Mpenja TV's user profile page. Match highlights, posts and more on site!“” Report User |
Leo Disemba 12 Ligi kuu ya NBC Inaendelea Azam Fc wakiwakaribisha 'WANANKURUKUMBI' Kagera Sugar katika dimba la Azam Complex Chamazi.. #AzamFc #LigikuuyaNBC #KageraSugar #MpenjaTv
Shangwe la Mashabiki wa Klabu ya Simba Sc baada ya kutinga hatua ya Makundi Kombe la Shirikisho Barani Afrika licha ya kupoteza Mchezo kwa Magoli mawili kwa moja ambapo mchezo huo uliochezwa kwenye Uwanja wa Mashujaa Lusaka, Zambia FT: Red Arrows 2-1 Simba (Aggregate 2-4). #KochaPablo #CafCC #HassanDilunga #SimbaSc #RedArrows #MpenjaTv
Kocha Mkuu wa Klabu ya Simba Pablo Franco amezungumza na wanahabari baada ya kutinga hatua ya Makundi Kombe la Shirikisho Barani Afrika licha ya kupoteza Mchezo kwa Magoli mawili kwa moja mchezo huo uliochezwa kwenye Uwanja wa Mashujaa Lusaka, Zambia FT: Red Arrows 2-1 Simba (Aggregate 2-4). #KochaPablo #CafCC #HassanDilunga #SimbaSc #RedArrows #MpenjaTv
Mpenja TV tumefanya mahojiano na Mchambuzi mahiri wa Azam TV, Ally Mayay Tembele, akizungumzia kiwango cha Simba, Ubora wa Simba Sc katika mchezo wa leo Desemba 5, 2021 dhidi ya Red Arrows ambao umechezwa uwanja wa Mashujaa jijini Lusaka, Zambia. FT: Red Arrows 2-1 Simba (Aggregate 2-4). #Allykamwe #CafCC #HassanDilunga #SimbaSc #RedArrows #MpenjaTv
Leo Desemba 5, 2021, Mnyama Simba yupo ugenini mjini Lusaka kucheza mechi ya marudiano ya hatua ya mtoano ya kombe la Shirikisho barani Afrika dhidi ya wenyeji Red Arrows FC. Hizi hapa mbwembwe za mashabiki wa Simba baada ya kufuzu hatua ya makundi. #SimbaSC #MashabikiWaSimba #RedArrowsVsSimba #Magazeti #MpenjaTV
Mpenja TV tumefanya mahojiano na Mchambuzi mahiri wa Azam TV, Ally Kamwe, akizungumzia kiwango cha Simba katika mchezo wa leo Desemba 5, 2021 dhidi ya Red Arrows ambao umechezwa uwanja wa Mashujaa jijini Lusaka, Zambia. FT: Red Arrows 2-1 Simba (Aggregate 2-4). #Allykamwe #CafCC #HassanDilunga #SimbaSc #RedArrows #MpenjaTv
Leo Disemba 03 Kikosi cha Mabingwa watetezi Simba Sc kimeondoka Nchini kuelekea Zambia kwa ajili ya kucheza mchezo wa marudiano dhidi ya Red Arrows Fc ambao utachezwa Disemba 5, Kikosi cha Simba Sc kimeondoka kikiwa tayari kina mtaji wa magoli matatu kwa bila. Mpenja Tv tumefanya mahojiano na Mchambuzi wa Masuala ya Michezo Ally Mayay Tembele amechambua kuelekea Mchezo huo na tahadhari ambazo Simba wanapaswa kuchukua kuelekea mchezo huo.. #AllyMayay #CafCC #KombelaShirikishoAfrika #SimbaSc #RedArrowsFc #MpenjaTv
Mpenja Tv tumefanya mahojiano na Mtangzaji wa Goli la Azam fc dhidi ya Mtibwa Sugar amefunguka hali ilivyokuwa wakati akitangaza goli hilo,, #mwakalobo #AzamfcvsMtibwaSugar #Mbombo #MpenjaTV
Leo Tarehe 23/10/2022 ni siku ya kushuhudia mbungi ya kukata na Shoka inayowakutanisha Watani wa Jadi,Watoto wa kariakoo ...
Shabiki wa Simba Sc Kaymziwanda ametoa Maoni yake kuhusu Wapinzani wa Yanga Sc,CLub Africain kutoka Tunisia ...
Leo October 03 2022 mchezo wa ligi kuu ya NBC kati ya Azam Fc dhidi ya Singida Big Stars umemalizika kwa Azam Fc kuibuka ...
Leo October 03 2022 mchezo wa ligi kuu ya NBC kati ya Azam Fc dhidi ya Singida Big Stars umemalizika kwa Azam Fc kuibuka ...
Leo October 03 2022 mchezo wa ligi kuu ya NBC kati ya Azam Fc dhidi ya Singida Big Stars umemalizika kwa Azam Fc kuibuka ...
Leo October 03 2022 mchezo wa ligi kuu ya NBC kati ya Azam Fc dhidi ya Singida Big Stars umemalizika kwa Azam Fc kuibuka ...
Leo Octoba 03 2022 moto utawaka katika Dimba la Benjamin Mkapa kwa mchezo mkali kupigwa kati ya Wazee wa Mpapaso ...
Leo Tarehe 2/10/2022 Simba Sc wanashuka Dimba la Benjamin Mkapa kumenyana na Walima Zabibu Dodoma Jiji, kwenye ...