Kocha Msaidizi wa Simba SC ambaye anaiongoza timu hiyo katika michuano ya ligi ya Mabingwa Afrika, Thierry Hitimana, amezungumzia maandalizi yao kuelekea kuivaa Jwaneng Galaxy ya Botswana Jumapili Oktoba 24, 2021, uwanja wa Benjamin Mkapa kwenye mechi ya marudiano ya ligi ya Mabingwa Afrika. Simba inahitaji sare au ushindi ili kutinga hatua ya makundi ya ligi ya Mabingwa Afrika kutokana na ushindi wa 2-0 ugenini waliopata Oktoba 17, 2021 uwanja wa Taifa wa Botswana. #SimbaSC #JwanengGalaxy #ThierryHitimana #MpenjaTV
JE, UNA JAMBO LAKO? USILIFICHE! ๐ Kuwa wa kwanza kutujuza habari, matukio, au matangazo kupitia MPENJA TV. Sisi tupo hapa kwa ajili yako! ๐ด TUPIGIE/WHATSAPP: +255 748 101 101 ๐ SIMU: +255 686 816 895 | +255 686 715 249 ๐ง EMAIL: mpenjatvtz@gmail.com
JE, UNA JAMBO LAKO? USILIFICHE! ๐ Kuwa wa kwanza kutujuza habari, matukio, au matangazo kupitia MPENJA TV. Sisi tupo hapa kwa ajili yako! ๐ด TUPIGIE/WHATSAPP: +255 748 101 101 ๐ SIMU: +255 686 816 895 | +255 686 715 249 ๐ง EMAIL: mpenjatvtz@gmail.com