FULL FIGHT: MWAKINYO ALIVYOMKANDA 'TKO' PATRICK ALLOTEY WA GHANA RAUNDI YA TATU, ATETEA UBINGWA WBO! BONDIA Hassan Mwakinyo amefanikiwa kuutetea ubingwa wake wa 'WBO' kwa kumkanda Patrick Allotey 'TKO' Raundi ya Tatu.
PATRICK NYEMBERA Afafanua UTATA PAMBANO la MWAKINYO, Kupigwa STOP na KURUHUSIWA, KOSA la PROMOTA.. MJUMBE wa kamati ya TPBRC, Patrick Nyembera amezungumzia masuala mbalimbali kuhusiana na mchezo wa ngumi.
MANDONGA BHANA, KAPIGWA 'KO' Ila HAJALI Wala NINI, ANATAMBA Tu, "MAUGO KAJA GETO, KATOKEA DIRISHANI" BONDIA Karim Mandonga amepoteza pambano lake kwa poibti dhidi ya Mada Maugo, katika usiku wa 'HATUKIMBII HATUOGOPI' lililochezwa mkoani Morogoro usiku wa Aprili 11.
"NIPENI Huyu M SOUTH, ITAKUWA Ndio MWISHO Wake KUJA TANZANIA, KIDUKU Sio BONDIA wa TAIFA" - MWAKINYO BONDIA Hassan Mwakinyo amesema yupo tayari kucheza na Msouth Assemahle Wellem ambaye kwa hapa Tanzania amempiga Twaha Kiduku na kupata droo kwa Seleman Kidunda.
๐ด#Live: 'KO' ya HASSAN MWAKINYO Akimchapa MWANAJESHI wa GHANA RAUNDI ya SABA, MTATA MTATUZI ZANZIBAR ULE Usiku uliokuwa ukisubiriwa kwa hamu wa pambano la Hassan Mwakinyo vs Elvis Ahorgah hatimaye umewahi na Bongo Boxing Safari tunakuletea matukio yote yanayoendelea kwenye pambano hili.
๐ด#Live: MWAKINYO ๐๏ธ ELVIS AHORGAH | WBO AFRIKA, UKUMBI WA AMAN ZANZIBAR, JANUARI 27, 2024 ULE Usiku uliokuwa ukisubiriwa kwa hamu wa pambano la Hassan Mwakinyo vs Elvis Ahorgah hatimaye umewahi na Bongo Boxing Safari tunakuletea matukio yote yanayoendelea kwenye pambano hili.
Bondia Mtanzania Twaha Kiduku amchapa Mganda, Mohamed Sebyala kwa pointi na kufanikiwa kuutetea mkanda wake wa P.S.T
๐ด#Live: TWAHA KIDUKU vs SEBYALA, KINACHOENDELEA KWENYE RED CARPERT NA UKUMBINI, USIKU WA MABINGWA... KARIBU Utazame matukio yote yanayoendelea kwenye pambano la 'USIKU WA MABINGWA' katika ukumbi wa Ubungo Plaza jijini Dar ambapo Main Fight ni Mtanzania Twaha Kiduku akivaana na Mganda Mohamed Sebyala.