Ofisa Habari wa Azam FC, Thabit Chumwi Zakaria maarufu Zaka Zakazi, amezungumza na Mpenja TV baada ya timu yao kuwafumua Namungo Fc dakika za jioni kabisa. Zaka ametoa ya moyoni ndani ya mahojiano haya na Mpenha TV. Fungua video hii kupata Uhondo Kamili. #azamfc #namungofc #mpenjatv