KOCHA WA SIMBA MWENYE SHUGHULI YAKE LIGI YA MABINGWA AFRIKA AFUNGUKA KUELEKEA KUIVAA JWANENG GALAXY by @Mpenja TV - Post Details

KOCHA WA SIMBA MWENYE SHUGHULI YAKE LIGI YA MABINGWA AFRIKA AFUNGUKA KUELEKEA KUIVAA JWANENG GALAXY

Kocha Msaidizi wa Simba SC ambaye anaiongoza timu hiyo katika michuano ya ligi ya Mabingwa Afrika, Thierry Hitimana, amezungumzia maandalizi yao kuelekea kuivaa Jwaneng Galaxy ya Botswana Jumapili Oktoba 24, 2021, uwanja wa Benjamin Mkapa kwenye mechi ya marudiano ya ligi ya Mabingwa Afrika. Simba inahitaji sare au ushindi ili kutinga hatua ya makundi ya ligi ya Mabingwa Afrika kutokana na ushindi wa 2-0 ugenini waliopata Oktoba 17, 2021 uwanja wa Taifa wa Botswana. #SimbaSC #JwanengGalaxy #ThierryHitimana #MpenjaTV

Similar Posts!

MPENJA AUKATAA UNAFIKI KWEUPE! AFUNGA MJADALA WA CHAMA NA OKELLO/AISIFIA YANGA KWA UJENZI WA UWANJA.
MPENJA AUKATAA UNAFIKI KWEUPE! AFUNGA MJADALA WA CHAMA NA OKELLO/AISIFIA YANGA KWA UJENZI WA UWANJA.

JE, UNA JAMBO LAKO? USILIFICHE! ๐ŸŒ Kuwa wa kwanza kutujuza habari, matukio, au matangazo kupitia MPENJA TV. Sisi tupo hapa kwa ajili yako! ๐Ÿ”ด TUPIGIE/WHATSAPP: +255 748 101 101 ๐Ÿ“ž SIMU: +255 686 816 895 | +255 686 715 249 ๐Ÿ“ง EMAIL: mpenjatvtz@gmail.com



FEI TOTO: "CHAMA ALIFUNGA GOLI ZURI SANA/MIMI MWENYEWE NIMELIPENDA"
FEI TOTO: "CHAMA ALIFUNGA GOLI ZURI SANA/MIMI MWENYEWE NIMELIPENDA"

JE, UNA JAMBO LAKO? USILIFICHE! ๐ŸŒ Kuwa wa kwanza kutujuza habari, matukio, au matangazo kupitia MPENJA TV. Sisi tupo hapa kwa ajili yako! ๐Ÿ”ด TUPIGIE/WHATSAPP: +255 748 101 101 ๐Ÿ“ž SIMU: +255 686 816 895 | +255 686 715 249 ๐Ÿ“ง EMAIL: mpenjatvtz@gmail.com