Baaada ya kutamatika mchezo wa Ligi kuu ya NBC kati Azam Fc na Mtibwa Sugar na Azam Fc kuibuka na Ushindi wa Goli moja kwa bila lilifungwa na Idris Mbombo Mpenja Tv tukapata nafasi ya kuzungumza na Msemaji wa Klabu ya Mtibwa Sugar Thobias Kifaru na Msemaji wa Azam Fc Zakazakazi Fuatilia mahojiano yote hapa kujua alichoongea Thobias Kifaru na Zakazakazi #AzamFc #MtibwaSugar #AzamFcVsMtibwaSugar #LigikuuyaNBC
JE, UNA JAMBO LAKO? USILIFICHE! 🌍 Kuwa wa kwanza kutujuza habari, matukio, au matangazo kupitia MPENJA TV. Sisi tupo hapa kwa ajili yako! 🔴 TUPIGIE/WHATSAPP: +255 748 101 101 📞 SIMU: +255 686 816 895 | +255 686 715 249 📧 EMAIL: mpenjatvtz@gmail.com