Leo Oktoba 21 2021, Mhamasishaji Mpya wa Klabu ya Simba, DC wa Insta Mwijaku, amezungumza na Waandishi wa Habari kuelekea mchezo wa marudiano wa ligi ya mabingwa Afrika kati ya Simba na Jwaneng Galaxy utakaochezwa Jumapili Oktoba 24, 2021 Uwanja wa Benjamin Mkapa. Fungua video hii kupata habari kamili. . #simbasc #mwijaku #mpenjatv