Goli pekee la Frank Domayo laipa Azam FC pointi tatu muhimu dhidi ya Alliance
Goli pekee la Frank Domayo laipa Azam FC pointi tatu muhimu dhidi ya Alliance

Azam FC imepata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Alliance FC likifungwa na Frank Domayo dakika ya 85 katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara uliochezwa leo saa 8 mchana kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Tazama Vodacom Premier League, taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa: ► https://bit.ly/2wB6zmR Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz



Azam FC 1-0 Polisi Tanzania - Highlights
Azam FC 1-0 Polisi Tanzania - Highlights

Azam FC imepata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Polisi Tanzania katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara kwenye Uwanja wa Uhuru, bao pekee likifungwa na kiungo Mudathir Yahya. Tazama Taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa: ► https://play.google.com/store/apps/details?id=com.azamtv.max.media&hl=en_US Tutuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz



Goli la Mudathir Yahya laipa ushindi wa 1-0 Azam dhidi ya Polisi Tanzania, Abalora aokoa penati
Goli la Mudathir Yahya laipa ushindi wa 1-0 Azam dhidi ya Polisi Tanzania, Abalora aokoa penati

Azam FC imepata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Polisi Tanzania katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara kwenye Uwanja wa Uhuru, bao pekee likifungwa na kiungo Mudathir Yahya. Tazama Taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa: ► http://play.google.com/store/apps/details… Tutuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz



Goli pekee la JKT Tanzania lililozamisha jahazi la Simba
Goli pekee la JKT Tanzania lililozamisha jahazi la Simba

Bao la Adam Adam limeipa JKT Tanzania ushindi wa 0-1 dhidi ya Simba katika mchezo wa Vodacom Premier League uliopigwa kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Tazama Vodacom Premier League LIVE na EXCLUSIVE kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa: ►http://play.google.com/store/apps/details?id=com.azamtv.max.media Tutuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz #SimbaSC #SimbaJKT #SimbaVPL



JKT Tanzania Watua Kibabe Kuifunga SIMBA Uhuru Ligi Kuu
JKT Tanzania Watua Kibabe Kuifunga SIMBA Uhuru Ligi Kuu

Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/Kidanistars Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars



PRISONS VS KMC: Mechi yaahirishwa Dodoma kisa mvua; Tazama hali ilivyokuwa
PRISONS VS KMC: Mechi yaahirishwa Dodoma kisa mvua; Tazama hali ilivyokuwa

Mechi ya ligi kuu kati ya Tanzania Prisons vs KMC iliyokuwa ichezwe kwenye Uwanja Jamhuri Dodoma, baada ya uwanja huo kujaa maji kutokana na mvua kubwa iliyonyesha. Hii ni mechi ya pili kuahirishwa leo baada ya ile ya JKT Tanzania vs Polisi Tanzania kwenye Uwanja wa uhuru, sababu ikiwa ni hiyohiyo.



MANARA : SIMBA YA KWANZA AFRICA /TUNAHITAJI WACHEZAJI WA GHARAMA  KUBWA.
MANARA : SIMBA YA KWANZA AFRICA /TUNAHITAJI WACHEZAJI WA GHARAMA KUBWA.

Mabadiriko ya uwanja utakaotumika katika mechi kati ya simba na Mwadui, Yametajwa na manara wakati akizungumza na waandishi wa habari. hata hivyo timu hizo zinakutana zikiwa na kumbukumbu ya simba kufungwa Goli 1:0 na Mwadui, lakini Simba inaibuka na kusema lazima ilipe kisasi. fuatilia mechi hiyo kupitia channel hii na usisahau kuSUBSCRIBE. #SIMBAVSMWADUI #MANARA #UWANJAWATAIFA Baada ya kuvuna pointi sita muhimu katika michezo miwili ya Ligi Kuu Bara huko Kanda ya Ziwa, kikosi cha Simba jana kimeingia kambini kujiandaa na mchezo wa Kombe la FA, huku kiungo mshambuliaji Shiza Kichuya akiwemo kati yao. Simba inajianda na mechi ya Mwadui FC ya mkoani Shinyanga itakayopigwa kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam, Jumamosi hii. Katika mchezo huo, Simba wataingia uwanjani wakiwa na hasira za kufungwa katika mchezo wa ligi uliopigwa Uwanja wa Kambarage huko Shinyanga ambao ulimalizika kwa Mwadui kushinda bao 1-0. Akizungumza na Championi Jumatano, Meneja Mkuu wa timu hiyo, Patrick Rweyemamu alisema kuwa kikosi chao kitaingia kambini leo jioni huko Ndege Beach nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam. Rweyemamu alisema kuwa maandalizi ya mchezo huo yanakwenda vizuri na wachezaji wote wataingia kambini tayari kwa kuwawinda Mwadui kwa ajili ya kulipa kisasi cha kufungwa katika ligi. Aliongeza kuwa kiungo wao wa zamani Kichuya huenda akawa katika sehemu ya wachezaji watakaoingia kambini baada ya hivi karibuni kusaini mkataba wa kuichezea Simba. “Kesho (jana), timu yetu itaingia kambini rasmi huko Ndege Beach tulipoweka kambi ya kudumu katika msimu huu kujiandaa na mchezo wa Kombe la FA dhidi ya Mwadui. “Tunafahamu umuhimu mkubwa wa kombe hili, hivyo ni lazima timu yetu ipate matokeo mazuri ili tuendelee na mashindano hayo na mwisho wa siku tuweze kuchukua kombe hilo. “Maandalizi yanakwenda vizuri na timu yetu na wachezaji wote wataingia kambini kujiandaa na mchezo huo, pia Kichuya huenda akawa sehemu ya wachezaji watakaoingia kambini kama atakuwa amekamilisha baadhi ya vitu vyake kati yake na uongozi baada ya kusaini mkataba Simbva,” alisema Rweyemamu ambaye ni miongoni mwa wanachama wanaoaminika sana na uongozi wa juu wa Simba. SIMBA INATAKA KUWEKA REKODI



MAZOEZI YA SIMBA UWANJA WA UHURU, BAADA YA KUWAFUNGA LIPULI ILIKUWA NAMNA HII
MAZOEZI YA SIMBA UWANJA WA UHURU, BAADA YA KUWAFUNGA LIPULI ILIKUWA NAMNA HII

SUBSCRIBE HAPO JUU tembelea WEBSITE YETU https://bmtvtanzania.com/ INSTAGRAM https://www.instagram.com/bmtvtanzania FACEBOOK https://www.facebook.com/bmtvtanzania TWITTER https://twitter.com/bmtvtanzania1




« Previous Next »


Popular Tags

#Thomas Muller  #Paul George  #Stephen Curry  #LeBron James  #Counter Attack Goals Football  #Goal Celebrations  #Best Goals Ever  #Paul George  #Neymar  #Best Ball Controls  

Popular Users

#katzm  #BrunoMars  #rioferdy5  #wizkhalifa  #neymarjr  #Joey7Barton  #espn  #DwyaneWade  #SimplyAJ10  #steveaustinBSR  #nyt4thdownbot  #billsimmons  #alexmorgan13  #itsBayleyWWE  #JLo