HASSAN DILUNGA - "Ni ZAWADI ya Sikukuu kwa MASHABIKI wa SIMBA
HASSAN DILUNGA - "Ni ZAWADI ya Sikukuu kwa MASHABIKI wa SIMBA

HASSAN DILUNGA - "Ni ZAWADI ya Sikukuu kwa MASHABIKI wa SIMBA HASSAN Dilunga, kiungo mshambuliaji wa Simba amesema kuwa ushindi wa leo wa mabao 4-0 mbele ya Lipuli uwanja wa Uhuru ni zawadi ya mashabiki siku ya X-Mass na umetokana na umakini wa kutumia makosa ya wapinzani wao kupata matokeo. Kwenye jumla ya mabao 4-0 ambayo Simba imefunga leo, Dilunga alifunga mabao mawili dakika ya 57 kwa mkwaju wa penalti na la pili dakika ya 65 akimalizia pasi ya Sharaf Shiboub huku lile la ufunguzi likifungwa na Francis Kahata akimalizia pasi ya Shomari Kapombe dakika ya 10 na la pili Meddie Kagere alipachika akimalizia pasi ya Clatous Chama. GLOBAL TV ONLINE (+255 784 888982) HABARI MPYA DAILY: https://www.youtube.com/playlist?list... HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: https://www.youtube.com/playlist?list... GLOBAL RADIO TV: https://www.youtube.com/playlist?list... EXCLUSIVE INTERVIEW: https://www.youtube.com/playlist?li



KISA VIPAJI VYA MAKINDA: Kocha Simba Awaacha Kina Kagere Chumbani na Kupanda Jukwaani
KISA VIPAJI VYA MAKINDA: Kocha Simba Awaacha Kina Kagere Chumbani na Kupanda Jukwaani

Mara baada ya kuwasili uwanja wa Uhuru tayari kwa pambano lao la Ligi Kuu dhidi ya Lipuli, Kocha wa Simba Mbelgiji Sven Vanderbroeck aliwaacha wachezaji wa kikosi cha kwanza kwenye chumba cha kubadilishia nguo na yeye kupanda jukwaani kwa lengo la kutazama vipaji vya timu ya vijana ya Simba iliyokuwa ikicheza mchezo wa utangulizi



MSHIKEMSHIKE  VIWANJANI       -       26/11/2019
MSHIKEMSHIKE VIWANJANI - 26/11/2019

Azam FC yacharuka Ligi Kuu ya Vodacom na kuichakaza Alliance FC kwa mabao 5-0 na Mbeya City yapoteza tena nyumbani. Ungana na Ahmed Ally kwenye MSHIKEMSHIKE VIWANJANI akikuletea mengi ya kimichezo ikiwemo taarifa kuhusiana na mpambano wa Mwakinyo utakaopigwa Ijumaa hii ndani ya dimba la Uhuru.



RUVU SHOOTING 0-3 SIMBA SC: HIGHLIGHTS (VPL - 23/11/2019)
RUVU SHOOTING 0-3 SIMBA SC: HIGHLIGHTS (VPL - 23/11/2019)

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Simba SC wamewacharaza bila huruma Ruvu Shooting kichapo cha mabao 3-0 mchezo ukipiwa kwenye Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam. Magoli ya Simba kwenye mchezo huo yamefungwa na Miraji Athuman aliyefunga mawili dakika ya 40 na 75 huku bao lingine likifungwa na beki Tairone Santos dakika ya 47.



Mashabiki Simba Wagoma KOCHA Kuondoka, Upepo wa ZAHERA
Mashabiki Simba Wagoma KOCHA Kuondoka, Upepo wa ZAHERA

Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars MABINGWA watetezi, Simba SC leo wameiadhibu Ruvu Shooting baada ya kuichapa mabao 3-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara Uwanja wa Uhuru mjini Dar es Salaam. Nyota wa mchezo wa LEO NOV 23, 2019 alikuwa ni mshambuliaji Miraji Athumani ‘Madenge’ aliyefunga mabao mawili, huku linguine likifungwa na beki Mbrazil, Tairone Santos da Silva. Kikosi cha Ruvu Shooting kilikuwa; Mohamed Makaka, Omary Kindamba, Kassim Simbaulanga, Renatus Ambroce, Rajab Zahir, Zuberi Dabi, Emmanuel Martin, Shaaban Msala/Moses Shaaban dk73, Saadat Mohamed, Said Dilunga/Fully Maganga dk58 na Edward Christopher/Abdulrahman Mussa dk61. Simba SC; Aishi Manula, Shomari Kapombe, Mohamed Hussein ‘Tshabalala’, Tairone Santos, Pascal Wawa, Gerson Fraga ‘Viera’, Hassan Dilunga/Deo Kanda dk63, Muzamil Yassin, Meddie Kagere/Ibrahim Ajibu dk75, Miraji Athuman ‘Madenge’ na Francis Kahata/Sharaff Eldin Shiboub dk79. Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/Kidanistars Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars



Masau Bwire: Mzigo Ulikuwa Mkubwa...Meli Imezama!!
Masau Bwire: Mzigo Ulikuwa Mkubwa...Meli Imezama!!

Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars MABINGWA watetezi, Simba SC leo wameiadhibu Ruvu Shooting baada ya kuichapa mabao 3-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara Uwanja wa Uhuru mjini Dar es Salaam. Nyota wa mchezo wa LEO NOV 23, 2019 alikuwa ni mshambuliaji Miraji Athumani ‘Madenge’ aliyefunga mabao mawili, huku linguine likifungwa na beki Mbrazil, Tairone Santos da Silva. Kikosi cha Ruvu Shooting kilikuwa; Mohamed Makaka, Omary Kindamba, Kassim Simbaulanga, Renatus Ambroce, Rajab Zahir, Zuberi Dabi, Emmanuel Martin, Shaaban Msala/Moses Shaaban dk73, Saadat Mohamed, Said Dilunga/Fully Maganga dk58 na Edward Christopher/Abdulrahman Mussa dk61. Simba SC; Aishi Manula, Shomari Kapombe, Mohamed Hussein ‘Tshabalala’, Tairone Santos, Pascal Wawa, Gerson Fraga ‘Viera’, Hassan Dilunga/Deo Kanda dk63, Muzamil Yassin, Meddie Kagere/Ibrahim Ajibu dk75, Miraji Athuman ‘Madenge’ na Francis Kahata/Sharaff Eldin Shiboub dk79. Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/Kidanistars Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars



Simba Waifunga 3-0 Ruvu Shooting, Cheki Walivyotua Uwanjani
Simba Waifunga 3-0 Ruvu Shooting, Cheki Walivyotua Uwanjani

Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars MABINGWA watetezi, Simba SC leo NOV 23, 2019 wameiadhibu Ruvu Shooting baada ya kuichapa mabao 3-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara Uwanja wa Uhuru mjini Dar es Salaam. Nyota wa mchezo wa leo alikuwa ni mshambuliaji Miraji Athumani ‘Madenge’ aliyefunga mabao mawili, huku linguine likifungwa na beki Mbrazil, Tairone Santos da Silva. Na kwa ushindi huo, Wekundu wa Msimbazi wanafikisha pointi 25 katika mchezo wa 10 na kuendelea kuongoza Ligi Kuu ikifuatiwa na Kagera Sugar yenye pointi 23 za mechi 11, wakati Ruvu Shooting inabaki pointi zake 15 baada ya kucheza mechi 12. Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/Kidanistars Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars



KOSAKOSA za SIMBA VS TZ PRISONS 0 - 0, KAGERE Ashindwa Kufurukuta
KOSAKOSA za SIMBA VS TZ PRISONS 0 - 0, KAGERE Ashindwa Kufurukuta

KOSAKOSA za SIMBA VS TZ PRISONS 0 - 0, KAGERE Ashindwa Kufurukuta Kikosi cha Simba kimeshindwa kutamba mbele ya Tanzania Prisons leo kunako Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam baada ya kulazimishwa suluhu ya kutofungana. Suluhu hiyo imewafanya Simba kugawana alama moja moja na Prisons ambao mpaka sasa hawajapoteza mchezo wowote kwenye ligi. Alama hiyo moja imewafanya Simba kuendelea kukaa kileleni wakiwa na alama 22 huku wakiwa wamepoteza mchezo mmoja mpaka sasa. Prisons mpaka sasa imecheza jumla ya mechi 11 na wakienda sare michezo saba huku wakishinda nne na wakiwa na alama 19 kwenye nafasi ya pili ya msimamo wa ligi. YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982) ------------------------------------------------------------------------------------------------------------------- HABARI MPYA DAILY: https://www.youtube.com/playlist?list... HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: https://www.youtube.com/playlist?list... GLOBAL RADIO TV: https://www.youtube.com/playlist?list... EXCLUSIVE INTERVIEW: https://www.youtube.com/playlist?li




« Previous Next »


Popular Tags

#Mesut Ozil  #Football Defensive Skills  #Miami Heat  #Zlatan Ibrahimovi  #LeBron James  #Philadelphia 76ers  #Paul Pogba  #Goalkeeper Saves  #Cleveland Cavaliers  #Stephen Curry  

Popular Users

#CMPunk  #DeAndre  #jimmyfallon  #TheNotoriousMMA  #criscyborg  #Harry_Styles  #britneyspears  #BMcCarthy32  #NASA  #espn  #ochocinco  #RSherman_25  #ArianaGrande  #BeingSalmanKhan