Hivi ndivyo shughuli ya raundi nane ya kuwania mkanda wa UBO uzito wa Super Middle ilivyoenda na hatimaye Mtanzania #TwahaKiduku kuibuka mshindi kwa pointi. #VitasaNight #Vitasa #UsikuWaVitasa #TwahaKidukuVsAlexKabangu #TwahaKiduku #TwahaKiduku #MfalmeKwenyeUfalmeWake #NgumiNguruka
Tazama nginjanginja, mikikimikiki ya Dullah Mbabe na Twaha Kiduku kwenye pambano lililovuta hisia za wapenda ngumi. Twaha Kiduku alikalishwa raundi ya kwanza tu ya pambano, lakini baada ya hapo yaliyofuata ni maajabu. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz
Share, Support, Subscribe!!! Subscribe: UC-4fDfmsXy9hIcEmPKbARIQ Youtube: https://www.youtube.com/c/HZBTV Twitter: http://www.twitter.com/harakatizabongo Facebook: http://www.facebook.com/harakatizabongo Instagram: http://instagram.com/harakatizabongo Google Plus: https://plus.google.com/+harakatizabongo
Usisahau ku "SUBSCRIBE" Channel yetu kwa habari nyinginezo nyingi na nzuri TWAHA KIDUKU ATOA SABABU ZA KUANGUSHWA CHINI NA DULLA MBABE /"NILIKUWA NAOTA" #Bonatv #Exclusive ##twahakiduku
Bondia Twaha Kiduku ameendeleza ubabe wake kwa kumpiga bondia Dullah Mbabe kwa point katika pambano la round 10, Dullah Mbabe alianza kwa kumuangusha Twaha Kiduku kabla ya Twaha kupindua matokeo kwa maana hiyo Twaha Kiduku sasa anaondoka na Toyota Crown kama zawadi ya ushindi huo.