Content removal request!


MSHIKEMSHIKE VIWANJANI - 26/11/2019

Azam FC yacharuka Ligi Kuu ya Vodacom na kuichakaza Alliance FC kwa mabao 5-0 na Mbeya City yapoteza tena nyumbani. Ungana na Ahmed Ally kwenye MSHIKEMSHIKE VIWANJANI akikuletea mengi ya kimichezo ikiwemo taarifa kuhusiana na mpambano wa Mwakinyo utakaopigwa Ijumaa hii ndani ya dimba la Uhuru.