Mpenja TV's user profile page. Match highlights, posts and more on site!“” Report User |
Leo Tarehe 17/11/2022 Wananchi Yanga Sc wanarejea tena Dimba la Benjamin Mkapa kumenyana na Singida Big Stars kwenye Mchezo wa ligi kuu ya NBC, Utakaochezwa Saa Moja jioni... NB: Mpenja Tv tutakuwepo mapema kabisa katika Dimba la Benjamin Mkapa kukuletea Matukio yote yatakayojiri kabla na baada ya mchezo huo, Kaa karibu nasi....
Mtangazaji wa mpira wa miguu nchini kupitia Azam Tv Baraka Adson Mpenja ameunguruma baada ya Yanga kutinga makundi ya Shirikisho Barani Afrika na kutaja Yale yaliyomfurahisha. Tazama video hii kujua mengi zaidi aliyozungumza
Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba Sc, Ahmed Ally amezungumza Hali ya Timu ilivyo baada ya Kuwasili Mkoani Singida ikiwa ni kuelekea Mchezo wa ligi kuu ya NBC dhidi ya Singida Big Stars, Utakaochezwa Jumatano hii,Uwanja wa liti.
Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba Sc,Ahmed Ally ametoa Maoni yake baada ya Yanga Sc kusuluhu na Club Africain kwenye Mchezo wa Jana wa Mtoano wa Kuwania Kufuzu hatua ya Makundi Kombe la Shirikisho Afrika.
Leo Tarehe 2/11/2022 katika Dimba la Benjamin Mkapa Yanga Sc wana kibarua cha Kumenyana na Club Africain kwenye Mchezo wa Mkondo wa Kwanza wa Mtoano wa Kuwania Kufuzu hatua ya Makundi Kombe la Shirikisho Afrika ,Mchezo Unaochezwa Saa Kumi Jioni.
Leo Tarehe 23/10/2022 ni siku ya kushuhudia mbungi ya kukata na Shoka inayowakutanisha Watani wa Jadi,Watoto wa kariakoo,Yanga Sc na Simba Sc,Kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Saa Kumi na Moja Jioni.
Leo Tarehe 16/10/2022 Simba Sc wanamkaribisha Premeiro de Agosto kutoka Angola kwenye Mchezo wa Mkondo wa Pili wa ligi ya Mabingwa Afrika,katika Dimba la Benjamin Mkapa, Saa Kumi Jioni.
Kikosi cha Yanga kimeanza safari yake usiku wa Oktoba 15 kuelekea Khartoum Kumenyana na Al Hilal katika mchezo wao wa Marejeo wa ligi ya mabingwa barani Afrika.
Ligi kuu ya NBC leo Jumatano Disemba 21, 2022, ni moto wa kuotea mbali Uwanja wa Kaitaba Stadium Bukoba Mkoani Kagera ...
Ligi kuu ya NBC leo Jumatano Disemba 21, 2022, ni moto wa kuotea mbali Uwanja wa Kaitaba Stadium Bukoba Mkoani Kagera ...
Ligi kuu ya NBC leo Jumatano Disemba 21, 2022, ni moto wa kuotea mbali Uwanja wa Kaitaba Stadium Bukoba Mkoani Kagera ...
Leo Tarehe 20/12/2022,Wananchi Yanga Sc Wanashuka Dimba la Benjamin Mkapa kumenyana na Wagosi wa Kaya Coastal ...
Mchambuzi wa mpira wa Miguu nchini kupitia kituo cha Radio cha EFM Wilson Oruma 'Mzee wa Jambia' akitoa tathmini yake fupi ...
Leo Tarehe 20/12/2022,Wananchi Yanga Sc Wanashuka Dimba la Benjamin Mkapa kumenyana na Wagosi wa Kaya Coastal ...
Leo Tarehe 20/12/2022,Wananchi Yanga Sc Wanashuka Dimba la Benjamin Mkapa kumenyana na Wagosi wa Kaya Coastal ...
Tazama hapa mahojiano na Kocha wa Ruvu Shooting Mbwana Mkata pamoja Kocha Msaidizi wa Mtibwa Sugar Awadh Juma na ...