Mara baada ya kuwasili uwanja wa Uhuru tayari kwa pambano lao la Ligi Kuu dhidi ya Lipuli, Kocha wa Simba Mbelgiji Sven Vanderbroeck aliwaacha wachezaji wa kikosi cha kwanza kwenye chumba cha kubadilishia nguo na yeye kupanda jukwaani kwa lengo la kutazama vipaji vya timu ya vijana ya Simba iliyokuwa ikicheza mchezo wa utangulizi
Mahojiano na mchambuzi wa Azam TV Gharibu Mzinga baada ya Mchezo wa Azam Fc na malindi pia uchambuzi wa Mchezo wa ...
Mahojiano na kocha wa timu ya Makundi FC baada ya kutoa sare na Azam Fc katika Mapinduzi Cup.
championsleague #geitagold.