hiyo katika michuano ya ligi ya Mabingwa Afrika, Thierry Hitimana, amezungumzia maandalizi yao kuelekea kuivaa Jwaneng Galaxy ya Botswana Jumapili Oktoba 24, 2021, uwanja wa Benjamin Mkapa kwenye mechi ya marudiano ya ligi ya Mabingwa Afrika. Simba inahitaji sare au ushindi ili kutinga hatua ya makundi ya ligi ya Mabingwa Afrika kutokana na ushindi wa 2-0 ugenini waliopata Oktoba 17, 2021 uwanja wa Taifa wa Botswana. #SimbaSC #JwanengGalaxy #ThierryHitimana #MpenjaTV



MHAMASISHAJI WA SIMBA DC MWIJAKU AAHIDI KUVUA NGUO MPAKA MWENGE WASIPOWAPIGA JWANENG GALAXY/MSIKIE
MHAMASISHAJI WA SIMBA DC MWIJAKU AAHIDI KUVUA NGUO MPAKA MWENGE WASIPOWAPIGA JWANENG GALAXY/MSIKIE

Leo Oktoba 21 2021, Mhamasishaji Mpya wa Klabu ya Simba, DC wa Insta Mwijaku, amezungumza na Waandishi wa Habari kuelekea mchezo wa marudiano wa ligi ya mabingwa Afrika kati ya Simba na Jwaneng Galaxy utakaochezwa Jumapili Oktoba 24, 2021 Uwanja wa Benjamin Mkapa. Fungua video hii kupata habari kamili. . #simbasc #mwijaku #mpenjatv



DADEKI! SIMBA WAJA KIVINGINE KUWAANGAMIZA JWANENG GALAXY/KAULI MBIU ‘IT IS NOT OVER KAZI IENDELEE’
DADEKI! SIMBA WAJA KIVINGINE KUWAANGAMIZA JWANENG GALAXY/KAULI MBIU ‘IT IS NOT OVER KAZI IENDELEE’

Klabu ya Simba SC kupitia kwa Ofisa Habari wake Msaidizi, Ally Shatry maarufu Chico imetangaza kaulimbiu kuelekea mchezo wake wa marudiano wa ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Jwaneng Galaxy ya Botswana utakaochezwa Jumapili Oktoba 24, 2021 Uwanja wa Benjamin Mkapa. Simba inahitaji Sare yoyote au ushindi ili kutinga hatua ya makundi kutokana na ushindi wa 2-0 ugenini Oktoba 17, 2021, uwanja wa Taifa wa Botswana. #SimbaSC #JwanengGalaxy #CAFChampionsLeague #AllyShatry #MpenjaTV



SIKIA TAMBO ZA ZAKA ZAKAZI BAADA YA AZAM KUWATOBOA NAMUNGO DAKIKA ZA LALA SALAMA
SIKIA TAMBO ZA ZAKA ZAKAZI BAADA YA AZAM KUWATOBOA NAMUNGO DAKIKA ZA LALA SALAMA

Ofisa Habari wa Azam FC, Thabit Chumwi Zakaria maarufu Zaka Zakazi, amezungumza na Mpenja TV baada ya timu yao kuwafumua Namungo Fc dakika za jioni kabisa. Zaka ametoa ya moyoni ndani ya mahojiano haya na Mpenha TV. Fungua video hii kupata Uhondo Kamili. #azamfc #namungofc #mpenjatv



KOCHA WA AZAM VIVIER BAHATI AFUNGUKA YA MOYONI BAADA YA KUWAFUMUA NAMUNGO NYUMBANI
KOCHA WA AZAM VIVIER BAHATI AFUNGUKA YA MOYONI BAADA YA KUWAFUMUA NAMUNGO NYUMBANI

Kocha mkuu msaidizi wa Azam FC, Vivier Bahati ameongea na Mpenja TV baada ya kumalizika kwa mchezo wa Azam FC dhidi Namungo leo Oktoba 19, 2021 Fungua video hii kumtazama. #azamfc #namungofc #mpenjatv



SHIZA KICHUYA NA ABDULAZIZ MAKAME WA NAMUNGO WAELEZA CHANZO CHA KIPONDO KUTOKA AZAM FC/WASIKIE HAPA
SHIZA KICHUYA NA ABDULAZIZ MAKAME WA NAMUNGO WAELEZA CHANZO CHA KIPONDO KUTOKA AZAM FC/WASIKIE HAPA

Nyota wawili wa kundanda Shiza Ramadhan Kichuya na Abdulaziz Makame 'Bui', wameeleza sababu za timu yao ya Namungo FC kufungwa bao dakika za mwisho na kupoteza 1-0 mchezo wa NBC Premier League dhidi ya wenyeji Azam FC uliochezwa leo Oktoba 19, 2021, Uwanja wa Azam Complex, Chamazi. #AzamFCvsNamungo #ShizaKichuya #AbdulazizMakame #NBCPremierLeague #MpenjaTV



Highlights

SIKIA ALICHOKISEMA KOCHA MGUNDA BAADA YA KUWAFUMUA PRISONS/AELEZA SABABU ZA ONYANGO KUINGIA MCHEZONI
SIKIA ALICHOKISEMA KOCHA MGUNDA BAADA YA KUWAFUMUA PRISONS/AELEZA SABABU ZA ONYANGO KUINGIA MCHEZONI

Leo ndiyo leo, Wajelajela Tanzania Prisons wanawakaribisha Simba Sc katika Dimba la CCM kumbukumbu ya Sokoine Mkoani ...



AZAM FC FULL MKOKO KUIVAA MBEYA CITY/CHEKI WALIVYOONDOKA HOTELINI WAKIELEKEA UWANJANI...
AZAM FC FULL MKOKO KUIVAA MBEYA CITY/CHEKI WALIVYOONDOKA HOTELINI WAKIELEKEA UWANJANI...

Leo Sept 13 Mpenja Tv tupo Mkoa Mbeya kukuletea matukio yote yatakayojiri katika mchezo wa ligi kuu ya NBC kati ya Wenyeji ...



WACHEZAJI TULIKAA KIKAO KUWAFUMUA NYASA BIG BULLETS/JUMA MGUNDA NI KOCHA MZURI -ZIMBWE JR-
WACHEZAJI TULIKAA KIKAO KUWAFUMUA NYASA BIG BULLETS/JUMA MGUNDA NI KOCHA MZURI -ZIMBWE JR-

Nahodha wa Simba Sc Mohammed Hussein 'Zimbwe Jr' amezungumza kuhusu matokeo waliyoyapata dhidi ya Nyasa Big Bullets ...



PETER BANDA AMENIKOSHA SANA/SIMBA IMEONESHA UKUBWA WAKE KIMATAIFA.
PETER BANDA AMENIKOSHA SANA/SIMBA IMEONESHA UKUBWA WAKE KIMATAIFA.

Leo Septemba 10 2022 Mpenja Tv tubakuletea mahojiano na Mashabiki wa Soka wa Simba sports Club kuhusu mechi yao dhidi ...



UCHAMBUZI: YANGA SC VS AZAM FC,YALE MASHUTI YA FEISAL, AZIZ KI HAKUWA KWENYE MCHEZO....
UCHAMBUZI: YANGA SC VS AZAM FC,YALE MASHUTI YA FEISAL, AZIZ KI HAKUWA KWENYE MCHEZO....

Jiji linazizima Leo!! Ni Dar Es Salaam Derby inayowakutanisha Watoto wa Jangwani, Mabingwa watetezi wa ligi kuu ya NBC ...



SIMBA SIYO KUKU/TUMEFUNGWA LAKINI TUMEFURAHI/MZUNGU WETU ATATUBEBA SANA/MSIKIE MZEE WA PASI MILIONI.
SIMBA SIYO KUKU/TUMEFUNGWA LAKINI TUMEFURAHI/MZUNGU WETU ATATUBEBA SANA/MSIKIE MZEE WA PASI MILIONI.

Leo Septemba 3 2022 Mpenja Tv tunakuletea Matukio yote yanayoendelea kwenye mchezo wa Kirafiki kati ya Simba Sc na Arta ...



ISSA AZAM ACHARUKA BAADA YA SIMBA KUFUNGWA NA ARTA SOLAR/KMC MJIPANGE/WANAUME TUNARUDI.
ISSA AZAM ACHARUKA BAADA YA SIMBA KUFUNGWA NA ARTA SOLAR/KMC MJIPANGE/WANAUME TUNARUDI.

Leo Septemba 3 2022 Mpenja Tv tunakuletea Matukio yote yanayoendelea kwenye mchezo wa Kirafiki kati ya Simba Sc na Arta ...



ZORAN MAKI AFUNGUKA BAADA YA KUFUNGWA NA ARTA SOLAR/MSIKIE HAPA
ZORAN MAKI AFUNGUKA BAADA YA KUFUNGWA NA ARTA SOLAR/MSIKIE HAPA

Leo Septemba 3 2022 Mpenja Tv tunakuletea Matukio yote yanayoendelea kwenye mchezo wa Kirafiki kati ya Simba Sc na Arta ...




« Previous Next »


User Detail Page

You can find user latest posts and related content on the page. Friends, comments for events / matches are also available on the page. Even you can find users who are same pleasure with current user.

#Travel, #SupportYourTeam, #AllAboutSports